Alex Ngereza: Simba ilikuwa kwenye kundi dhaifu sana

Alex Ngereza: Simba ilikuwa kwenye kundi dhaifu sana

Mimi binafsi nilikuwa mpenzi na shabiki wa simba.

Niliamua kuachana na Ushabiki unazi na Uanachama kwasababu kadhaa wa kadhaa.

SIMBA INAZIDI KUPOROMOKA SIKU HADI SIKU.

WACHEZAJI WENGI NI WAZEE.

WACHEZAJI WENGI NI MAGALASA.

SAJILI ZIMEJAA 10%

MUWEKEZAJI NDIO CHIZI KABISA
Mkuu umeadimika sana humu.
 
Back
Top Bottom