Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Jpm baba lao amewakamata makalio hao mambuzi mnalia nao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jpm baba lao amewakamata makalio hao mambuzi mnalia nao
You nailed thisRais wetu mwanasayansi ka make headline
Halafu kanisa sasa ndo linataka tahadhari
Na Rais mwanasayansi anataka maombi
The iron of it
Jamaa anazingua hapo napiga yangu in two week na nyingine after 2 week no mchezo mchezo💉💉💉No research no right to speak.
Mbona mnakwepa kuvungumzia nchi iliyoletewa chanjo kwa ajili ya kinga ya kansa za kizazi kwa wasichana iliyokuja kugeuka 'sterilizer'? Au mnataka mtajiwe hiyo nchi!?uchungu ama upumbavu
ana ushahidi wa hayo madai yake,ama ndo akili za kidanganyika
Kama mna zo njia zenu ni kwanini mnategemea ARV’s kutoka kwa mabeberu? China hawawapi za kwao?Tunatumia njia zetu, watumie njia zao, kinachowauma nini...
And stop saying claim without evidence, China ulipoanzia hawatumii hizo vaccine...
Cc: mahondaw
Ziko zilizogunduliwa na waganga Wa jadi,unachanjwa na wembe.Kwani kuna chanjo ambayo imesha wahi kugunduliwa Tz? Pia serikali yetu inafanya nini ili kupata chanjo isiwe na shaka.
Hii ni kali ya duniaHalafu kanisa sasa ndo linataka tahadhari
Na Rais mwanasayansi anataka maombi
Punguza ujuha nani kakwambia hivo? ulishindwa nin kuwambia wajifungie wao wenyewe? yaani uzi mzima unaona uko katka hali ya kujipendekeza tuu au uko katka hali ya kitumbo tumbo.Uungwana ni kukubaliana na hali halisi ilivyo sio ubishi usio kuwa na maana.Kuna Poyoyo wanamshinikiza Raia afunge nchi bila ya kutuambia ni nchi gani imeishinda Corona kwa hatua walizochukua?
Watanganyika hawa utawaweza kwa kujishaua! Ni wajuaji wasiojua kitu!Ulishawahi kujiuliza ugonjwa wa polio bila chanjo maisha yangekuaje
Ni aibu ya nchi mkuu.Nimeona aibu sana !
Kwani hakuna ugonjwa wa jamii ya kifua kikuu mwingine wenye chanjo hadi Corona iwe ni ngumu kuwa na chanjo kwa sababu ipo kwenye jamii ya magonjwa ya kifua kikuu?Kurudi kwenye swali lako la msingi ni kwamba Corona ni jamii ya kifua kikuu!
John na wewe unakuwaga mweupe kichwani hivi? Ushaona wapi chanjo inajenga kinga immediately? Yaani ukichoma tu tayari mwili umetengeneza antibodies za kutosha??!!Im
Sisi wenyewe ni sehemu ya Tatizo,katika kipindi cha uchaguzi ilikuwa haijulikani nani anaamini Tz corona na nani anaamini corona ipo,wakati huo dunia ilikuwa inatushangaa watanzania na si Magufuli tu.Mkuu kubali tu kuwa safari hii tumepatikana. Aibu yetu imefika hadharani. Ingekuwa heri haya mengine yangeishia huko ndani ya vikao vya kamati kuu bila waandishi wa habari wala simu kuruhusiwa.
Hakuna chanjo iliyogunduliwa so far except kuna uchafu fulani unasambazwa na NIMR lakini hakuna kitu pale, kind of utapeliKwani kuna chanjo ambayo imesha wahi kugunduliwa Tz? Pia serikali yetu inafanya nini ili kupata chanjo isiwe na shaka.
uchafu tu, Madgascar watu wanapukutika sana pamoja na hayo maji anayokunywa wa Jalalani. Wasted our resources to send people and hire ATCL aircraft kwenda Madagascar kuchukua hizo takataka. Acheni papara kufanyia kazi vitu ambavyo havijawa proved ni effective. Hivi Loliondo jiwe lilienda?