Al Ahly ya sasa imeshuka sana ubora, si ajabu hata USM Algier walijipigia. Yanga tunaenda kumchapa kwa Mkapa na kwake

Al Ahly ya sasa imeshuka sana ubora, si ajabu hata USM Algier walijipigia. Yanga tunaenda kumchapa kwa Mkapa na kwake

Daima mbele.... nyuma mwiko!

Kama wale tu ambao nembo ya mdhamini wao (MO)nembo inakaa kwenye makalio!

Wameweza kudraw.... Mziki wa wananchi ni habari ingine!
Ihefu tu mmeshindwa kushikilia bomba,acheni ushabiki wa kimbumbumbu,kule kina Arajiga hawapo
 
Ihefu tu anawahenyesha itakuwa huyo bingwa wa kihistoria, acheni umbumbumbu wa kiushabiki
ihefu hajaanza msimu huuu..game nyingine kamati za ufundi zinaset mitambo sawa......iliopita ihefu kapiga ila ,mziki hadi fainali.......naona bado hamjapata code za kumtandika mwarabu kwao,,,,hio ni sketa ya yanga tu
 
ihefu hajaanza msimu huuu..game nyingine kamati za ufundi zinaset mitambo sawa......iliopita ihefu kapiga ila ,mziki hadi fainali.......naona bado hamjapata code za kumtandika mwarabu kwao,,,,hio ni sketa ya yanga tu
Mlipomfunga mlirudi na kombe?
 
Niseme ya kwamba Yanga ina bahati na kupangiwa timu kubwa ambazo huwa zinapatwa na matatizo, walianza na Tp Mazembe na msimu huu ni Al Ahly
Uko sawa ila tusiwachukilie poa, lile goal waliowafunga Makolo leo lilikuwa la kiufundi sana.

Kitu ambacho nimeona kwa Al Ahly hawakutaka sana kutumia nguvu kwenye hili Bonanza ili kulinda wachezaji kwenye Klabu Bingwa Championship ambapo linaenda mpaka mwakani huko
 
Niseme ya kwamba Yanga ina bahati na kupangiwa timu kubwa ambazo huwa zinapatwa na matatizo, walianza na Tp Mazembe na msimu huu ni Al Ahly

Al Ahlu ya sasa ni timu nzuri ila kuna matatizo ndani ya timu, Kumekuwa na habari kwamba kuna migongano kwa upande wa strikers, Yani hats nafasi zitengenezwe vipi strikers wanavurunda kwa maksudi, magoli ya kufunga ni ya kusawazisna ama wakikosa namna ya kuvurunda, ndio maana hata leo mmeweza kuona nafasi takribani 40 zimetengenezwa lakini ni goli 1 tu limefungwa tena ni la kusawazisha ndani ya dakika 5.

Strikers kuna muda wanabaki na kipa lakini wanabutua nje (Tau akiwa kinara), wanafanya hivi maksudi na hata watengenezewe nafasi kiasi gani kufunga ni kwa kusawazisha pekee ama ikiwa ngumu kuvurunda.

Si ajabu hata usm alger (bingwa wa shirikisho) alifaidika na udhaifu huu wa Al Ahly, alifomfunga ikawa ni mwanzo mwisho kujiangusha ili Al Ahly asisawazishe

Al Ahly kwa sasa kuna migongano nfani ya timu upande wa strikers,
ni kweli
 
ihefu hajaanza msimu huuu..game nyingine kamati za ufundi zinaset mitambo sawa......iliopita ihefu kapiga ila ,mziki hadi fainali.......naona bado hamjapata code za kumtandika mwarabu kwao,,,,hio ni sketa ya yanga tu
Ndio umbumbumbu wenyewe huo kuamini uwizadi na kila mara mnakandwa tu
 
Yanga haitashinda mechi hata moja.
Itadraw kwa mkapa itafungwa cairo
 
Naona watanzania wasivyo takiana mema.. Mola atuamshe.
 
Uto mnapenda kupitia mgongo wa simba ,,simba aki perfom mnazan na nyie mtaweza ,,,subrien si ni mwez ujao tu tuone,,ihefu mwenyew anawakojelea sembuse warabu wawil 🤣🤣
 
Uko sawa ila tusiwachukilie poa, lile goal waliowafunga Makolo leo lilikuwa la kiufundi sana.

Kitu ambacho nimeona kwa Al Ahly hawakutaka sana kutumia nguvu kwenye hili Bonanza ili kulinda wachezaji kwenye Klabu Bingwa Championship ambapo linaenda mpaka mwakani huko
Goli la kumbabatiza mtu kichwani ndio goli la kiufundi? Uliangalia goli lenyewe au umesimuliwa?
 
ihefu hajaanza msimu huuu..game nyingine kamati za ufundi zinaset mitambo sawa......iliopita ihefu kapiga ila ,mziki hadi fainali.......naona bado hamjapata code za kumtandika mwarabu kwao,,,,hio ni sketa ya yanga tu
Kwan we mwarabu hakukufunga hapo kwa mkapa
 
ihefu hajaanza msimu huuu..game nyingine kamati za ufundi zinaset mitambo sawa......iliopita ihefu kapiga ila ,mziki hadi fainali.......naona bado hamjapata code za kumtandika mwarabu kwao,,,,hio ni sketa ya yanga tu
Waarabu gani hao unaowazungumzia, uliowapiga kwao?

Naamini unamaanisha Waydad, Raja, Ahly, Pyramid, Zamalek, Esperance, Belouzidad.

Nje ya hapo sidhani kama una haki ya kujiona bingwa dhidi ya waarabu, kwasababu haujakutana Big fishes ikilinganishwa na Simba Sc.
 
Back
Top Bottom