Alama/ logo ya Nyoka katika fimbo kwenye mambo ya afya ina maana gani?

Ila sijakuelewa unamaanisha nini, umeandika kwa kifupi sana, scenario, unamaanisha mazingira au maana nyingine, wengine kiswangilishi kinatupita mbali.
Hiyo ni maana moja kati ya nyingi...Ila origin ya alama hiyo (Rod of asclepius) ni imeanzia huko Ugiriki..Greek Health Mythologies..
 
ndio yule nyoka aliyemdanganya eva na adam. ana siri kubwa sana kwenye ile nembo
 
Matatizo ya wengi yanatokea kwenye biblia kwavile huko nyoka anafananishwa/anahusishwa na shetani.

Ila biblia hiyo hiyo inasema muwe werevu kama nyoka na wapole kama hua......

Za kuambiwa unachanganya na ulizopewa.
 
Habari wanandugu
Nimekuwa nikiona hii nembo ya nyoka katika mahospitali mbalimbali kama vile kcmc ya moshi,Muhimbili, na kama sijakosea IMTU kwa anayejua anisaidie maelezo.
 
Mtakataa nyoka sio mambo ya kiroho....ooh ni mnyoo haya....na msalaba nao? Ni alama ya kujumlisha!!!?
There is a spiritual meaning here, wether you like it or not.
 
Habari zenu wana jamii.

BADO NATAFAKARI SANA HIZI LOGO..
Kuna Siri gani Kwanini Taasisi za Afya Sehemu Nyingi Duniani hutumia Logo zenye MAJOKA na Namna Kama BAKORA hivi ama tuseme FIMBO???

Yaani Kwenye Mambo ya Afya Zetu tunajiwekea Na MAJOKA?...Nani ana Uelewa wa Jambo hili Atupe Elimu Tupanuane Mawazo...
Gavana.

[https://z-m-scontent][https://z-m-scontent][https://z-m-scontent][https://z-m-scontent][https://z-m-scontent]



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiwa ktk Lock Down na familia yangu napata muda wa kupitia kulasa za WADAU mbalimbali wa afya ili niweze kupata elimu zaidi ya maradhi mbalimbali ikiwemo COVID-19 mwenyezi MUNGU atuhurumie...

Lakin chaajabu karibu kila mdau wa afya niliepia kulasa zake nimekuwa nikiona Alama ya nyoka kwenye nembo Yake.
Sijui ni kwanini nyoka.

Mwalimu wangu wa Imani aliwahi kuniambia nyoka ni Alana ya Shetani.

Sasa Kuna uhusiano wowote baina ya nyoka na health organizations?

Natambua uwepo wa wataalamu wa afya, disigner mbalimbali wa logos humu.
Naomba kielimishwa kwanini ipo hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The son of Apollo and the human princess Coronis, Asclepius is the Greek demigod of medicine . ... The Greeks regarded snakes as sacred and used them in healing rituals to honor Asclepius, as snake venom was thought to be remedial and their skin-shedding was viewed as a symbol of rebirth and renewal.Mar 9, 2011
 
Kimombo hicho jose,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
we need the BOLD HERE(habibu) nafkri atakuwa na mAjib sahihi... sisi wengine tutatakuwa na asumption nyingi t with no vivid
 
Ni moja ya masharti kutoka kwa beberu, akitia mkono wake lazima akupe hilo sharti, sasa wao ndo madalali wakubwa wa wajenzi huru ndo maana saa zingine wakikufadhili watataka uruhusu zile ndoa tunazo zipinga kila siku inshort the symbol has got spiritual connection.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Anaitwa chunusi ni balaa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hili swali limezua mjadala mkwabwa sana nikaona isiwe kesi kuna video huko YouTube inaelezea hili swala kwa nini nembo (logo) ya WHO ina nyoka katikati? Siri yafichuka

Siwezi kuweka link kwa sababu naweza kupigwa ban nenda YouTube kaandike hivi Kwa nini nembo (logo) ya WHO ina nyoka katikati? Siri yafichuka!!

Then utaiona inapicha kama hapo chini then isikilize no video fupi tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…