Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ihefu tu mmeshindwa kushikilia bomba,acheni ushabiki wa kimbumbumbu,kule kina Arajiga hawapoDaima mbele.... nyuma mwiko!
Kama wale tu ambao nembo ya mdhamini wao (MO)nembo inakaa kwenye makalio!
Wameweza kudraw.... Mziki wa wananchi ni habari ingine!
ihefu hajaanza msimu huuu..game nyingine kamati za ufundi zinaset mitambo sawa......iliopita ihefu kapiga ila ,mziki hadi fainali.......naona bado hamjapata code za kumtandika mwarabu kwao,,,,hio ni sketa ya yanga tuIhefu tu anawahenyesha itakuwa huyo bingwa wa kihistoria, acheni umbumbumbu wa kiushabiki
Mlipomfunga mlirudi na kombe?ihefu hajaanza msimu huuu..game nyingine kamati za ufundi zinaset mitambo sawa......iliopita ihefu kapiga ila ,mziki hadi fainali.......naona bado hamjapata code za kumtandika mwarabu kwao,,,,hio ni sketa ya yanga tu
robo nalo kombe.....kufeni ki lgbt na waarabu wenuMlipomfunga mlirudi na kombe?
Umekalili Ihefu tu hao wengine anao wafunga Yanga huwaoniIhefu tu anawahenyesha itakuwa huyo bingwa wa kihistoria, acheni umbumbumbu wa kiushabiki
Uko sawa ila tusiwachukilie poa, lile goal waliowafunga Makolo leo lilikuwa la kiufundi sana.Niseme ya kwamba Yanga ina bahati na kupangiwa timu kubwa ambazo huwa zinapatwa na matatizo, walianza na Tp Mazembe na msimu huu ni Al Ahly
ni kweliNiseme ya kwamba Yanga ina bahati na kupangiwa timu kubwa ambazo huwa zinapatwa na matatizo, walianza na Tp Mazembe na msimu huu ni Al Ahly
Al Ahlu ya sasa ni timu nzuri ila kuna matatizo ndani ya timu, Kumekuwa na habari kwamba kuna migongano kwa upande wa strikers, Yani hats nafasi zitengenezwe vipi strikers wanavurunda kwa maksudi, magoli ya kufunga ni ya kusawazisna ama wakikosa namna ya kuvurunda, ndio maana hata leo mmeweza kuona nafasi takribani 40 zimetengenezwa lakini ni goli 1 tu limefungwa tena ni la kusawazisha ndani ya dakika 5.
Strikers kuna muda wanabaki na kipa lakini wanabutua nje (Tau akiwa kinara), wanafanya hivi maksudi na hata watengenezewe nafasi kiasi gani kufunga ni kwa kusawazisha pekee ama ikiwa ngumu kuvurunda.
Si ajabu hata usm alger (bingwa wa shirikisho) alifaidika na udhaifu huu wa Al Ahly, alifomfunga ikawa ni mwanzo mwisho kujiangusha ili Al Ahly asisawazishe
Al Ahly kwa sasa kuna migongano nfani ya timu upande wa strikers,
Ndio umbumbumbu wenyewe huo kuamini uwizadi na kila mara mnakandwa tuihefu hajaanza msimu huuu..game nyingine kamati za ufundi zinaset mitambo sawa......iliopita ihefu kapiga ila ,mziki hadi fainali.......naona bado hamjapata code za kumtandika mwarabu kwao,,,,hio ni sketa ya yanga tu
Ongezea wewe bloangu.Umekalili Ihefu tu hao wengine anao wafunga Yanga huwaoni
Goli la kumbabatiza mtu kichwani ndio goli la kiufundi? Uliangalia goli lenyewe au umesimuliwa?Uko sawa ila tusiwachukilie poa, lile goal waliowafunga Makolo leo lilikuwa la kiufundi sana.
Kitu ambacho nimeona kwa Al Ahly hawakutaka sana kutumia nguvu kwenye hili Bonanza ili kulinda wachezaji kwenye Klabu Bingwa Championship ambapo linaenda mpaka mwakani huko
Kwan we mwarabu hakukufunga hapo kwa mkapaihefu hajaanza msimu huuu..game nyingine kamati za ufundi zinaset mitambo sawa......iliopita ihefu kapiga ila ,mziki hadi fainali.......naona bado hamjapata code za kumtandika mwarabu kwao,,,,hio ni sketa ya yanga tu
Waarabu gani hao unaowazungumzia, uliowapiga kwao?ihefu hajaanza msimu huuu..game nyingine kamati za ufundi zinaset mitambo sawa......iliopita ihefu kapiga ila ,mziki hadi fainali.......naona bado hamjapata code za kumtandika mwarabu kwao,,,,hio ni sketa ya yanga tu