#COVID19 Al-Jazeera: President Magufuli claims, without evidence, that vaccines against COVID-19 are dangerous

#COVID19 Al-Jazeera: President Magufuli claims, without evidence, that vaccines against COVID-19 are dangerous

Jpm baba lao amewakamata makalio hao mambuzi mnalia nao
2393187_20200508_170418.jpg
 
Duh
 

Attachments

  • Screenshot_20210128-022649_Facebook.jpg
    Screenshot_20210128-022649_Facebook.jpg
    90.1 KB · Views: 1
Tunatumia njia zetu, watumie njia zao, kinachowauma nini...

And stop saying claim without evidence, China ulipoanzia hawatumii hizo vaccine...



Cc: mahondaw
 
uchungu ama upumbavu

ana ushahidi wa hayo madai yake,ama ndo akili za kidanganyika
Mbona mnakwepa kuvungumzia nchi iliyoletewa chanjo kwa ajili ya kinga ya kansa za kizazi kwa wasichana iliyokuja kugeuka 'sterilizer'? Au mnataka mtajiwe hiyo nchi!?
 
Kuna Poyoyo wanamshinikiza Raia afunge nchi bila ya kutuambia ni nchi gani imeishinda Corona kwa hatua walizochukua?
Punguza ujuha nani kakwambia hivo? ulishindwa nin kuwambia wajifungie wao wenyewe? yaani uzi mzima unaona uko katka hali ya kujipendekeza tuu au uko katka hali ya kitumbo tumbo.Uungwana ni kukubaliana na hali halisi ilivyo sio ubishi usio kuwa na maana.
 
Japo kaongea kwa kuropoka, ila kuna kaukweli kwenye angalau maneno machache aliyoyasema. The rest is bullshit.

Halafu nimedokezwa kuwa hizo chanjo "zinaambukiza" ushoga.

Na pia nimesikia kuwa hizo chanjo zina lengo la kuwafanya watanganyika wapoteze nguvu za kiume na za kike ili wawe wagumba on a permanent basis kisha wazungu waje waitawale na kuiteka Tanganyika kiulaini!

Lakini hata hivyo, baada ya miaka yote hiyo, mmedungwa masindano ya kila aina, mmemeza madawa ya kila aina, mmetumia kila aina ya bidhaa zao, WHY NOW YOU PEOPLE PRETEND TO BE SO BRAVE?

Hao wazungu wana kila namna ya kuwadhibiti. Na ukweli ni kwamba wameshawadhibiti vilivyo, Kwahiyo muache kujifanya eti MMEJANJARUKA!

Kujifanya mmejanjaruka wakati huu ni kiherehere tu na kujishongondoa.

Tulieni wawadunge chanjo hizo muache kujishaua shaua hapo!
 
Ulishawahi kujiuliza ugonjwa wa polio bila chanjo maisha yangekuaje
Watanganyika hawa utawaweza kwa kujishaua! Ni wajuaji wasiojua kitu!

Maabara zao zote zimejaa watu wanaojiita wana DIGRII lakini hawawezi lolote. Kazi yao ni kuvaa makoti makubwa tu na kupima DNA samples ili ndoa zivunjike!

Wenzao wazungu wanafanya kazi kweli kweli usiku na mchana! Hii dunia bila wao mortality rate ingekuwa juu sana tena sana!

Tungekuwa tunajifia tu kama kuku wenye mdondo!

Wakishashiba ugali wanaanza kuropoka kwa raha zao!

Atii oooh mzungu anataka kuniua! Na wakati huo unajidunga ARVs ili uendelee kupumua! How ironical that is!
 
Kurudi kwenye swali lako la msingi ni kwamba Corona ni jamii ya kifua kikuu!
Kwani hakuna ugonjwa wa jamii ya kifua kikuu mwingine wenye chanjo hadi Corona iwe ni ngumu kuwa na chanjo kwa sababu ipo kwenye jamii ya magonjwa ya kifua kikuu?
 
Hyo immunology umesoma wapi... Sio kweli kwamba ukichoma chanjo sahv tayar antibodies it take even a week...
John na wewe unakuwaga mweupe kichwani hivi? Ushaona wapi chanjo inajenga kinga immediately? Yaani ukichoma tu tayari mwili umetengeneza antibodies za kutosha??!!Im
 
Mkuu kubali tu kuwa safari hii tumepatikana. Aibu yetu imefika hadharani. Ingekuwa heri haya mengine yangeishia huko ndani ya vikao vya kamati kuu bila waandishi wa habari wala simu kuruhusiwa.
Sisi wenyewe ni sehemu ya Tatizo,katika kipindi cha uchaguzi ilikuwa haijulikani nani anaamini Tz corona na nani anaamini corona ipo,wakati huo dunia ilikuwa inatushangaa watanzania na si Magufuli tu.
 
Imewagusa pabaya,huyu Presidaa inaonyesha anawatouch sana...!
 
Tanzania tunategemewa na nchi jirani kupitishia mahitaji yao muhimu,

Tukifunga mipaka tutaumiza watu wengi Sana.

Kuna mataifa kama, Zambia, DRC, Burundi, Rwanda hakika watasikia maumivu tukichukua hatua.
 
Kwani kuna chanjo ambayo imesha wahi kugunduliwa Tz? Pia serikali yetu inafanya nini ili kupata chanjo isiwe na shaka.
Hakuna chanjo iliyogunduliwa so far except kuna uchafu fulani unasambazwa na NIMR lakini hakuna kitu pale, kind of utapeli
 
Back
Top Bottom