TakbeerAlex Massawe, mtu maarufu sana Tanzania, ameamua kusilimu baada ya kuyafahamu mema ya Uislam kupitia kwa mwanawe ambae alikuwa Amesilim kabla yake huko nchini Afrika Kusini.
Allahu Akbar.
View attachment 2695851
View attachment 2695852
The Verse:--"You (true Muslims) are the best of peoples ever raised up for mankind." means, the best of peoples for the people, as you bring them with chains on their necks till they embrace Islam. Sahih al-Bukhari 4557Hakuna kulazimishana ktk dini,
Koran 9:5. Na ikisha miezi mitukufu basi wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia...Swadakta
Muulize Alex Massawe, ataacha kula kiti moto? Hawezi asilani kuacha, hivyo kuslim ni kwenye camera tu, tabia ziko pale pale kwa asilimia kubwa.Alex Massawe, mtu maarufu sana Tanzania, ameamua kusilimu baada ya kuyafahamu mema ya Uislam kupitia kwa mwanawe ambae alikuwa Amesilim kabla yake huko nchini Afrika Kusini.
Allahu Akbar.
View attachment 2695851
View attachment 2695852
he got secretsAlex Massawe, mtu maarufu sana Tanzania, ameamua kusilimu baada ya kuyafahamu mema ya Uislam kupitia kwa mwanawe ambae alikuwa Amesilim kabla yake huko nchini Afrika Kusini.
Allahu Akbar.
View attachment 2695851
View attachment 2695852
Ukimaliza kutuma hizo aya sasa utasema unashida gani au unahitaji nnKoran 9:5. Na ikisha miezi mitukufu basi wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia...
Mkoa wa Pwani karibia washirikina wote ni waislamu na wanakwenda masjid na kufunga Kama kawaida.Koran 9:5. Na ikisha miezi mitukufu basi wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia...
stage one of its conning accompleted,what follow is mastering stage II.Alex Massawe, mtu maarufu sana Tanzania, ameamua kusilimu baada ya kuyafahamu mema ya Uislam kupitia kwa mwanawe ambae alikuwa Amesilim kabla yake huko nchini Afrika Kusini.
Allahu Akbar.
View attachment 2695851
View attachment 2695852
Dini ya majambaziAlex Massawe, mtu maarufu sana Tanzania, ameamua kusilimu baada ya kuyafahamu mema ya Uislam kupitia kwa mwanawe ambae alikuwa Amesilim kabla yake huko nchini Afrika Kusini.
Allahu Akbar.
View attachment 2695851
View attachment 2695852
Kusema kwamba kama Mungu angekuwepo kungekuwa na dini moja tu ya Mungu ukimaanisha kwamba hakuna Mungu ndio maana kuna dini nyingi.Sasa wewe shida yako ni nini?
Na kipi ambacho huku elewa?
Katazame sifa za aliokuletea Ukristo, paulo. uje useme sifa zake ni zipi na mbona unamfata mpaka leo?Huyu dada kumbe hamnazo kiasi hiki na ufia dini wake ?
Unawezaje kujaribu kuipaisha dini yako kwa vile imeungwa mkono na mmoja wa watu wenye sifa mbaya kuliko wote kwenye jamii ?
Hilo silifahamu na wala siwezi kulijibia. Ninalolifahamu ni hilo lililopo post namba moja na ushahidi wa video clip.Huyu jamaa si alikamatwa dubai march 12 2021 na interpor?akitokea south africa?respect maana kama mpaka alikamatwa na interpol na akachomoka maana yake ni kwamba ana mkono mrefu ndan ya serekali(ccm)!
Suala hapa ni kusilimu.