Albert Chalamila: Nimeandika wosia nikifa nizikwe Kiislamu

Albert Chalamila: Nimeandika wosia nikifa nizikwe Kiislamu

Mkuu wa Mkoa wa DSM mh Albert Chalamila amesema Ukristo una mambo mazuri ambayo Waislamu wanayaiga kadhalika Uislam una mambo mazuri ambayo Wakristo wanayaiga

Chalamila amesema ameandika Wosia kabisa atakapokufa Azikwe kama Muislamu na si vinginevyo

Chalamila amesema anashangaa kuona Maaskofu wakifa wanazikwa kwenye majeneza ya gharama Kubwa ilhali Yesu Kristo mwenyewe hakuzikwa akiwa ndani ya Jeneza

Wakati wote alipokuwa akizungumza maelfu ya Waislamu waliitikia Takbir Allah Akbar

Source: Mwanahalisi Digital

November 27 ni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 🌹
 
Kama ni kweli hii taarifa kwa kweli tunawashukuru waislamu kwa kuupokea huu mzigo
Nilikuwa naona aibu mimi popote pale Alex anapotambulika kama mkristu, nilitamani sana apate Chaka lingine hayawi hayawi sasa yamekuwa
 
Mimi Natamani Alex chalamila asilimu kabisa awe muislamu kwa itikadi zake anaendana sana na watu wa huko
 
Mkuu wa Mkoa wa DSM mh Albert Chalamila amesema Ukristo una mambo mazuri ambayo Waislamu wanayaiga kadhalika Uislam una mambo mazuri ambayo Wakristo wanayaiga

Chalamila amesema ameandika Wosia kabisa atakapokufa Azikwe kama Muislamu na si vinginevyo

Chalamila amesema anashangaa kuona Maaskofu wakifa wanazikwa kwenye majeneza ya gharama Kubwa ilhali Yesu Kristo mwenyewe hakuzikwa akiwa ndani ya Jeneza

Wakati wote alipokuwa akizungumza maelfu ya Waislamu waliitikia Takbir Allah Akbar

Source: Mwanahalisi Digital

November 27 ni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 🌹
Ikitokea hajafa hadi Samia akimaaliza muda wake, akija mwingine wa dini nyingine attaanza ngonjera mpya.
Au ikitokea katumbuliwa atafuta maneno yake yote.
Besides, asiitumie nafasi hiyo ya umma kuanzisha mashambulizi ya kidini
 
Kama ni kweli hii taarifa kwa kweli tunawashukuru waislamu kwa kuupokea huu mzigo
Nilikuwa naona aibu mimi popote pale Alex anapotambulika kama mkristu, nilitamani sana apate Chaka lingine hayawi hayawi sasa yamekuwa
Chalamila anatakiwa kuwa Mirembe, Kwani Yesu aliwahi kupanda gari au ndege mbona na yeye anapanda badala ya punda aliyopanda Yesu?
 
Kwanini abadili?

Hata hayati Ogola CDF wa Kenya alikuwa mkristo lakini aliandika Wosia kama huu wa RC Chalamila
Wachana na Wakenya, unamfaham Jumanne wewe😂

Just pay attention...

Wanasiasa wajanja wanacheza na flow, mbuzi kaelekea kibra miaka mitano mbele ....
 
FB_IMG_1730471687954.jpg
 
Atazikwaje kiislmu wakati yeye siyo muislam. Waislmu wana utaratibu wao wa kuzika na unafanywa na waislamu, na kwa walio waislamu atupishe huko.
Mwenzako yuko kisiasa zaidi, kaangalia upepo unaenda wapi, Mama ni mfuasi wa mudi so na yeye anajifanya anampenda mudi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar, Albert Chalamila amesema anaupenda uislam na akifa ameandika wasia azikwe kiislamu.

Ameyasema hayo hivi karibuni jijini Dar Es salaam.

Video inakuja hivi punde
Ngoja tuone nguvu ya Yesu kwenye hili
 
Back
Top Bottom