DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,440
- 3,142
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani dini ya Yesu ni ipi?Yesu alisema ukimkana hadharani atakukana hadharani tusubiri
Usiwaamini wanasiasa, hata yule Mpagani Kingunge alizikwa kikatolikiMkuu wa Mkoa wa Dar, Albert Chalamila amesema anaupenda uislam na akifa ameandika wasia azikwe kiislamu.
Ameyasema hayo hivi karibuni jijini Dar Es salaam.
View attachment 3143184
Malisa ndio anakesha kwa mtoto wa Mbowe akimpiga mizingaHivi unampenda sana Mbowe? Sema nikupe connection mkuu, atakata kiu yako na roho yako itaridhika
Basi amalizie kabisa aitwe Ally kama mwenzake Rashid kule KaweMkuu wa Mkoa wa Dar, Albert Chalamila amesema anaupenda uislam na akifa ameandika wasia azikwe kiislamu.
Ameyasema hayo hivi karibuni jijini Dar Es salaam.
View attachment 3143184
Sidhani kama atakubali heshima za mwisho zitolewe akiwa kwenye jamviUsiwaamini wanasiasa, hata yule Mpagani Kingunge alizikwa kikatoliki
Muhimu afukiwe asilete kero kwa walio kuwa haiSidhani kama atakubali heshima za mwisho zitolewe akiwa kwenye jamvi
Mwenzako hapo anamfurahisha nambari wani kama hujajuaHow is that any concern of the mass ? Huku ndio kutumia rasilimali muda vibaya..., huo wakati angetumia kutumia mabosi wake ambao ni wananchi wenye shida lukuki
Badala ya kuelimisha jamii kuhusu uchaguzi wa serikali za Mitaa RC mzima unajitoa data. Tupo tutaona duration ya haya ayasemayo.Mkuu wa Mkoa wa DSM mh Albert Chalamila amesema Ukristo una mambo mazuri ambayo Waislamu wanayaiga kadhalika Uislam una mambo mazuri ambayo Wakristo wanayaiga
Chalamila amesema ameandika Wosia kabisa atakapokufa Azikwe kama Muislamu na si vinginevyo
Chalamila amesema anashangaa kuona Maaskofu wakifa wanazikwa kwenye majeneza ya gharama Kubwa ilhali Yesu Kristo mwenyewe hakuzikwa akiwa ndani ya Jeneza
Wakati wote alipokuwa akizungumza maelfu ya Waislamu waliitikia Takbir Allah Akbar
Source: Mwanahalisi Digital
November 27 ni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 🌹
Achana na mtoto wa Mbowe, kwani wewe una mtaka nani kati ya Mbowe au mtoto wake? Kwa upande wangu naona unadeal na Mbowe na siyo mtoto wake. Angalia hata comments zako lazima Mh Mbowe umtajeMalisa ndio anakesha kwa mtoto wa Mbowe akimpiga mizinga
Nakutaka wewe, una hips, na ukipaka lipstick unapendezaaAchana na mtoto wa Mbowe, kwani wewe una mtaka nani kati ya Mbowe au mtoto wake? Kwa upande wangu naona unadeal na Mbowe na siyo mtoto wake. Angalia hata comments zako lazima Mh Mbowe umtaje