#COVID19 Al-Jazeera: President Magufuli claims, without evidence, that vaccines against COVID-19 are dangerous

#COVID19 Al-Jazeera: President Magufuli claims, without evidence, that vaccines against COVID-19 are dangerous

Hao wanaotuletea chanjo kwao wanakufa hadi watu 4000 kwa siku. Wamalizane na corona yao ndio waje kutusaudia
 
Mutuache na Rais wetu tafadhali. Mjibuni kwanza kwanini magonjwa makubwa kansa, HIV, malaria, kufua kikuu na mengine mengi yanayouwa watu wengi kwa fujo kwanini hayana chanjo?
 
Kumbe kwenye vibano kama hivi huwa wanaelewa kiswahili[emoji23][emoji23][emoji23].
 
Watulie hatutaki chanjo, hizo chanjo nyengine ni hormones [emoji2359]
Sijui hiyo huruma ya kutufuatilia na kutujali wameipata wapi? Watulie hii ni vita ya dunia kila mtu apambani kwa silaha alionayo
 
Mutuache na Rais wetu tafadhali. Mjibuni kwanza kwanini magonjwa makubwa kansa, HIV, malaria, kufua kikuu na mengine mengi yanayouwa watu wengi kwa fujo kwanini hayana chanjo?
Kifua kikuu inatabibika, same kwa malaria, hiv mpaka wamekuja na dozi kwa mwezi na sio kunywa ARV kila siku, ulishajiuliza ARVs zisingekuwepo Hali ingekuaje na kumbuka wanatupa bure acha ujinga a.k.a uzwazwa
 
What evidence can the news report adduce to substatiate the Tanzanian president Dr JP Magufuli spoke without objective evidence.

Where is the proof that after a person is vaccinated against COVID-19 or Y501 V2 or B117 infections when integrates with those infected is protected against the virus transmission?

As much as you keep on mudslinging his excellence Dr JP Magufuli to the international world you are proclaiming and advocating his excellent work he delivers for his peoples welfares. If you think you are defacing him to fuel hatred among its citizens you are lost.

Is the vaccination capable to combat the ever changing behaviour of the viruses as confirmed by the scientists that it has now changed the symptoms and effects caused in the body as such renamed as Y501 V2 or B117?

The head of state has spoken teh majorities favorite and entirely support it with health preacautions practised with consistence. NO one can can survive the plague hit by just muzzling the mouth, distance position maintenance, washing hands, sanitizing, taking body temperature etc without giving the Mighty God his Mercy and Protection to Reign.
Mkuu unapokosoa kitu wewe ndio unakua na burden of proof. Huwezi sema chanjo ina madhara afu justification yako ni hyo second paragraph!!

Wewe kma msomi uweke hpa empirical analysis iliofanyika kujustify kwamba hzo vaccine hazifai. Till then huna credibility ya kupinga kitu ambacho kimekubalika na health experts wakubwa.

Mind you mabeberu hao hao wanawapa almost dawa zote za magonjwa kuanzia chermo,ARVs, and so on kma mnakejeli then muache kutumia na hizo zingine otherwise it's double standards
 
Nimemsoma Magufuli akizungumzia ujio wa Corona mpya nchini kwanz amekiri ipo akidai imeletwa na watu walioenda kutafuta chanjo nje, hapa naamini lile tamko lake la kusema Corona hakuna Tanzania ndio kalifuta rasmi.

Lakini pia amekazania watanzania wasitumie kinga kwasababu wazungu hawatupendi, hiyo kinga anadai inaweza kusababisha tusizaliane kwa mtazamo wake anadai wazungu hawapendi tuzae.

No research, no right to speak; huyu mtu aliemtumbua yule mtoto wa Malecela NIMR kwasababu alitimiza majukumu ya kazi yake kwa kutoa taarifa ya kitaalamu nitamwamini vipi kwenye hii sababu yake ya wazungu hawatupendi? sio yeye ndio hapendi matokeo ya kazi za kitaalamu?

He is not a doctor or a pharmacist, but kwanini hupenda kuingilia taaluma za watu kwa kutoa majibu mepesi kwenye maswali ya msingi? hapa nikisema yeye ndio hawapendi wazungu ndio maana huwasingizia vitu asivyo na uthibitisho navyo nitakuwa nakosea?

Nikiri hapa, mtazamo wa Rais wetu kwenye hili jambo ni wa kushangaza na kusikitisha, sasa kama Rais hataki watu wake wajikinge kwa chanjo ambayo naamini ametumia hisia kusema hiyo chanjo sio salama kwa raia, na kusisitiza watu wajifukize.

Sasa huku kujifukiza kulithibitishwa na maabara ipi hapa kwetu wakati maabara ile ya mwanzo iliyopima mapapai walidai ilikuwa mbovu? na mtaalamu wake akatumbuliwa?
Huko waliko na hizo chanjo bado ugonjwa unaendelea usunbua kwa kasiya ajabu pamoja na kuchanjwa! Chanjo hizo sio suluhisho. Raid ana vyanzo vya habar vingi vinavyompa majumuisho, hivyo anattuongoza vena na hafuati mkumbooo! Mungu ndu awezaye kutusaidia na ndiye tunamkimbilia. Tuchukue tahdhar zote na Mungu yupo kutusaidia.
 
Nimemsoma Magufuli akizungumzia ujio wa Corona mpya nchini kwanz amekiri ipo akidai imeletwa na watu walioenda kutafuta chanjo nje, hapa naamini lile tamko lake la kusema Corona hakuna Tanzania ndio kalifuta rasmi.

Lakini pia amekazania watanzania wasitumie kinga kwasababu wazungu hawatupendi, hiyo kinga anadai inaweza kusababisha tusizaliane kwa mtazamo wake anadai wazungu hawapendi tuzae.

No research, no right to speak; huyu mtu aliemtumbua yule mtoto wa Malecela NIMR kwasababu alitimiza majukumu ya kazi yake kwa kutoa taarifa ya kitaalamu nitamwamini vipi kwenye hii sababu yake ya wazungu hawatupendi? sio yeye ndio hapendi matokeo ya kazi za kitaalamu?

He is not a doctor or a pharmacist, but kwanini hupenda kuingilia taaluma za watu kwa kutoa majibu mepesi kwenye maswali ya msingi? hapa nikisema yeye ndio hawapendi wazungu ndio maana huwasingizia vitu asivyo na uthibitisho navyo nitakuwa nakosea?

Nikiri hapa, mtazamo wa Rais wetu kwenye hili jambo ni wa kushangaza na kusikitisha, sasa kama Rais hataki watu wake wajikinge kwa chanjo ambayo naamini ametumia hisia kusema hiyo chanjo sio salama kwa raia, na kusisitiza watu wajifukize.

Sasa huku kujifukiza kulithibitishwa na maabara ipi hapa kwetu wakati maabara ile ya mwanzo iliyopima mapapai walidai ilikuwa mbovu? na mtaalamu wake akatumbuliwa?
Huko waliko na hizo chanjo bado ugonjwa unaendelea usunbua kwa kasiya ajabu pamoja na kuchanjwa! Chanjo hizo sio suluhisho. Raid ana vyanzo vya habar vingi vinavyompa majumuisho, hivyo anattuongoza vena na hafuati mkumbooo! Mungu ndu awezaye kutusaidia na ndiye tunamkimbilia. Tuchukue tahdhar zote na Mungu yupo kutusaidia.
 
Huko waliko na hizo chanjo bado ugonjwa unaendelea usunbua kwa kasiya ajabu pamoja na kuchanjwa! Chanjo hizo sio suluhisho. Raid ana vyanzo vya habar vingi vinavyompa majumuisho, hivyo anattuongoza vena na hafuati mkumbooo! Mungu ndu awezaye kutusaidia na ndiye tunamkimbilia. Tuchukue tahdhar zote na Mungu yupo kutusaidia.
Papa mwenyewe amepata chanjo na ndiyo aliyekutambulisha kwa MUNGU
 
Sasa ka nchi ambako hakawezi hata kupambana na maralia,bado watoto na kinamama wanakosa hata huduma ya uzazi Salama,ka nchi ambako ni asilimia 43 tu ya wananchi wake wanatumia simu za mikononi,Raisi wake hata akiongea kitu Kama hicho watamuona mpuuzi tu,Korona haiondoki kwasababu Jiwe kasema,korona ni Ugonjwa,unaua,Ukimwi upo unaua na Mungu yupo,Kansa inaua na Mungu yupo,Kama Mungu akuzuia Ukimwi usiue,kwanini azuie korona isiue leo,
Huyu jamaa nchi imemshinda amebaki kuleta Kiki tu,ajira hakuna,uchumi mbovu,anaenda kuzindua Miti!sasa RC,DC,waziri afanye nini?
 
Mabeberu wanapinga tiba yoyote ile isiyo kwenye project yao. Nikuulize swali kiongozi. Chukulia serikali ingekurupuka kuagiza chanjo kama nchi zingine. Sasa kimekuja kirusi kipya kutoka SA ambacho chanjo zilizopo hafui dafu! Ikiwa myororo huo utaendelea kama ambayo ilikwisha kuwekwa wazi miaka kibao iliyopita, je tutaagiza chanjo mara ngapi?

..sasa mbona tulikurupuka kwenda Madagascar kuchukua mitishamba?

..sisi tulitakiwa tuchukue tahadhari ambazo ziko ndani ya uwezo wetu kama kuvaa barakoa, na kuosha mikono.

..pia tulipaswa kuhakikisha kila mgeni anayekuja nchini ana cheti cha corona toka huko alikutoka.
 
Mkuu unapokosoa kitu wewe ndio unakua na burden of proof. Huwezi sema chanjo ina madhara afu justification yako ni hyo second paragraph!!

Wewe kma msomi uweke hpa empirical analysis iliofanyika kujustify kwamba hzo vaccine hazifai. Till then huna credibility ya kupinga kitu ambacho kimekubalika na health experts wakubwa.

Mind you mabeberu hao hao wanawapa almost dawa zote za magonjwa kuanzia chermo,ARVs, and so on kma mnakejeli then muache kutumia na hizo zingine otherwise it's double standards
Usiwe mouth piece ya mtu mwingine, jifunze kufungua ubongo wako na kufanya uamuzi through logic reasoning. Kuna justification zipi zinathobitisha chanjo hiyo ni effective kwa waathirika (victims) in reality everybody is exposed to the risk. Utafiti mpaka ufanwe na ngozi nyeupe au mtu anayefanya katika taasisi kubwa za kimataifa kuhusiana na masuala mbalimbali? What do you mean by justification of reasoning challenge against those you call them health experts? Too pathetic argument.
 
yetu masikio wala hatuna maamuzi,tunashindwa kuegemea upande wowote ule ama serikali au mashirika ya kimataifa mfano WHO
 
"Choosen people" ni lini mtazinduka kwenye usingizi wa pono wa hii dunia

Na kusoma kote na maarifa haya ya dunia ambayo mnayo, bado tu mnawaamini watu wa ulaya, waliowatumikisha mababu zetu miaka zaidi ya 400

Uhakika wa kizazi chetu kuwepo nani ana uhakika nacho kwa miaka 1000 ijayo?

Zindukeni achenj up**bavu kwa kijinga

Rais wetu yupo sahihi kwa hili.
 
Back
Top Bottom