The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Kwa hiyo Rwanda ndiko Wasudan wameamua kuwa kwao?Timu ya Al Merikh ya Sudan imefanikiwa kusonga mbele hatua ya mtoano ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa faida ya bao la ugenini dhidi ya Otoho d'Oyo ya Jamhuri ya Congo baada ya kutoka nayo suluhu ya bila bao katika mechi ya marudiano leo.
Katika mechi ya kwanza kuzikutanisha timu hizo huko Congo Brazaville, timu hizo zilitoka sare ya 1-1. Kwa maana hiyo Al Merrikh inasubiri kukipiga na mojawapo kati ya Yanga na ASAS ya Djibouti. Je Yanga itatoboa na ikitoboa itaitoa Al Merrikh ili iweze kuingia makundi?
Ongezea sauti hatujasikia vizuriTimu ya Al Merikh ya Sudan imefanikiwa kusonga mbele hatua ya mtoano ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa faida ya bao la ugenini dhidi ya Otoho d'Oyo ya Jamhuri ya Congo baada ya kutoka nayo suluhu ya bila bao katika mechi ya marudiano leo.
Katika mechi ya kwanza kuzikutanisha timu hizo huko Congo Brazaville, timu hizo zilitoka sare ya 1-1. Kwa maana hiyo Al Merrikh inasubiri kukipiga na mojawapo kati ya Yanga na ASAS ya Djibouti. Je Yanga itatoboa na ikitoboa itaitoa Al Merrikh ili iweze kuingia makundi?
Nawakumbusha tuuTimu ya Al Merikh ya Sudan imefanikiwa kusonga mbele hatua ya mtoano ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa faida ya bao la ugenini dhidi ya Otoho d'Oyo ya Jamhuri ya Congo baada ya kutoka nayo suluhu ya bila bao katika mechi ya marudiano leo.
Katika mechi ya kwanza kuzikutanisha timu hizo huko Congo Brazaville, timu hizo zilitoka sare ya 1-1. Kwa maana hiyo Al Merrikh inasubiri kukipiga na mojawapo kati ya Yanga na ASAS ya Djibouti. Je Yanga itatoboa na ikitoboa itaitoa Al Merrikh ili iweze kuingia makundi?
Yanga ya YaoUnazungumzia Yanga ya mwaka gani?
Nadhani Yanga ataanzia ugenini kwa sababu ya rank.Nan. Ataanzia nyumbani?
Allergy hiyo mara ngapiYanga wana allergy na timu za Sudan,, Asante kwa kushiriki wananchi jaribuni tena msimu ujao
Kabla haujaolewa?Haijalishi itakuaje
Mimi nimekua nikiishabikia El Merrick ya sudani Toka miaka ya nyuma
Unamjua pacome ?Mwiko nyuma kazi mnayo
AahaaaaaMASHABIKI WA AL MERREIKH TUJUANE MAPEMA KBSA[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wasudan sio Djibouti kazi mnayo mwiko nyumaUnamjua pacome ?
Unazungumzia Yanga ya mwaka gani?
Mkuuu punguza stressKabla haujaolewa?