Al Jazeera's Investigative Unit: Kenyan Counter-Terrorism Police confess to extrajudicial killings

Al Jazeera's Investigative Unit: Kenyan Counter-Terrorism Police confess to extrajudicial killings

with all the training you acquire from the world's top assassin professionals-kidon of israel,you fail to eliminate alshabab in your backyard.mungu awape nini wakenya!,kidonda?.
 
Kila nchi duniani ina watu maalum kwa ajili ya assassination ya watu wanaohatarisha usalama wa nchi. Unaua 10 ili kulinda usalama wa watu milioni 45

sikujua hilo, kama ni hivyo kwa nini sasa Aljazeera wamelivalia njuga jambo hili... so unadhani ni busara kwa sisi kwenda kuwasaidia ndugu zetu kwenye vita hii? bado niko gizani kabisa
 
Kuona umeona wewe, kutusimulia ulichokiona hutaki na hapo hapo unatutaka tuchangie, Tutachangia nini mkuu kwenye hii habari yako??

Jifunze kuleta habari kamili na wala mtu asihangaike achangie nini au aitafute wapi habari husika ndipo aje achangie..... Ni ushauri tu

BACK TANGANYIKA
 
Kila nchi duniani ina watu maalum kwa ajili ya assassination ya watu wanaohatarisha usalama wa nchi. Unaua 10 ili kulinda usalama wa watu milioni 45

Pia ni sheria ya majeshi na iko hata katika vitabu vya dini sheria hiyo inasema

HERI MTU MMOJA (MKOROFI) AANGAMIE KULIKO TAIFA ZIMA (AU KUNDI KUBWA) LIANGAMIE.
 
We Kakende kweli wewe

Huna sababu za kumbishia! Ni dhahili kuwa hata ndani ya nchi inapotokea kakundi fulani kutaka kuhatarisha maisha ya watu rukuki lazima ukakamue ili wengine waishi kwa usalama.
 
i cant wait for our own black ops to go after slaa
 
sikujua hilo, kama ni hivyo kwa nini sasa Aljazeera wamelivalia njuga jambo hili... so unadhani ni busara kwa sisi kwenda kuwasaidia ndugu zetu kwenye vita hii? bado niko gizani kabisa

Tanzania hatuna technolojia kubwa ya kuweza kuwasaidia wenzetu dhidi ya Ugaidi, wakitaka msaada waende nchi zilizoendelea
 
with all the training you acquire from the world's top assassin professionals-kidon of israel,you fail to eliminate alshabab in your backyard.mungu awape nini wakenya!,kidonda?.

kadoda11 Hivi umefuatlia kweli video yote kabla huja-comment, you don't go around eliminating people for the sake of it. They usually investigate you first. It's only after intelligence unit gives instruction you're a menace and must be eliminated that's when they take you out, and they never fail. Ni kazi chafu sana aisei, ila lazima kuna watu dunia inabidi waondolewe. Kwanza kuna sheikh fulani wa Tanzania aliwahi ingia Kenya na kuhubiri eti vijana waue polisi, bahati yake alitoroka na kurudi kwao kabla hajakaguliwa.
 
Last edited by a moderator:
Tanzania hatuna technolojia kubwa ya kuweza kuwasaidia wenzetu dhidi ya Ugaidi, wakitaka msaada waende nchi zilizoendelea

Ni kweli Tanzania bado hamna uwezo wa kupigana na hawa jamaa, na ndio maana hata mmeshindwa kuwathibiti vijana wenu wanaojiunga na Alshabaab kila siku.
 
Ni kweli Tanzania bado hamna uwezo wa kupigana na hawa jamaa, na ndio maana hata mmeshindwa kuwathibiti vijana wenu wanaojiunga na Alshabaab kila siku.

Ushauri tufanye nini? maana nyie mpo sawa
 
Ushauri tufanye nini? maana nyie mpo sawa

Ushauri wangu ni mjihusishe kwenye hii shughuli, muache kujificha pembeni eti haiwahusu, kila nchi kwenye ukanda huu sasa hivi ipo mbioni kuwakabili hawa jamaa. Sio lazima muwatume wanajeshi wenu, ila muwazuie vijana wanaojiunga na hili kundi. Kumbuka wanarudi Bongo na itikadi zao kali, ni muda na mtaanza kuwaona wakifanya yao.

Kuna siku nikiwa Dar nilipita sehemu jamaa walikua wanaongea kuhusu jinsi waislamu wanananyanyaswa Bongo na kukoseshwa fursa kwenye nafasi za maisha. Aisei jamaa walikua wanaongea mambo ya kiajabu ajabu, sumu mtupu. Watu kama hao ndio mazao ya wale wanaojiunga kule.
 
Hii balaa Kenya tutawasaidiaje kwa hili maki tunaumia sana tunavyoona masikini wenzetu wanavyouawa
 
Ushauri wangu ni mjihusishe kwenye hii shughuli, muache kujificha pembeni eti haiwahusu, kila nchi kwenye ukanda huu sasa hivi ipo mbioni kuwakabili hawa jamaa. Sio lazima muwatume wanajeshi wenu, ila muwazuie vijana wanaojiunga na hili kundi. Kumbuka wanarudi Bongo na itikadi zao kali, ni muda na mtaanza kuwaona wakifanya yao.

Kuna siku nikiwa Dar nilipita sehemu jamaa walikua wanaongea kuhusu jinsi waislamu wanananyanyaswa Bongo na kukoseshwa fursa kwenye nafasi za maisha. Aisei jamaa walikua wanaongea mambo ya kiajabu ajabu, sumu mtupu. Watu kama hao ndio mazao ya wale wanaojiunga kule.

Nchi ambayo hujaishi umefika kutembea tu vp umejua ilikuwa sumu? Na vp umejua kama walikuwa wanaongea uwongo? Umesema Tanzania imewahi kuuwa wakenya kwa kushukiwa majambazi, je Tanzania imeuwa mara ngapi hao wakenya kwa kuwashukia? Na hiyo serikali yako unayoitetea imeuwa masheikh wangapi mombasa!? Na kuhusu kuungana na nyinyi kwenye vita na al shababu wabongo hatuna muda huo, mliijiingiza wenyewe Somalia sasa komaeni wenyewe, hakuna msaada wa kwenda kuuwana, ukimsaidia asie na nguvu kama Kenya mtapigwa wote,
 
Ushauri wangu ni mjihusishe kwenye hii shughuli, muache kujificha pembeni eti haiwahusu, kila nchi kwenye ukanda huu sasa hivi ipo mbioni kuwakabili hawa jamaa. Sio lazima muwatume wanajeshi wenu, ila muwazuie vijana wanaojiunga na hili kundi. Kumbuka wanarudi Bongo na itikadi zao kali, ni muda na mtaanza kuwaona wakifanya yao.

Kuna siku nikiwa Dar nilipita sehemu jamaa walikua wanaongea kuhusu jinsi waislamu wanananyanyaswa Bongo na kukoseshwa fursa kwenye nafasi za maisha. Aisei jamaa walikua wanaongea mambo ya kiajabu ajabu, sumu mtupu. Watu kama hao ndio mazao ya wale wanaojiunga kule.

Mh naweza kukubari mengine lakin suala la kujiunga Vyovyote hamna nyie hamuaminiki mna kau fitina fulan dhid ya tz. kama kunavijana huko labda ni kujiandaa sisi wananchi kutoa habari mahala husika, maana kujiunga vyovyote kule ni hatar kwetu NAWAOMBEA MAPAMBANO MEMA KWENU NB:ARUSHA Kuna taarifa Kenya kuhusika hivyo msipatie pakusemea et ni vijana wa ktz walokwenda Somalia
 
Nchi ambayo hujaishi umefika kutembea tu vp umejua ilikuwa sumu? Na vp umejua kama walikuwa wanaongea uwongo? Umesema Tanzania imewahi kuuwa wakenya kwa kushukiwa majambazi, je Tanzania imeuwa mara ngapi hao wakenya kwa kuwashukia? Na hiyo serikali yako unayoitetea imeuwa masheikh wangapi mombasa!? Na kuhusu kuungana na nyinyi kwenye vita na al shababu wabongo hatuna muda huo, mliijiingiza wenyewe Somalia sasa komaeni wenyewe, hakuna msaada wa kwenda kuuwana, ukimsaidia asie na nguvu kama Kenya mtapigwa wote,

Iwe ukweli ama uwongo, cha msingi ni kwamba ni hatari, tena sana na ni sumu maana inaadhiri uelewa wa watu.
Na hilo la kuwaua Wakenya majambazi, hujaona nikipinga, tena ueni kabisa, huwezi enda nchi ya watu na kufanya ujangili. Ndio hata ana bahati sana yule sheikh wenu Mtanzania alikua anahubiri chuki Kenya, alikimbia kabla hajasikika vizuri.

Hili la eti Tanzania kusaidia Kenya kwa vita dhidi ya ujangili linaniaikera maana sijui mmetoa wapi taarifa za kipuzi kama hizo. Hatujawaomba msaada wowote, vita dhidi ya Alshabaab havijaandikwa jina Kenya. Nchi yoyote ile ina jukumu la kuhakikisha ujangili umepunguzwa duniani. Nyie muendelee kukaa pembeni eti hamtaki kujihusisha maana itakua ni kusaidia Kenya. Hatujawaomba msaada, ila vijana wenu wanaojiunga na kupigana na jeshi letu kule Somalia watawaambia kinachowakuta huko. Muendelee kuwaacha wajiunge kwa maelfu lakini watakufia huko.
 
Iwe ukweli ama uwongo, cha msingi ni kwamba ni hatari, tena sana na ni sumu maana inaadhiri uelewa wa watu.
Na hilo la kuwaua Wakenya majambazi, hujaona nikipinga, tena ueni kabisa, huwezi enda nchi ya watu na kufanya ujangili. Ndio hata ana bahati sana yule sheikh wenu Mtanzania alikua anahubiri chuki Kenya, alikimbia kabla hajasikika vizuri.

Hili la eti Tanzania kusaidia Kenya kwa vita dhidi ya ujangili linaniaikera maana sijui mmetoa wapi taarifa za kipuzi kama hizo. Hatujawaomba msaada wowote, vita dhidi ya Alshabaab havijaandikwa jina Kenya. Nchi yoyote ile ina jukumu la kuhakikisha ujangili umepunguzwa duniani. Nyie muendelee kukaa pembeni eti hamtaki kujihusisha maana itakua ni kusaidia Kenya. Hatujawaomba msaada, ila vijana wenu wanaojiunga na kupigana na jeshi letu kule Somalia watawaambia kinachowakuta huko. Muendelee kuwaacha wajiunge kwa maelfu lakini watakufia huko.

Tupe uthibitisho wa vijana wetu waliojiunga na al shabab, leta uthibitisho wa Hati zao au ushahidi wenye kuaminika usilete habari za kijiweni, ingekuwa serikali yako inauwa majambazi kama ilivyokuwa Tanzania imefanya ningekubaliana na wewe, lakini serikali yako inauwa watu wa aina fulani fulani tu na hakuna hatua za maana zinazochukuliwa, leo al Jazeera wamesema ukweli mnatokwa na povu, kama imewauma nendeni kweli mahakamani na al Jazeera wamesema bado wanaweza kuthibitisha ukweli zaidi ya huo waliotoa
 
Back
Top Bottom