Winnone
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,521
- 4,143
Na wao ni waongo wakubwa sana ila huwezi kuwagundua kwenye uongo wao labda utumie muda sana na kuchambua
Mkuu tulikua tunazungumzia how talentend they are, huko kwingine mi sipo asee[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wao ni waongo wakubwa sana ila huwezi kuwagundua kwenye uongo wao labda utumie muda sana na kuchambua
Itaeleweka mbele kwa mbele lakini M lazima ipatikane.
Je sisi tuliona herufi m,pia tuna kidole cha sita mkono wa kushoto ina maana gani???
Itakuwa wameshachukua madusco yako tayariNina M mikono yote miwili,ila sioni hiyo flow ya madusko
Ahahahahahahahah!Nyie ndo mnakata watu viganja kwenda kuuza
Endelea kupambana weka juhudi utafanikiwa. Na katika sifa za Wenye M zilizoainishwa hapo ziko mbalimbali, nadhani mtakuwa mnazo kwa Wenye M, lakini kwa sababu pesa ndio kila kitu basi watu humu mmekomaa na Pesa tu kuwa hamuna na mna M, bila kujali umuhimu wa Sifa zingine.Nina M mikono yote miwili,ila sioni hiyo flow ya madusko
Una hakika sio WNina M mikono yote miwili,ila sioni hiyo flow ya madusko
Msichokijua huo ni Ufafanuzi wa Jumla kwa wenye M, pia ufafanuzi huo ni baadhi tu kwani yako mambo mengi kuwahusu M. Na pia sio lazima uwe na sifa zooote kisa Wewe ni M. Unaweza ukawa nazo kadhaa kati ya hizo kwasasa huku Sifa nyingine kama pesa mnayoihubiri hapa ikaja taratibu baadae kwa kutia juhudi(Kwa sababu watu wa M pia ni wapambanaji hawakati tamaa).Kuna ndugu yang ana M mikono yote, na isitoshe majina yake yote matatu yanaanza na herufi M, yani jina lake linaanza na M, la baba yake linaanza na M na la ukoo pia linaanza na M lkn bado ana hustle kuuza mihogo ya kukaanga shuleni maana kila analolifanya halishikiki.
Hata hiyo mihogo kuna kipindi akiuza hata hiyo faida haioni.
Sasa na hapo napo vipi ndugu mtaalam wa nyota?
[emoji106]Mimi ninayo na nina akili kubwa na za ajabu sana, kwani mpaka sasa hivi nimefanikiwa kugundua mambo makubwa sana.Imagine juzi nimegundua time katika universal model.
View attachment 2370527View attachment 2370528View attachment 2370529
[emoji106]Kuna maisha nayaona Kwa kweli nakubaliana, kwenye upande wa akili, kichwani pangu si haba, lakini pia usirogwe unidanganye.
Nina nguvu ya macho nilitaka mwanamke nikimtazana Kwa namna ya kumvuta, kukazia flan nikimuita atakuja na appointment itaoangwa na nitakula.
Kasoro yangu Sina nidhamu ya pesa. So kuukata kimaisha hii inawezekana ni sababu kuu. Sina roho mby kukupatia cash usolve ishu zako.
Ndio hapo sasa, mimi ninayo mkono wa kulia ila mtu mwenyewe ndio mimi huyuNina M mikono yote miwili,ila sioni hiyo flow ya madusko
Angalau hii inarelateMost of them wako group O la damu pia
Muogopeni Mungu jamaniHuu mguu yaani kanyagio, au kiganja cha mkono ?
Vipi kuhusu hiiMliotuma picha wooote hakuna mwenye herufi hiyo m niwaambie kitu,mwenye herufi hiyo kiganja chote hujichora hiyo alama kwa uzuri kabisa pasipo tualama tudogo tudogo