Alex Ngereza: Simba ilikuwa kwenye kundi dhaifu sana

Alex Ngereza: Simba ilikuwa kwenye kundi dhaifu sana

Ficha upumbavu..ww ndo ulitamani kupangiwa na Simba sio wao unaowasemea maana wanaijua vzr Simba..na kwa sbb mnajua mganga wenu anaewapa majini ya kumuadhibu mnyama.....
Simba ameanza kufungwa na Yanga miaka zaidi ya 60 iliyopita na imepita vizazi vya Viongozi na wachezaji wengi tofauti.

Tangu Rage akiwa mchezaji naye kakuta inafungwa na Yanga mpaka Rage Kawa Kiongozi na Sasa mwanachama Bado Simba ni kibonde wa Yanga.

Sasa wewe mbumbumbu wa juzi tu una shangaa Simba kufungwa na Yanga?

Kaduguda aliyewahi kuwa boss wa Simba na katibu wa FAT anasema Simba inapokwenda kucheza na Yanga inabidi waende kwa Adabu kwelikweli ata wakicheza wazee wa Simba na Yanga inabidi kuwe na Heshima ndipo Simba ipate matokeo.
 
Katika kundi la Simba yeye alikua kama giant katika giants 2...na vibonde 2...ndo maana mnaona ilikua rahisi..Yanga ilikua na giants 2..yenyewe uto na mediama ndo walikua vibonde...kwa ssb yenyewe ilikua kibonde lazima ione kundi gumu..
Aliyeshindwa kuingia robo zaidi ya miaka 20 anasema aliyeingia robo mfululizo ni dhaifu,aisee hawa huwa wanaacha akili kabatini halafu ndo wanaingia kazini
 
Simba ameanza kufungwa na Yanga miaka zaidi ya 60 iliyopita na imepita vizazi vya Viongozi na wachezaji wengi tofauti.

Tangu Rage akiwa mchezaji naye kakuta inafungwa na Yanga mpaka Rage Kawa Kiongozi na Sasa mwanachama Bado Simba ni kibonde wa Yanga.

Sasa wewe mbumbumbu wa juzi tu una shangaa Simba kufungwa na Yanga?

Kaduguda aliyewahi kuwa boss wa Simba na katibu wa FAT anasema Simba inapokwenda kucheza na Yanga inabidi waende kwa Adabu kwelikweli ata wakicheza wazee wa Simba na Yanga inabidi kuwe na Heshima ndipo Simba ipate matokeo.
Hoja kama hizi inadhihirisha kweli Yanga wenye akili ni wawili,tupe msimamo wa CAF na takwimu nani yupo juu?naomba unapotetea hoja usivute bangi kwanza njoo na fresh mind.
 
Simba ameanza kufungwa na Yanga miaka zaidi ya 60 iliyopita na imepita vizazi vya Viongozi na wachezaji wengi tofauti.

Tangu Rage akiwa mchezaji naye kakuta inafungwa na Yanga mpaka Rage Kawa Kiongozi na Sasa mwanachama Bado Simba ni kibonde wa Yanga.

Sasa wewe mbumbumbu wa juzi tu una shangaa Simba kufungwa na Yanga?

Kaduguda aliyewahi kuwa boss wa Simba na katibu wa FAT anasema Simba inapokwenda kucheza na Yanga inabidi waende kwa Adabu kwelikweli ata wakicheza wazee wa Simba na Yanga inabidi kuwe na Heshima ndipo Simba ipate matokeo.
Ujinga huo waambie wenzio wasio na akili...miaka 4 mfululizo Simba imewafunga zile 4 back to back..heshima ipi hyo kwamba nyi ni machampion wa kuloga?
 
Simba ameanza kufungwa na Yanga miaka zaidi ya 60 iliyopita na imepita vizazi vya Viongozi na wachezaji wengi tofauti.

Tangu Rage akiwa mchezaji naye kakuta inafungwa na Yanga mpaka Rage Kawa Kiongozi na Sasa mwanachama Bado Simba ni kibonde wa Yanga.

Sasa wewe mbumbumbu wa juzi tu una shangaa Simba kufungwa na Yanga?

Kaduguda aliyewahi kuwa boss wa Simba na katibu wa FAT anasema Simba inapokwenda kucheza na Yanga inabidi waende kwa Adabu kwelikweli ata wakicheza wazee wa Simba na Yanga inabidi kuwe na Heshima ndipo Simba ipate matokeo.
Ni kwà sababu Yanga ni Timu ya TANU nje ya hapo YANGA hatuwezi funga SIMBA.Tuombe MUNGU tukutane CAFCL Marefa toka Nchi za kiarabu uonee Yanga kama itaambulia kitu.
 
Ni kwà sababu Yanga ni Timu ya TANU nje ya hapo YANGA hatuwezi funga SIMBA.Tuombe MUNGU tukutane CAFCL Marefa toka Nchi za kiarabu uonee Yanga kama itaambulia kitu.
Unadhani marefa ndio wamefanya Simba ndio timu inayoongoza kufungwa na Yanga mechi nyingi na magoli mengi tangu zianzishwe?
 
Simba ameanza kufungwa na Yanga miaka zaidi ya 60 iliyopita na imepita vizazi vya Viongozi na wachezaji wengi tofauti.

Tangu Rage akiwa mchezaji naye kakuta inafungwa na Yanga mpaka Rage Kawa Kiongozi na Sasa mwanachama Bado Simba ni kibonde wa Yanga.

Sasa wewe mbumbumbu wa juzi tu una shangaa Simba kufungwa na Yanga?

Kaduguda aliyewahi kuwa boss wa Simba na katibu wa FAT anasema Simba inapokwenda kucheza na Yanga inabidi waende kwa Adabu kwelikweli ata wakicheza wazee wa Simba na Yanga inabidi kuwe na Heshima ndipo Simba ipate matokeo.
Yanga hiyo hiyo yenye rekodi ya kufungwa goli 6 mtungi na Simba.
Na hattrick ya pekee kwenye mechi za Simba na Yanga iliyofungwa na Abdalah Kibaden.
 
Mimi binafsi nilikuwa mpenzi na shabiki wa simba.

Niliamua kuachana na Ushabiki unazi na Uanachama kwasababu kadhaa wa kadhaa.

SIMBA INAZIDI KUPOROMOKA SIKU HADI SIKU.

WACHEZAJI WENGI NI WAZEE.

WACHEZAJI WENGI NI MAGALASA.

SAJILI ZIMEJAA 10%

MUWEKEZAJI NDIO CHIZI KABISA
We jamaa sasa unazingua bhange, mara umeacha ushabiki wa Yanga vs Simba, mara kushabikia virabu hivi ni kujipa uchizi, lakini haukauki humu ku comment.

We ni nani ambae ukiacha kushabikia Yanga vs Simba soccer letu litakua aliendelei?

Acha kujitia kidole na kunusa mwenyewe, unazingua.
 
Ujinga huo waambie wenzio wasio na akili...miaka 4 mfululizo Simba imewafunga zile 4 back to back..heshima ipi hyo kwamba nyi ni machampion wa kuloga?
Ndugu mbumbumbu nenda kapitie takwimu kwanza wakati Simba ikiwa katika uo ubora wake wa miaka mi nne ilimfunga Yanga marangapi.
Maana wewe inaonekana ni zaidi ya mbumbumbu.
 
Ukitaka kujua Simba kibonde, katika timu zote zilizo fuzu Kila timu inataka ipangiwe na Simba au Asec ndio daraja la kukupeleka nusu.
lini ulienda south mamelodi wakakwambia wanataka wapangwe na simba? Al ahly wamekwambia lini? Atletico de luanda wamekwambia lini? Kama sio unazi tu
 
Back
Top Bottom