City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Je,ana uishi uislamu!?Mkuu wa Dar amesema anaupenda uislam na akifa ameandika wasia azikwe kiislamu.
Ameyasema hayo hivi karibuni jijini Dar Es salaam.
Video inakua hivi punde
Mzee wa 🍺
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je,ana uishi uislamu!?Mkuu wa Dar amesema anaupenda uislam na akifa ameandika wasia azikwe kiislamu.
Ameyasema hayo hivi karibuni jijini Dar Es salaam.
Video inakua hivi punde
Ikiwa kitu hujakiona kwa macho ndio ushahidi kwamba hakipo?Kama wapi?
Mbona hatumuoni lebanon iran na hata gaza?
Duh, kauli atoe yeye halafu kufuta ufute wewe? Baada ya kifo ni hukumu haijalishi mtu anazikwaje. Kuzikwa kikristu au kiislamu hakuna ishu yeyote kwa mzikwaji. Yako mengi ya kufutwa mkuu hili halina msingi wowote.Mimi kama Mkristu naifuta kabisa hiyo kauli yake, kwa sababu hakufanya hivyo kwa hiari yake. Bila shaka ameshinikizwa ama moja kwa moja au mazingira yamemlazimisha kufanya hivyo.
Kuna sehemu nimesema ushahidi hakipo?Ikiwa kitu hujakiona kwa macho ndio ushahidi kwamba hakipo?
Hivi huyo jamaa naye mnamchukulia serious?Mkuu wa Mkoa wa Dar, Albert Chalamila amesema anaupenda uislam na akifa ameandika wasia azikwe kiislamu.
Ameyasema hayo hivi karibuni jijini Dar Es salaam.
Video inakuja hivi punde
Yule ndo muhimu Askofu Chidi MaweTunasubiri wasia wa bwana Rashid wa Kawe tujue atazikwa vipi
Na wewe unamuamini huyu bwana?Mkuu wa Mkoa wa Dar, Albert Chalamila amesema anaupenda uislam na akifa ameandika wasia azikwe kiislamu.
Ameyasema hayo hivi karibuni jijini Dar Es salaam.
Video inakuja hivi punde
Uchawa mpaka mazishini?. Kwa nini asianze kwenda msikitini kusali kwanza?Mkuu wa Mkoa wa Dar, Albert Chalamila amesema anaupenda uislam na akifa ameandika wasia azikwe kiislamu.
Ameyasema hayo hivi karibuni jijini Dar Es salaam.
Video inakuja hivi punde
Tukipata tena Rais mkiristo,najua atarudi tena kwenye ukristo wake! Hapa naona Chalamila anataka kumjaza Mama Samia aendelee kumteuwa kwenye dinner table!!Afande Sele 'Seleman Msindi' mwislamu alisema akizikwa azikwe kiasili yaan apigwe moto baadae akili zilipomrudi akabadirisha mtazamo, kwa hio mkuu wa Mkoa bwana Alubati Chalamila na yeye tunampa muda akili zikimrudia ataeleza vizuri kwa sasa bado muda wake haujafika na hafi kesho wala kesho kutwa
Baraza la mawaziri 89% au zaidi ni cristianTukipata tena Rais mkiristo,najua atarudi tena kwenye ukristo wake! Hapa naona Chalamila anataka kumjaza Mama Samia aendelee kumteuwa kwenye dinner table!!
Hata Mimi naunga mkono na nitazikwa simple kama Waislamu na kwenye kaburi la kawaida kama la Mzee Mwinyi.Mkuu wa Mkoa wa Dar, Albert Chalamila amesema anaupenda uislam na akifa ameandika wasia azikwe kiislamu.
Ameyasema hayo hivi karibuni jijini Dar Es salaam.
Video inakuja hivi punde