#COVID19 Al-Jazeera: President Magufuli claims, without evidence, that vaccines against COVID-19 are dangerous

#COVID19 Al-Jazeera: President Magufuli claims, without evidence, that vaccines against COVID-19 are dangerous

Ngoja nione hii movie itaishia wapi......Magufuli vs Covid-19....Magufuli vs The world
 
"a vaccination for AIDS would have been found, a vaccination for tuberculosis could have eliminated it by now; a Malaria vaccine would have been found; a vaccination for cancer would have been found by now,”

This statement forces me to appreciate my president due to the factor that, whites have determined that the disease is largely affecting their life compared to africans that is why they are working hard for vaccine. while HIV and malaria affects a large number of Africans whites have shown no measures to introduce their vaccine so as to contain these diseases,so let them carry their cross

What has been spoken by hon.Magufuli is the bitter truth which isn't good to white men.

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Umekariri chanjo lazima iwe sindano ya kupiga begani

Tumetumia mitishamba na nyungu na Corona ikapeperushwa hadi nyie wasomi makini mkavua Barakoa na kuacha vitakasa mikono mkashiriki kampeni zote za uchaguzi bila ya kanuni zozote za kujilinda
izo vaccine unataka agundue nani? kwani nyie waafrika mmezuia kugundua

labda unijuze kwa nini hamjagundua izo vaccine.
 
Umekariri chanjo lazima iwe sindano ya kupiga begani

Tumetumia mitishamba na nyungu na Corona ikapeperushwa hadi nyie wasomi makini mkavua Barakoa na kuacha vitakasa mikono mkashiriki kampeni zote za uchaguzi bila ya kanuni zozote za kujilinda
Wenywe wanaamini wakati wa kampeni ndio corona ilipungua ndio maana wakawa wanajazana kwenye mikutano ya kampeni bila barakoa wala tahadhari yeyote.
 
Umekariri chanjo lazima iwe sindano ya kupiga begani

Tumetumia mitishamba na nyungu na Corona ikapeperushwa hadi nyie wasomi makini mkavua Barakoa na kuacha vitakasa mikono mkashiriki kampeni zote za uchaguzi bila ya kanuni zozote za kujilinda
mlitumia mafichoni ama wapi? dawa ya madagasca ilinyunyizwa na ndege Tanzania nzima nini?

imepeperushwa lini kila siku watu wanakata moto kwa jina jipya la nimonia
 
Ni kifuani hapo hapo uwe unaelewa bwashee!
Haimake sense!Yaani kwa sababu wameshindwa kutengeneza chanjo ya kifua kikuu basi watashindwa kutengeneza chanjo ya corona?Mbona kuna chanjo kibao wametengeneza kama vile chanjo ya polio,ndui,etc?Kuna uhusiano gani special kati ya chanjo ya kifua kikuu na chanjo ya Corona kiasi kwamba wakishindwa kutengeneza chanjo ya kifua kikuu basi watashindwa pia kutengeneza chanjo ya Corona?
 
Haimake sense!Yaani kwa sababu wameshindwa kutengeneza chanjo ya kifua kikuu basi watashindwa kutengeneza chanjo ya corona?Mbona kuna chanjo kibao wametengeneza kama vile chanjo ya polio,ndui,etc?Kuna uhusiano gani special kati ya chanjo ya kifua kikuu na chanjo ya Corona kiasi kwamba wakishindwa kutengeneza chanjo ya kifua kikuu basi watashindwa pia kutengeneza chanjo ya Corona?
Kwanini ukishachanja unaendelea kuvaa barakoa?

Samahani lakini!
 
Kwenye hii mapambano ya Covid19, probably makosa pekee ya Magufuli ni kuficha data na kuruhusu wageni wavuke mipaka yetu na kuingia nchini bila haja ya kuonyesha negative test certificates.

Mtu hahitaji kuambiwa na Magufuli avae barakoa au anawe mikono kwa sabuni na kusanitize as many times as possible

Hakuna success story yoyote kutoka kwa Nchi zilizo impose lockdowns, kufunga mipaka na hata hizo chanjo zenyewe

Utalock down nchi au miji until when? Unalock down then unafanya nini - kusubiri beberu apate tiba then akupe msaada?
 
Kwanini ukishachanja unaendelea kuvaa barakoa?

Samahani lakini!
Kwani kupata chanjo inakufanya usiwe carrier?Kupata chanjo haikufanyi usiwe virus carrier,kwa hiyo kuendelea kuvaa barakoa ni muhimu ili kuepuka kuambukiza wengine.Halafu maswali yangu ya msingi hujanijibu hapo juu!
 
Back
Top Bottom