balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Majamaa majinga sana haya.Nachukia jitu linalohusisha huu mgogoro huu na vita ya kidini .Mbona wakazi wa Jerusalemu wana dini tofauti na hawagombani?Waliouawa ni wapalestina sio waislam we jamaa, Palestine kuna wakristo pia. Mkishakula magimbi mkavimbiwa mnatuachia mishuzi tuu.
Kumbe waliokufa ni waislam? nilizani ni wapalestina.Unafaidika na nini kuuliwa waislam?
Wewe ni msenge ,hao mashoga wenzako wa Kizayuni wamelipua kanisa tena na kuua watu 40 na mamia wengine kujeruhiwa .Jana dunia nzima ilikuwa inaamini kwamba Israel kalipua hospitali lakini ajabu ni kwamba muda wote huo Al Jazeera alificha video za ushahidi kwamba bomu lililorushwa na Hamas lilijamu angani na kushuka kwa kishindo kwenye hospitali ya Gaza kupelekea mlipuko na vifo vya wapalestina kibao.
Hii ni live footage ya mji wa Gaza iliyokuwa inarushwa live kwenye channel ya Al Jazeera lakini walipoona Hospitali imelipuliwa kwa kombora la Hamas lililojamu angani wakakatisha live footage na hawajuripoti tena mpaka sasa, uzuri ni kwamba teknolojia imekua nakala zinatunzwa.
Ikumbukwe hospitali ina umeme sababu ina bati la sola
View attachment 2785279
Jana dunia nzima ilikuwa inaamini kwamba Israel kalipua hospitali lakini ajabu ni kwamba muda wote huo Al Jazeera alificha video za ushahidi kwamba bomu lililorushwa na Hamas lilijamu angani na kushuka kwa kishindo kwenye hospitali ya Gaza kupelekea mlipuko na vifo vya wapalestina kibao.
Hii ni live footage ya mji wa Gaza iliyokuwa inarushwa live kwenye channel ya Al Jazeera lakini walipoona Hospitali imelipuliwa kwa kombora la Hamas lililojamu angani wakakatisha live footage na hawajuripoti tena mpaka sasa, uzuri ni kwamba teknolojia imekua nakala zinatunzwa.
Ikumbukwe hospitali ina umeme sababu ina bati la sola
View attachment 2785279
Basi fahamu hivyo. KKumbe waliokufa ni waislam? nilizani ni wapalestina.