Kakende
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 2,741
- 1,232
ISIS wanauwa WAISLAMU kila siku Iraq na Syria kwa kujiita na wao ni waislamu.
.
Kwa hiyo unaiunga mkono Marekani kwa sasa wanavyoua magaidi ya ISIS kwa kutumia madege ya kivita ili kulinda waislam wenzio?