Al Jazeera's Investigative Unit: Kenyan Counter-Terrorism Police confess to extrajudicial killings

Al Jazeera's Investigative Unit: Kenyan Counter-Terrorism Police confess to extrajudicial killings

Ukiua majambazi kwa style hiyo hakuna atakaye kuuliza...lakini viongozi wa dini...ni kupalilia tatizo...
Mbona yule shekhe mwenye msimamo mkali tulimpeleka mbele ya sheria? Na sasa hali shwari...hakuna justification ya kuua wakati tuko kwenye utawala wa kisheria...

Na utaaminije kuwa kweli wana makosa wakati hawajapewa haki ya kujitetea?

Hapa hakuna utata...jirani karikoroga...na bora ingebaki kuwa siri...mtanambia...

Kila nchi duniani ina watu maalum kwa ajili ya assassination ya watu wanaohatarisha usalama wa nchi. Unaua 10 ili kulinda usalama wa watu milioni 45
 
Nimeangalia taarifa ya habari UN wanaipressurize TZ iondoe adhabu ya kifo kwenye sheria zake, kwann Makafiri mna unafiki kiasi hiki....? Huku mnapinga adhabu ya kifo ambayo inatolewa na mahakama lkn ktk mlango wa nyuma mnaua waislam bila kufuata sheria...?

Utafiti unaonesha watanzania wengi wanataka adhabu ya kifo iwepo kwa muuaji, ukitaka kujua watanzania wakoje nenda ukaibe mia tano Kariakoo, ndio maana Gaidi akiua auwawe
 
buda lawmaina78 can you tell me why the killing squads interviewed in the documentary,all of them sound to be kikuyus?.wakikuyu mnazidi kuchonganishwa na wasomali.poleni sana.
 
Last edited by a moderator:
buda lawmaina78 can you tell me why the killing squads interviewed in the documentary,all of them sound to be kikuyus?.wakikuyu mnazidi kuchonganishwa na wasomali.poleni sana.


kadoda11 Gaidi watauawa tu, haijalishi nani ana-pull trigger. Hebu soma taarifa ya ujasusi iliotolewa juzi, utaona imejaa mashikh watupu, hawa watu mbona wasiwe wanaingi misikitini kumuabudu huyo allah wao bila kuzingua dunia.
https://ia601007.us.archive.org/27/items/800531-kenyashabaabfile/800531-kenyashabaabfile.pdf
 
Last edited by a moderator:
kadoda11 Gaidi watauawa tu, haijalishi nani ana-pull trigger. Hebu soma taarifa ya ujasusi iliotolewa juzi, utaona imejaa mashikh watupu, hawa watu mbona wasiwe wanaingi misikitini kumuabudu huyo allah wao bila kuzingua dunia.
https://ia601007.us.archive.org/27/items/800531-kenyashabaabfile/800531-kenyashabaabfile.pdf

Kama umeamini hii taarifa hapa, kinachokufanya usiamimi kuwa serikali yako ni wauwaji ni kitu gani? Kwa hiyo hawa wanaosema masheikh ni magaidi kwako wanasema kweli na wanaosema serikali ya Kenya inauwa wananchi wake vipi wamekuwa waongo? Kama kuuwa ndio njia sahihi msilalamike al shabab wanapofanya hivyo,
 
Last edited by a moderator:
Kama umeamini hii taarifa hapa, kinachokufanya usiamimi kuwa serikali yako ni wauwaji ni kitu gani? Kwa hiyo hawa wanaosema masheikh ni magaidi kwako wanasema kweli na wanaosema serikali ya Kenya inauwa wananchi wake vipi wamekuwa waongo? Kama kuuwa ndio njia sahihi msilalamike al shabab wanapofanya hivyo,

Serikali zote duniani huuwa, hii sio mara ya kwanza. Kawaida kama nilivyosema, kuna kikosi cha black-ops katika kila nchi, uliza utaambiwa hata Tanzania wapo. Ukizingiua sana inabidi uchotwe na hao jamaa. Huwezi ruhusiwa kuhubiri chuki dunia halafu wakuache, necessary evil. Sipendi mauaji ya aina hii, ila huwa inawabidi kujikuta wakifanya hivyo maana hamna jinsi nyingine. Kortini utakutana na mawakili wa kidini wanaojua kugeuza ukweli.
 
Serikali zote duniani huuwa, hii sio mara ya kwanza. Kawaida kama nilivyosema, kuna kikosi cha black-ops katika kila nchi, uliza utaambiwa hata Tanzania wapo. Ukizingiua sana inabidi uchotwe na hao jamaa. Huwezi ruhusiwa kuhubiri chuki dunia halafu wakuache, necessary evil. Sipendi mauaji ya aina hii, ila huwa inawabidi kujikuta wakifanya hivyo maana hamna jinsi nyingine. Kortini utakutana na mawakili wa kidini wanaojua kugeuza ukweli.

Umeona mkuu, yaani kuna washenzi wanatetea magaidi ya mombasa, eti ufanywe utafiti kujua chanzo ni nini?, magaidi yana agenda moja ulimwenguni. Mfano hapa Tz tangu mwaka 2001 yamechoma makanisa zaidi ya 27 na kuua Padre bila sababu ya msingi, yamekutwa na mabomu Arusha. Mbwa kama hizi unazifanya nini kama siyo kufanya elimination?. Mashenzi haya magaidi lazima yafumuliwe
 
Umeona mkuu, yaani kuna washenzi wanatetea magaidi ya mombasa, eti ufanywe utafiti kujua chanzo ni nini?, magaidi yana agenda moja ulimwenguni. Mfano hapa Tz tangu mwaka 2001 yamechoma makanisa zaidi ya 27 na kuua Padre bila sababu ya msingi, yamekutwa na mabomu Arusha. Mbwa kama hizi unazifanya nini kama siyo kufanya elimination?. Mashenzi haya magaidi lazima yafumuliwe

Akili yako ndogo sana, wafikisheni mahakamani kama wanavunja sheria, kujificha vichakani na kuwaua hakusaidii kupunguza tatizo
 
Mpaka Kenyata kasamehewa na mahakama kuu ujue si bure, maana wenye ngozi nyeupe kusamehe nyeusi?
 
Akili yako ndogo sana, wafikisheni mahakamani kama wanavunja sheria, kujificha vichakani na kuwaua hakusaidii kupunguza tatizo

Ukiua kwa upanga utauawa kwa upanga, kwani wao wanapopanga kuua watu wasio na hatia sokoni huwa wanawapeleka mahakamani?, dawa ni kuchinja gaidi, ndio maana kwa sasa hakuna shekhe hata mmoja Mombasa anaejaribu kuinua kinywa chake kuhubiri jihadi kwa vijana. Kunguni wote wameuawa kuanzia kwa Gaidi Rogo
 
Dawa ya Gaidi bwana ni kumfyeka, hapa kwetu tumeyalea Magaidi yakazunguka nchi nzima kuhamasisha Jihadi, yakafanya mkutano Diamond, matokeo yake tumeona yaliyotokea Arusha, tumeona yaliyotokea Zanzibar, mpaka sasa makanisa 30 yamechomwa moto, Gaidi hachekewi
 
Wewe choko uliyehamisha akili yako kutoka kichwani na kuipeleka kwenye kijambio nijibu swali hili...

Baada ya kuwaua viongozi wa kiislam Mombasa MATATIZO YAMEPUNGUA AU YAMEONGEZEKA...?

Kwa sasa hakuna msikiti unahubiri Jihadi Mombasa, wanajua ukijaribu tu unapelekwa Jehanam. Haijalishi matatizo yamepungua au laa, hata wangepelekwa mahakamani isingesaidia. Hapa kwetu akina Ponda wanapelekwa mahakamani lakini wakitoka wanaendelea kuhubiri Jihadi kesho yake, dawa ni kuua
 
Umeona mkuu, yaani kuna washenzi wanatetea magaidi ya mombasa, eti ufanywe utafiti kujua chanzo ni nini?, magaidi yana agenda moja ulimwenguni. Mfano hapa Tz tangu mwaka 2001 yamechoma makanisa zaidi ya 27 na kuua Padre bila sababu ya msingi, yamekutwa na mabomu Arusha. Mbwa kama hizi unazifanya nini kama siyo kufanya elimination?. Mashenzi haya magaidi lazima yafumuliwe

Hahaha!! duh!
 
Hujajibu swali, baada ya kuwaua masheikh matatizo yamepungua au ya yameongezeka...?

Matatizo yamepungua, hakuna vijana wa wa Mombasa wanaojiunga na Al shaabab kwa sasa, wanaotekeleza mauaji kwa sasa wanavuka mipaka kutoka Somalia, kunguni za ndani ya nchi zimeuawa
 
Kenya imepitisha sheria kali bungeni, hivi sasa itakuwa official kuchinja gaidi, bora tu umkamate....tutapigana nao kwa njia yeyote ile
 
We boya sana, huoni KDF imevaa mlegezo hadi wasomali wana infiltrate mpaka wakiwa na silaha....? Kwanza no one is very sure the identity ya wale wanaofanya mauaji, inaweza kuwa wakenya wenyewe, waTZ, wasomali wenyewe...

Angalia matukio ya mpeketoni, west gate halafu uniambie kina nani walikuwa behind the raids

Gaidi ni kumchinja tu, ndio maana yule kiongozi wenu wa al shaabab Barawe alipigwa bomu kichwani na wamarekani mwezi uliopita. Hakuna mjadala kwa gaidi
 
Maswali mazuri sana.
Kuna msemo moja muhimu sana ktk Physics unaosema "To every effect there must be a CAUSE! "

Cha kwanza kilochotakiwa kufanywa na Rais wa kenya Ni kufanya uchunguzi wa kina Na kujiuliza maswali yafuatayo.

1.kwanini Hawa raia Wa kenya Waweke Bendera ya ALSHABAB Sasa wakati Alshabab wako ktk Operation zaidi ya miaka 10?

2. Ilikuwaje Raia WEMA wa MOMBASA wamegeuka Na Kuichukia serikali yao Kiasi cha kukubali Kujiunga na Wauwaji?

3.Na kama Vita ya wasomali Imeanza toka Mwaka 1992! Na hakutokea Msomali akaja Teka nyara MTALII HATA MMOJA imekuwaje Hivi karibuni tu WASOMALI wameanza kuteka WaTALII na KUUA wakenya OVYO?

Na majibu Ya Maswali Hayo Ni mepesi sana.

KENYA NDIO IMEANZA USHARI NA kujifanya Wao ni HEROS watakao IKOMESHA Somalia.

NA hili wote tunafahamu kuwa ni SHINIKIZO kutoka nchi za MAGHARIBI!

Kenya Hawana BALLS za Kuingia Somalia Peke yao.

ISRAEL , USA na UK Ndio Commanding officers wa Hii Issue yote. Na wakenya walivyokuwa na Akili Nzito BADALA YA KUONA BAlaa zinazowatokea na KUKATAA KUJIHUSISHA NA HUU UJINGA. Wameingia KICHWA KICHWA!

Wakenya Wasipo amka sasa. Damu nyingi za wanyonge Zitamwagika SANA.

Dah, hii kali nayo. Ufanyike uchunguzi upi sasa wakati tayari inajulikana kuwa mafunzo yamo kwenye Quran? maana kuna verse za visasi na kufia dini. Tatizo ni mafundisho tu ndio maana utaona dunia nzima ni dini moja tu inafanya mauji, tena kwa kujitoa Muhanga. Hakuna jipya hapo, ukitaka tutakupa verse zinazotumiwa kufanya ugaidi
 
Back
Top Bottom