The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Data za kipindupindu na ukimwi tunaweka na tulikuwa tunasema au vitisho tu?? Data zinasaidia kujuwa mko wapi na mnaenda wapi je hatua mnazochukuwa zinasaidia au hapana ili kurekebisha makosa. Nchi duniani zili sign makubaliano ya kuwa na uwazi katika mambo kama haya na sababu kuu ili kumfanya yule ambaye hajaathirika kuchukuwa hatua. Kwenye mtaa kama kuna mtu kavamiwa au anaibiwa na vibaka mara nyingi atawaambia jirani zake jamani kuna vibaka wanakuja kwangu hebu kuweni makini au jamani kuna watu wanakuja kugonga mlango lakini ni matapeli ili tahadhari iwepo sasa kila mtu akikaa kimyaa ngoja na jirani limpate tusichekane haileti maana. ndio maana kuweka Data wazi ili watu wajue serious ya janga.Mkuu kuhusu data, zimewasaidiaje USA, UK, Italy, France etc. Je, vifo nchini mwao vimepungua kwa sababu ya kuweka data? Au unaweka data kuweka hofu tu?
Bahati nzuri hujafikwa. Not infected neither affected. Siku ikikufika utacomment kwa kutumia mdomo na akikili siyo kinyeo.Watulie hatutaki chanjo, hizo chanjo nyengine ni hormones [emoji2359]
Waziri mkuu wa UK kasema jana wazi kuwa na chanjo na matokeo ni mambo mawili tofauti, amesema hivi, ikifika kati ya Feb tutapata picture nzuri huko tunakoenda kwa maana tukiona level ya wagonjwa mahospitalini inashuka na chanjo zikiwa zinaendelea itatupa picha halisi ya huko mbeleni ili by March 8 watoto wetu warudi mashuleni. chanjo zimeanza kutolewa inachukuwa muda kufikia watu wote haya ndio maneno aliyosema. Sasa chanjo haikufanyi kutopata corona ila hutaumwa itakuwa kama mafua ya kawaida tu. Case ya Rais wetu siku ikifika halafu chanjo wamechoma sana lakini bado Hosp zinajaa hapo Magufuli atakuwa kashinda lakini sasa Data zikija kuthibitisha kuwa kila chanjo zinavyotolewa number hosp zinashuka wagonjwa wanapungua hapo ndio aibu yetu tuje tuanze na mambo ya kinadharia tu hawa hawatupendi basi hawataki tuzae.....bla blaSiku zote Aljazeera ni wachonganishi: media houses nyingi zimeripoti athari ambazo waliopata chanjo wamezipata including VIFO, na technical team nyingi zimekiri kuwa uwepo 20% or so wanaopata athari ni jambo dogo, why Magufuli aonekane kituko wakati akisema ukweli. Natamani kufanya compilation ya unexpected outcome ya vaccination, none the less, haiwezekani u develop chanjo na ndani ya miezi sita ianze kutumika, definately yale mabaya ya chanjo yanakuwa hayajajionesha na kupatiwa ufumbuzi
We sifia ujinga tu ngoja ubanwe pumzi ndo utajua hujuiJpm baba lao amewakamata makalio hao mambuzi mnalia nao
hivi hawa waliokaribu nae kwanini wasitusaidie kutu.... tuanze upyaaaaaaaaaaaNimemsoma Magufuli akizungumzia ujio wa Corona mpya nchini kwanz amekiri ipo akidai imeletwa na watu walioenda kutafuta chanjo nje, hapa naamini lile tamko lake la kusema Corona hakuna Tanzania ndio kalifuta rasmi.
Lakini pia amekazania watanzania wasitumie kinga kwasababu wazungu hawatupendi, hiyo kinga anadai inaweza kusababisha tusizaliane kwa mtazamo wake anadai wazungu hawapendi tuzae.
No research, no right to speak; huyu mtu aliemtumbua yule mtoto wa Malecela NIMR kwasababu alitimiza majukumu ya kazi yake kwa kutoa taarifa ya kitaalamu nitamwamini vipi kwenye hii sababu yake ya wazungu hawatupendi? sio yeye ndio hapendi matokeo ya kazi za kitaalamu?
He is not a doctor or a pharmacist, but kwanini hupenda kuingilia taaluma za watu kwa kutoa majibu mepesi kwenye maswali ya msingi? hapa nikisema yeye ndio hawapendi wazungu ndio maana huwasingizia vitu asivyo na uthibitisho navyo nitakuwa nakosea?
Nikiri hapa, mtazamo wa Rais wetu kwenye hili jambo ni wa kushangaza na kusikitisha, sasa kama Rais hataki watu wake wajikinge kwa chanjo ambayo naamini ametumia hisia kusema hiyo chanjo sio salama kwa raia, na kusisitiza watu wajifukize.
Sasa huku kujifukiza kulithibitishwa na maabara ipi hapa kwetu wakati maabara ile ya mwanzo iliyopima mapapai walidai ilikuwa mbovu? na mtaalamu wake akatumbuliwa?
Hizi ni kauli za KibeberuNo research no right to speak.
Kuna hoja ya msingi na ya kitaalam juu ya chanjo: ni pale ambapo wanapewa chanjo watu kadhaa, 10% wanakufa immediately, hii ndo hoja ya msingi. Hii ni kielelezo kuwa chanjo haijawa na sifa lengwa, wengine wamesema kuwa baada ya kupewa chanjo walitest +ve kwa HIV, si taarifa njema hizi na haya ndo mambo ya msingi ya kuzungumzia badala ya ;chanjo zinavyotolewa number hosp zinashuka wagonjwa wanapungua hapo ndio aibu yetu tuje tuanze na mambo ya kinadharia tu hawa hawatupendi basi hawataki tuzae.....bla bla
Hakuna anayepinga Magufuli anayethubutu kujibu hizi hoja. Ni makelele tu yasiyo na mpangilio na kutusi na kushutumu Rais. Mpaka sasa bro Magu ndiye kiongozi pekee aliyeweza kui-outstand corana hapa duniani.Kwenye hii mapambano ya Covid19, probably makosa pekee ya Magufuli ni kuficha data na kuruhusu wageni wavuke mipaka yetu na kuingia nchini bila haja ya kuonyesha negative test certificates.
Mtu hahitaji kuambiwa na Magufuli avae barakoa au anawe mikono kwa sabuni na kusanitize as many times as possible
Hakuna success story yoyote kutoka kwa Nchi zilizo impose lockdowns, kufunga mipaka na hata hizo chanjo zenyewe
Utalock down nchi au miji until when? Unalock down then unafanya nini - kusubiri beberu apate tiba then akupe msaada?
Msingi wa hizo data na vinavyoitwa tahadhari dhidi ya corona lengo lake kubwa ni kujaza watu hofu na hivyo kuufanya ugonjwa kuendelea kuwa tishio. Lengo ni kuendelea kustimulate demand ya chanjo kwa njia yoyote ile.Mkuu kuhusu data, zimewasaidiaje USA, UK, Italy, France etc. Je, vifo nchini mwao vimepungua kwa sababu ya kuweka data? Au unaweka data kuweka hofu tu?
Elimu Elimu Elimu ElimuJpm baba lao amewakamata makalio hao mambuzi mnalia nao
Mabeberu wanapinga tiba yoyote ile isiyo kwenye project yao. Nikuulize swali kiongozi. Chukulia serikali ingekurupuka kuagiza chanjo kama nchi zingine. Sasa kimekuja kirusi kipya kutoka SA ambacho chanjo zilizopo hafui dafu! Ikiwa myororo huo utaendelea kama ambayo ilikwisha kuwekwa wazi miaka kibao iliyopita, je tutaagiza chanjo mara ngapi?..sasa kwanini mitishamba tunayotumia serikali haiuzi kwa mabeberu ile tuongeze mapato?
..badala yake bwana mkubwa anatushauri tulime sana ili tuwauzie walioko kwenye lockdown.
Watu wengi wana zero information kuhusu hii project.Hujui chochote kinachohusu hii pandemic. Pendeni kusoma aisee mana kila kitu kimeshaandikwa ila kimefichwa Na inahitaji hekima ya kidogo kuelewa
Ngoja tukuwekee picha yake akipiga mafundauchafu tu, Madgascar watu wanapukutika sana pamoja na hayo maji anayokunywa wa Jalalani. Wasted our resources to send people and hire ATCL aircraft kwenda Madagascar kuchukua hizo takataka. Acheni papara kufanyia kazi vitu ambavyo havijawa proved ni effective. Hivi Loliondo jiwe lilienda?