Al-Barzakh: Haya ndio Maisha ya Kaburini baada ya kufa

Endeleeni kujifariji na hadaa za ulimwengu mkifikiri hakuna source ya maisha.

Nani alikuwa na uhakika wa kuzaliwa? Kwani binadamu wa kwanza alitoka wapi?
Utabishaje na utaachaje kuamini vitabu vitakatifu kuhusu miongozo mbali mbali wakati hip sayansi imevikuta. Vitabu?

Ni pumzi tu ndio inatuzubaisha. Hakuna ajuaye dakika moja mbele nini kitamtokea.

Maisha ya mwanadamu yote in siri. Mitume ilipewa miongozo ili kujua Muumba anataka nini. Kila kitu kimeelezwa.
Endeleeni kubisha
 
Yaani binadamu ni dhaifu tu.

Hebu tazama namna nguvu za Muumba zinavyoregulate mambo. Chukua fumbo LA rizki na mgawanyo wa chakula kwa viumbe. Ona mimea, ona wadudu, ndege, binadamu na viumbe wasioonekana. Hill in somo tosha kwa wenye akili kwamba kuna source beyond horizon zinafanya haya mambo yaende kwa mpangilio maalumu.

Sasa jiulize kama hujui mini kitatokea dakika moja mbele, utabishaje miongozo inayoelezea mambo kabla hao wanasayansi mahiri hawajazakiwa
 
Mafarao na watu wenye pesa walikuwa wanafanyiwa Embalment na hiyo iliwafanya waishi. Hata wewe ukifanyiwa mwili wako hautaoza karne na karne. Ni aina ya preservation. Na ilikuwa na maana kubwa kwenye imani yao juu ya maisha baada ya kifo!
Mfano ni ROZALIA LAMBARDO
 
Kifo sio fulustop bali ni alama ya comma,rejea kufa na kufufuka kwa Bwana Yesu na akatuambia anakwenda kwa Baba kututengenezea makao,

Rejea maneno ya Bwana Yesu,Nitalivunha hekalu na kulijenga kwa siku tatu yaani atakufa na kufufuka siku ya tatu.

Rejea kupaa kwa Eliya alipochukuliwa na Kigali cha moto na kuondoka nae,

Rejea kupalizwa mbinguni kwa Bikira Maria,

NB:Yote yanathibitisha kuwepo kuwa kifo sio mwisho Ila kuna maisha mengine baada ya kifo.

Nina shuhuda mbili:

1.Niliona wingu likishuka mahali fulani na lilipoondoka mahali hapo mtu alikufa,wingu lilikuja kumchukua,huo ni ukaribisho mwema kwenda kwenye maisha mengine.

2.Naliona Malaika wakitua mfano wa radi,radi ilipiga na ilipotua chini mfano wa Malaika alitokea,na mahali hapo alikuwa anatarajiwa kupita mtu fulani na alipopita baadae alikufa,Malaika wale walikuja kumchukua.

Sasa maisha baada ya kifo,kwa watu wema unaenda Paradiso,sehemu kama iliyokuwa bustani ya Eden utaendelea na maisha hadi Bwana Yesu atakapowachukua kuwarudisha tena duniani kutawala nae kwa miaka 1000 na baada ya miaka 1000 kuisha utashuka mji mpya wa Jerusalem na hukumu itapita na wale wema wataingia Jerusalem kuishi milele.

Kwa watu waovu wakifa watasubiri kwenye udongo hadi siku ya hukumu na kuhukumiwa kuingia Jehanamu.
 
Umekurupuka sana kujibu ujinga. Umeona ulichonukuu kilikuwa ni jibu la swali gani? Ukiwa emotional ni rahisi kufanya makosa ya kijinga kama haya. Ukiisha tulia soma tena mtiririko halafu uje uandike tena comment ndefu kuliko hii
 
Hizi ni hekaya tuu, ukifa kwanza joto la mwili hushuka damu huganda, unapata rigor mortis, baadae bacteria wa utombo mkubwa wanaanza kukutafuna. Ila ikumbukwe wewe huna fahamu yani ndio basi tena mwili wako utatumika kusaidia maisha mengine humu duniani.
Mikwara ya ukifa sijui kuna adhabu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu wanachomwa moto hilo kaburi wataliona wapi, watu wanaliwa na simba kabuti hilo wataliona wapi
 
Hamna usingizi mzito ukifa tuu baada ya dakika chache seli zako huanza kufanya anerobic respiration, inatengeneza accetic acid, unapata rigor mortis then bacteria wa tumbo wanaanza kukutafuta na kutengeneza magesi ndio maana tumbo hujaa gas. Ukiendelea bacteria wanakutafuna mpaka unaoza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Sasa hiyo kiama itakuwaje wakati lazima uoze. Ukiliwa na mnyama ndio basi tena unageuka choo
 
Jambo moja, binafsi naamini kwamba kuna source beyond horizon. Hili ni wazi, maana hata sayansi imeshindwa kutoa majibu zaidi ya nadharia kwenye mambo mengi ya maisha yetu hapa ulimwenguni.
Mimi wasiwasi wangu ni kwenye hizi dini, pindi watu wanapobeba mambo mazima mazima bila kutumia akili. Nakupa mfano: unakuta imani fulani inatoa hukumu moja kwa moja kwamba imani fulani watu wake ni wa motoni tu licha ya watu wa imani hiyo kuutambua uwepo wa Mwenyezi Mungu, kisa tu wana practise tofauti na hiyo imani nyingine. Huu kwangu ni upotofu.
 
Hii ni sayansi au masimulizi tu ya alpha lela ulela?
 
Asante kwa darasa, japo ni mwamini wa upande wa pili wenu lakini nimekuelewa mno.
 
Mosi bandiko haliko jukwaa sahihi.

Pili kuna aliyewahi kushuhudia hizo adhabu atuthibitishie?
 
Huko kuona uliona ukiwa umelala au uliona live mkuu

Huo mji wa yerusalem ni yerusalem hii hii tulio nayo ambayo haipo hata kwenye miji 10 bora duniani? Hii ambayo kwa sehemu ni bora hata mji wa dar es laam?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…