Alexander Mnyeti amepata wapi utajiri wa kuinunua TCC CLUB ya Chang'ombe?

Ndiyo-Wachunguzwe wote:
Hapi
Bashite
Ndugai
Sabaya
Nwenyekiti wa UVCCM
Na wengine wote!
Walikuwa wezi watupu wakiwatisha na kuumuza watu na huko wakitumia jina la mwendazake kuiba!! Wahojiwe na takukuru wote wenye mali iliyokithiri. Mfanyakazi wa serikali unapata wapi utahiri katika miaka minne???? Wezi watupu hao!!!
 
Hawa wote wako kwenye radar
 
10% ya Kupeleka Waganga wa Kienyeji Magogoni Feri hadi tarehe 17 Machi, 2021 imemtajirisha sana.
 
Tatizo wizi wa pesa za umma. Au kutajirika kwa kuiba pesa za umma ambao wengi wao ni maskini wa kutupwa.
Una ushahidi kuwa Mnyeti kaiba pesa za umma? Gwambina mpaka inaanzishwa Mnyeti alikuwa serikalini? Hujiulizi? Acheni roho mbaya!
 
CCM ni ukoo wa panya. Wote wana sharubu.
 
Ilishindanishwa na nani ? halafu mikataba ikoje , mpangaji anajenga Hostel na kuchimba bwawa la kuogelea huku akijenga upya uwanja wa BASKET BALL kwa gharama ipi ?
Ulitaka itangazwe wapi? Hivi kujenga uwanja wa Baskeball ni kiasi gani. Isitoshe uwanja huo ulikuwepo labda anauboresha tu . Tumekula sana Bata TCC Club wakati ikiendeshwa na Mbunge Koka for about seven yrs
 
Kwani mali za umma zinauzwa vipi?
 
Ulitaka itangazwe wapi? Hivi kujenga uwanja wa Baskeball ni kiasi gani. Isitoshe uwanja huo ulikuwepo labda anauboresha tu . Tumekula sana Bata TCC Club wakati ikiendeshwa na Mbunge Koka for about seven yrs
Koka alijenga nini ndani ya TCC zaidi ya kuuza vinywani na chakula ?
 
Labda ile tuhuma alizopewa wakati ule na mbunge Ole Milya kuwa anaipendelea Tanzanite one kwa maslahi binafsi ni za kweli
 
Huyu ameiba sn Mererani
 
Mnyeti alipewa mabilioni na mengine aliiba madini kwa kisingizio cha kuwanunua wapinzani, na waliokua wanapinga walikiona cha moto.
 
Umesahau alikuwa anapora wachimbaji tanzanite kule manyara akiwa RC?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…