Al-Barzakh: Haya ndio Maisha ya Kaburini baada ya kufa

Mwamba aliingizwa mkenge na mwanamke wa kiyahudi

Issue ya adhabu ya kaburi muhmmad alikuwa hajui kabisa, mwanamke wa kiyahudi alikuwa anamuhadithia aisha kwamba kuna adhabu na kuna test kwenye kaburi, muhhamad akakasirika sana kusikia hizo habari akasema waislamu hawatakuwa tested ni wayahudi ndio watakuwa tested.

Baada ya siku chache muhhammad akaja na stori kwamba ameletewa habari na jibril kwamba kutakuwa na test kwa waislamu pia , kuanzia hapo akawa kila akiomba anamuomba Allah amuepushe na adhabu ya kaburi

"Muhhammad came to me and there was a Jewish woman with me who was saying: 'You will be tested in your graves.' Muhhammad got upset and said: 'Rather the Jews will be tested."' 'Aishah said: "A few nights later, Muhhammad said: 'It has been revealed to me that you will be tested in your graves."' 'Aishah said; "Afterward I heard the Messenger of Allah seeking refuge with Allah from the torment of the grave. Sunan an-Nasa'i 2064
 
Nikitoka hapa mojakwamoja mpaka kwenye darasa la bi Faiza foxy (our Jf Shekhat)
 
Nilisikiliza darsa la Barzakh na lilikiwa jambo geni sana kwangu. Never in my life niliwahi kujua kwamba kuna somewhere in between this world ambako ni Barzakh.

Nilifurahi sana. Why?

1. Tuna uwezo wa kuwaombea waliotangulia na Mwenyezi Mungu akawajaalia wepesi na Nur yake katika mapumziko yao. Your fate can be changed by dua.... so can that of our dear departed family, friends and loved ones.

2. Nilifurahi kujua kwamba wanaishi kwa kutembeleana hivyo wakati tunawaaga huku tunatakiwa tuwaage wavae nguo zao (sanda) na manukato mazuri kwa vile huwa wanapokeana na kutembeleana. Wanaulizwa vipi fulani na fulani umewaachaje? Na wao wanajibu kulingana na hali ilivyo.

3. Kila Ijumaa wanarudi kwenye makazi waliyokuwa wanaishi na kama ulitoa sadaqa kwa ajili ya kuwaombea kwa Mwenyezi Mungu basi wanakuwaga na furaha sana. But kama tumejisahau wanakuwaga na masikitiko sana. Ilinifanya nikawa na bidii ya kutoa chocjote so that my relatives smile. I really miss my Babu, I really miss all of them. Mwenyezi Mungu atukutanishe na ndugu zetu na wapendwa wetu waliotangulia.

Kuna mengi ya kujifundisha and the story of Barzakh is a beautiful one.

Asante mtoa mada.
 
Achana na hili Jahili utajisumbua buureee
 
Ikiwa kuna adhabu ya kaburini basi Allah itakuwa katudanya (AstaghafiruAllah) anaposema kwenye Qur'an kuwa kuna siku ya kiama (Kusimamishwa) kuhukumiwa? Sasa iweje tena tuhukumiwe kabla ya Kiama?


Mbona kuna watu Mungu amewaadhibu hapa hapa duniani na bado anaendelea kuwaadhibu na huko akhera watu hao watakutana na adhabu ya moto (hii ni kwa mujibu wa Qur'an), sasa huoni hapa Mungu anatoa hukumu hata kabla ya Qiyama??!-- sasa Mungu anashindwaje "kuzionjesha" adhabu katika Barzakh roho zilizokuwa ovu na "kuzionjesha" raha roho zilizokuwa njema??
 
Achana na hili Jahili utajisumbua buureee
Shidanashindwa kujibu , kasema vitabu vipo namuuliza surah moja moja at least 5 kakimbia , muwe mnajipanga sio kupiga story tu tukuache uende
 


Sijui hicho cha kuvaa nguo na kutembeleana kwa roho zilizomo Barzakh ni sahihi.

Kumbuka Barzakh ni kaburi ambamo roho iliyotengana na mwili huishi humo ikisubiri kufufuliwa kuingia akhera ili baadaye ikasimame katika hukumu (Qiyama), hivyo maisha ya roho katika Barzakh waweza fananisha na maisha ya mimba katika tumbo la mama, mimba inayosubiri kuzaliwa kuja duniani, katika Barzakh roho inasubiri ifufuliwe kuingia ulimwengu wa Akhera.
 
Swali zito sana tulitoka wapi? Sababu theory of evolution ukiisoma inajichanganya and it doesn't make any sense, hata theory ya cosmic inflation pia doesn't make any sense!!


Tulichipuka kutoka ardhini kipindi dunia hii ilipokuwa katika hatua ya "Biotic Soup"--- walianza wanyama, ndege na viumbe wengine hatimaye ndio watu wakachipuka na Mungu akaweka mfumo wa kuongezeka jinsi kwa kuzaliana na baadaye sana Mungu alipoona mtu anahitaji Muongozo wa kiroho na ustaarabu ndipo akaanza kutuma manabii wake na Nabii wa kwanza kutumwa duniani kwa watu wake alikuwa Adam, hivyo Adam ni nabii wa kwanza kutumwa duniani na Mungu na sio mtu wa kwanza kuumbwa kama jinsi inavyoaminiwa kimakosa na watu wengi.
 
Nani alienda akarudi na hizo hadithi
 
Ikiwa mwili utaoza ni kipi Kinachomfanya Firauni aliyejiita MUNGU asioze hadi leo karne na karne?
Kwa iyo kwaakili yako unahisi firauni hafanyiwi chochote kuzuiwa kuoza


Aahaaah aah dah akili zetu sisi aiseee, ulaya pia kuna watu hawaozi wamewekwa kusubiria improvmnt ya kisayans ili wafufuliwe teena baadae... Je na wao ni mafirahun??
 
Huenda sikujieleza ndivyo. Ila ni kwamba katika maandalizi ya safari ya mwisho, tunatakiwa tuwaaandae vizuri na manukato pia sababu huwa wanatembeleana.
 
quran ina miaka 1500,biblia ina miaka 2000 shinto ina miaka 5000 punguza mihemko ongea reality,acha kukremisha uliyomezeshwa madrasa na ustazi
Ndo unavyojidanganya hivo kama quran ina miaka 1500 na ukaidanganya nafsi yako pia..Hiyo quran inayoizungumzia ni maneno ya Allah na na nimuongozo ambao ameupangalia billions of years kabla ata wewe mwanadamu hujafikiriwa kuumbwa sio hio miaka 1500 unayosema ..hyo miaka elfu na miatano unayosema ndo ilipokamilika kuteremshwa tu..isome dini upate kuelewa,,
Allah akuongoze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…