Alama ya herufi "M" kiganjani

Nna M mikono yote inaonekana kwa alama nyeusi kbsa lakn bado nasugua kitaa
 
Wewe mwenyewe utafiti wako umepata wenye M ni asilimia ngapi, maana kwa mikono iliyotumwa humu ni zaidi ya asilimia moja.
 
Naona asilimia Kubwa ya Watu wana M
 
Nina M mikono yote miwili,ila sioni hiyo flow ya madusko
Endelea kupambana weka juhudi utafanikiwa. Na katika sifa za Wenye M zilizoainishwa hapo ziko mbalimbali, nadhani mtakuwa mnazo kwa Wenye M, lakini kwa sababu pesa ndio kila kitu basi watu humu mmekomaa na Pesa tu kuwa hamuna na mna M, bila kujali umuhimu wa Sifa zingine.

Msichokijua huo ni Ufafanuzi wa Jumla kwa wenye M, pia ufafanuzi huo ni baadhi tu kwani yako mambo mengi kuwahusu M. Na pia sio lazima uwe na sifa zooote kisa Wewe ni M. Unaweza ukawa nazo kadhaa kati ya hizo kwasasa huku Sifa nyingine kama pesa mnayoihubiri hapa ikaja taratibu baadae kwa kutia juhudi(Kwa sababu watu wa M pia ni wapambanaji hawakati tamaa).

Ukikata tamaa utabaki na sifa chache tu kuhusu M huku ukiendekea kulalamika huoni flow ya Madusko(Pesa)

Lakini kitu kingine yawezekana Mambo yako yakinyota yakawa yamechafuliwa ndio mana una hali hiyo(Acha nisifike huko hatudiscuss hayo mambo ya Nyota leo, maana kuna watu wengine hawaamini kabisa hayo Mambo.)
 
Msichokijua huo ni Ufafanuzi wa Jumla kwa wenye M, pia ufafanuzi huo ni baadhi tu kwani yako mambo mengi kuwahusu M. Na pia sio lazima uwe na sifa zooote kisa Wewe ni M. Unaweza ukawa nazo kadhaa kati ya hizo kwasasa huku Sifa nyingine kama pesa mnayoihubiri hapa ikaja taratibu baadae kwa kutia juhudi(Kwa sababu watu wa M pia ni wapambanaji hawakati tamaa).

Ukikata tamaa utabaki na sifa chache tu kuhusu M huku ukiendekea kulalamika huoni flow ya Madusko(Pesa)

Lakini kitu kingine yawezekana Mambo yako yakinyota yakawa yamechafuliwa ndio mana una hali hiyo(Acha nisifike huko hatudiscuss hayo mambo ya Nyota leo, maana kuna watu wengine hawaamini kabisa hayo Mambo(Nyota).)
 
[emoji106]
 
Ana M nyingi sana ukijumlisha na ya mihogo junla yake 4.
4M
[emoji3][emoji3][emoji3] Acha bhana, maisha huwa yanabadilika. Chamsingi ni kumuomba Mungu na Kufanya kazi kwa bidii pia tusisahau kusave Money.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…