Alama ya herufi "M" kiganjani

Alama ya herufi "M" kiganjani

Kuna maisha nayaona Kwa kweli nakubaliana, kwenye upande wa akili, kichwani pangu si haba, lakini pia usirogwe unidanganye.

Nina nguvu ya macho nilitaka mwanamke nikimtazana Kwa namna ya kumvuta, kukazia flan nikimuita atakuja na appointment itaoangwa na nitakula.

Kasoro yangu Sina nidhamu ya pesa. So kuukata kimaisha hii inawezekana ni sababu kuu. Sina roho mby kukupatia cash usolve ishu zako.
 
Oyaa😂
 

Attachments

  • IMG_20220928_131310.jpg
    IMG_20220928_131310.jpg
    181.2 KB · Views: 32
Kuna maisha nayaona Kwa kweli nakubaliana, kwenye upande wa akili, kichwani pangu si haba, lakini pia usirogwe unidanganye.

Nina nguvu ya macho nilitaka mwanamke nikimtazana Kwa namna ya kumvuta, kukazia flan nikimuita atakuja na appointment itaoangwa na nitakula.

Kasoro yangu Sina nidhamu ya pesa. So kuukata kimaisha hii inawezekana ni sababu kuu. Sina roho mby kukupatia cash usolve ishu zako.
Kama tunafanana vile.
 
Back
Top Bottom