Hoshea
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 5,420
- 3,772
Kwann tumu impeachBrazil wanataka ku- impeach RAIS wao JAI BOLSONARO , sisi sijui wale makanjanga walio jaa bungeni wanaweza kutoa uamuzi mgumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann tumu impeachBrazil wanataka ku- impeach RAIS wao JAI BOLSONARO , sisi sijui wale makanjanga walio jaa bungeni wanaweza kutoa uamuzi mgumu
Mbona na sisi wanasayansi kimu wana chanjo za kuzuia wachawi na wanga[emoji854]Kwani kuna chanjo ambayo imesha wahi kugunduliwa Tz? Pia serikali yetu inafanya nini ili kupata chanjo isiwe na shaka.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mr.President![emoji124][emoji124][emoji124]
View attachment 1687661
Yes. Unawapa data watu ili wapate hofu na wacheze kwa step. Nothing else.Mkuu kuhusu data, zimewasaidiaje USA, UK, Italy, France etc. Je, vifo nchini mwao vimepungua kwa sababu ya kuweka data? Au unaweka data kuweka hofu tu?
Mkuu kubali tu kuwa safari hii tumepatikana. Aibu yetu imefika hadharani. Ingekuwa heri haya mengine yangeishia huko ndani ya vikao vya kamati kuu bila waandishi wa habari wala simu kuruhusiwa.Rais Magufuli ameongea ukweli mchungu!
We makalio yako hajayakamataJpm baba lao amewakamata makalio hao mambuzi mnalia nao
Kifua kikuu sikuna dawa chanjo ya ninKama chanjo ya kifua kikuu imewashinda ndio wataweza ya Corona?
Mbona Ukimwi hauna chanjo lkn dawa mnazipokea na kubwia kama lawalawa... si zinatoka kwa mabeberu hizo? Umewaza polio ingekua haina chanjo hali ingekiwaje? Hivi hata huwa mnasoma historia ya dunia na chanjo zilizopo zimesababishwa na nini?? Kwanini hapo begani kwako una chanjo ya ndui? Hyo mliigundua hapa hapa au ya mabeberu?Rais Magufuli ameongea ukweli mchungu!
Wakati begani ana chanjo ya ndui [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ZERO BRAIN at his best.
Kama mmethibitisha hizo chanjo zina madhara kwanini mpk leo watoto wanapigwa chanjo? Yaani its just a matter of time.. mtaleta chanjo hlf muanze kuziuza kwa bei ya madolari kama yote sijui mtakuja kufuta vipi huu usemi wako hapa.Hotuba bora kabisa kuwahi tolewa na Rais wetu tangu achaguliwe tena awamu ya pili ni hii ya leo!
Mtume S.a.w anasema 'Sema kweli japo ukweli unauma'
Rais Magufuli kasema ukweli ambao wengi wanaujua lakin hawathubutu kuusema
Hivi hamjui kuwa Wasichana wengi wa mjini hasa walau waliomaliza elimu ya Sekondari wanakabiliwa na matatizo ya Uzazi kutokana na chanjo walizodanganywa kuwa ni za kuzuia Mabusha ya kike na kansa ya shingo ya uzazi mwanzoni mwa miaka ya 2000?
Rais Magufuli ni shujaa wa kuuzungumza ukweli hadhran kuliko Rais yeyote aliewahi kutawala Tz tangu Dunia ianzishwe
Kuna Poyoyo wanamshinikiza Raia afunge nchi bila ya kutuambia ni nchi gani imeishinda Corona kwa hatua walizochukua?
Yaan tuache Nyungu na dawa zetu za mitishamba tulizothibitisha ubora wake sie wenyewe tukakabidhi mabega yetu kwny Machanjo ambayo hata Raia wao wenyewe wanatilia shaka pamoja na kampen zote walizofanya?
Kwny Corona nampongeza sana Rais wetu na namuombea kwa Allah Subhana wa taala aendelee kumpa ujasiri na uthubutu!
1) Aljazeera kwa unafiki wao wanataka evidence gani toka kwa Rais wetu kuhusu hizo chanjo wakati sote tunajua chanjo za Corona zime skip principle kadhaa muhimu za chanjo zote zilizowahi kutolewa na kuthibitishwa na WHO ikiwemo kufupishwa kwa muda kutoka miezi 18 hadi chini ya miezi 12 bila ya kutuambia athari za kuchepushwa huko
2) mbona chanjo hizo hazijapunguza waathirika
3) Waliopata hizo chanjo tumeshataarifiwa wanagongwa tena na Corona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] are you serious???Lakini kwanini watalaam wetu, ambao ni madaktari wetu wasigundue chanjo yao kuliko kuamini chanjo za weupe ,
Andiko bora kabisa hili. Nadhani Rais wetu ana roho mbaya sana na anatamani tufe sote. Shida kubwa ni katiba yetu inamuweka huyu mtu juu ya kila jamboNimemsoma Magufuli akizungumzia ujio wa Corona mpya nchini kwanz amekiri ipo akidai imeletwa na watu walioenda kutafuta chanjo nje, hapa naamini lile tamko lake la kusema Corona hakuna Tanzania ndio kalifuta rasmi.
Lakini pia amekazania watanzania wasitumie kinga kwasababu wazungu hawatupendi, hiyo kinga anadai inaweza kusababisha tusizaliane kwa mtazamo wake anadai wazungu hawapendi tuzae.
No research, no right to speak; huyu mtu aliemtumbua yule mtoto wa Malecela NIMR kwasababu alitimiza majukumu ya kazi yake kwa kutoa taarifa ya kitaalamu nitamwamini vipi kwenye hii sababu yake ya wazungu hawatupendi? sio yeye ndio hapendi matokeo ya kazi za kitaalamu?
He is not a doctor or a pharmacist, but kwanini hupenda kuingilia taaluma za watu kwa kutoa majibu mepesi kwenye maswali ya msingi? hapa nikisema yeye ndio hawapendi wazungu ndio maana huwasingizia vitu asivyo na uthibitisho navyo nitakuwa nakosea?
Nikiri hapa, mtazamo wa Rais wetu kwenye hili jambo ni wa kushangaza na kusikitisha, sasa kama Rais hataki watu wake wajikinge kwa chanjo ambayo naamini ametumia hisia kusema hiyo chanjo sio salama kwa raia, na kusisitiza watu wajifukize.
Sasa huku kujifukiza kulithibitishwa na maabara ipi hapa kwetu wakati maabara ile ya mwanzo iliyopima mapapai walidai ilikuwa mbovu? na mtaalamu wake akatumbuliwa?
Unazungumzia madaktari wa mitishamba au hawa akina Kigwangalla na Mollel?!Lakini kwanini watalaam wetu, ambao ni madaktari wetu wasigundue chanjo yao kuliko kuamini chanjo za weupe ,
Mnawafunga watu midomo. Nan kasema,eti usiongee bila utafit mbona kuna mambo yapo wazi hata haiitaji utafit!!!No research no right to speak.
John na wewe unakuwaga mweupe kichwani hivi? Ushaona wapi chanjo inajenga kinga immediately? Yaani ukichoma tu tayari mwili umetengeneza antibodies za kutosha??!!Kwanini ukishachanja unaendelea kuvaa barakoa?
Samahani lakini!
Nimeona aibu sana !Ndio faida ya kuongea bila kufanya utafiti.