Alexander Mnyeti amepata wapi utajiri wa kuinunua TCC CLUB ya Chang'ombe?

Alexander Mnyeti amepata wapi utajiri wa kuinunua TCC CLUB ya Chang'ombe?

Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
Acha "wivu" ndugu. Mambo ya kuuliza Mwanaume mwenzako amepata wapi pesa hayana mashiko. Wewe fanyakazi , pambana kivyako na wewe utazipata.

By the way, mbona huulizi Mbowe kapata wapi pesa za kumiliki majumba ya kifahari Dubai na South Africa?
 
Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
Mquate rais ajue la kufanya
 
Akiwezekeza mswahili kaiba ,ila akiwekeza mhindi na mzungu kimya hata kama huyo mhindi au mzungu ni tapeli, waswahuili bana, kama ameiba amekwibia wewe? yaani kila kiongozi aliyekuwa mwiba kwa wahuni wa SACCOSS mnataka ashitakiwe, hata mwenyekiti wenu achunguzwe kwa kuifanya ruzuku mali yake.
Nakubaliana na wewe 100%
 
Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
Inasemekama huyu jamaa anahela toka zamani, kabla hajaingia kwenye siasa kama alivyo yule mbunge msukuma...hela za madini kama sijakosea. Ukumbuke ndie anaemiliki team ya Gwambina Fc.
 
Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
Hawa wote hukumu inawahusu
Warudishe pesa za walipa kodi
Mali zao zitaifishwe zote
Haiwezekani hospitali zikose madawa watoto wakose mikopo kwa ulafi wa wachache
 
Yaan nyumba 10 ndio utajiri wa kutisha?.wabongo mnamambo kweli.watu wanamiliki nyumba 100 wewe unasema 10 ndio utajiri wa kutisha.
Tatizo katoa wapi hizo pesa za kujenga nyumba 10 wakati yeye ni mtumishi wa umma.
 
Kipato ni mshahara tu? Watu wanaandika write-up mahela yanamwagika tu.endelea tu na akili zero.
Unaandika write up ya wizi?
Kuna wakati Riz1 alisingiziwa kila aina ya uzushi na kila dili tuliaminishwa ndio mhusika mkuu, kila jengo tuliambiwa ni mali ya Riz1 ,kila kituo cha mafuta,kila lori na kila aina ya uchafu tuliambiwa ni Riz1,yote hayo kwa sababu baba yake alikuwa raisi, na hata hawa wa sasa wanasingiziwa na kwa maneno mengi kisa tunaambiwa walikuwa karibu na mwendazake, sasa na nyie mlio karibu na mwenyekiti wa SACCOSS tuanze kuwachunguza na kuwasema kuwa matapeli,wakwepa kodi sio?
Usilinganishe Riz 1 na mnyeti.....Riz 1 ni mtoto wa Rais mstaafu
 
hapo kwenye bold ndo umezingua. hujui kama kodi ni pesa ya kunihudumia mimi?
Nimeandika hivyo kama kejeli kwa wazushi , huyu bwana amekuwa tajiri hata kabla hajaingia kwenye siasa, sio kwamba wanasiasa wote ni masikini au utajiri wao wamepata kwenye utumishi, mwishowe hata akina Msukuma,Kishimba nao mtasema wameiba ,mnasahau kuwa hawa ni Wasukuma wamepata pes akitambo sana wengi wao ni wakulima wakubwa, wafugaji wakubwa na wamiliki wa machimbo ya vito vya thamani kama dhahabu na almasi.
 
Unaandika write up ya wizi?

Usilinganishe Riz 1 na mnyeti.....Riz 1 ni mtoto wa Rais mstaafu
Na Mnyeti ni mfanyabiashara mkubwa wa siku nyingi kabla hata huyo Riz1 yuko chuo, na utajiri wake haujapatia kwenye utumishi wa serikali, sasa kuwa mtoto wa mstaafu ndio asingiziwe kila kitu.
 
Kila utawala wa ccm lazima uje na mafisadi wake na wa dikteta Magufuli ndio hao akina Mnyeti.
 
Nimeandika hivyo kama kejeli kwa wazushi , huyu bwana amekuwa tajiri hata kabla hajaingia kwenye siasa, sio kwamba wanasiasa wote ni masikini au utajiri wao wamepata kwenye utumishi, mwishowe hata akina Msukuma,Kishimba nao mtasema wameiba ,mnasahau kuwa hawa ni Wasukuma wamepata pes akitambo sana wengi wao ni wakulima wakubwa, wafugaji wakubwa na wamiliki wa machimbo ya vito vya thamani kama dhahabu na almasi.
Kawadanganye majuha wenzako.
 
Mnyeti ana undugu na JIWE, nilikuwa naongea na ndugu yake mmoja anasema jamaa ni bilionea huyo, ana mpunga wa kutisha!! Nadhani Fedha nyingi walizipata kwa uhalifu kwa kivuli cha Udc au URC!! Hata Ally happy naye ni fisadi wa kutisha ana nyumba karibia 10 za maana!! Ndio maana tulikuwa tunasema kipindi cha mwendazake hao wateule wake walikuwa wapigaji hatari.
Kumbe ile trilioni 1.5 aliyohoji AG wa zamani ndiyo inaliwa na hawa makanjanja
 
Nimejiajiri for almost 25 yrs na mapato yangu ni mazuri tu Ila shida unakuja pale mtumishi wa umma ambaye kabla alikuwa hohehahe na mgongea vinywaji anakuwa bilionea ndani ya miaka sits ya utumishi wake! Hapo ndipo shida ilipo.
Mnyeti kabla ya kuwa DC alikuwa mwalimu shule fulani hapo Tegeta na hakuwa na ukwasi wowote! Namfahamu na kumjua vizuri tu kwa kipindi hicho.
Huu utajiri wa ghafla alionao una mashaka makubwa mno. Achinguzwe tu hakuna namna!
ndio shida yetu watz, kwa kuwa unafahamu alikuwa mwalimu,unataka kwa hiyo miaka sitailiyofuata awe vile vile, fursa na akili zinabadilika kwa mtu asiyekuwa na mawazo mgando, kwa nafasi alizopitiwa na aliyonayo anakuwa na fursa nyingi tu mikopo, kilimo, ufugaji hata biashara tu za kawaida. ulitakiwa uje na hoja zenye ushahidi kwa mfano 1. kuna ufisadi huu kaufanya, kamwibia huyu, kakwepa kodi kweli hiki, n.k. lakini kusema kwa nini ana pesa za kuwa na miradi mikubwa na ninamjua alikuwa ticha......aaaahh vibaya hivyo acha ufitina...ndugu acha chuki....think big kila kukicha sio sababu alikuwa ticha unataka kumwona akiwa palepale
 
Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
Anachimba madini misungwi
 
Ungeweka na ushahidi wa hizo write up zilizokutajirisha ili tuige! Nadhani unaofanana na wale mbwa wanaobwekea magari wakidhani yatasimama! Unajua kabisa kupata malipo yasiyotokana na kazi halali ni kinyume Cha Sheria na ni dhambi kwani hata ukizitolea sadaka hutabarikiwa!
Tunapambana na Wala rushwa na wezi wa Mali za wengine wewe unawaunga mkono! Natamani wangekukuta au wangemkuta babako wakwapue ili ukose kula ndio akili ingekurudia!
Hawa madc na Marc wa kaliba hii ndio wanaomfanya mama, Dada na shangazi kufuata maji yasiyo Safi na salama km.10 na bado utawatetea!
huyu ana visa binafsi, hii mada ifungwe...anachukia mwenzake kuwekeza tanzania bila sababu...alafu anadanganya kanunua na sio kweli, kuwekeza kukodisha bar hata milioni 20 nyingi....ukizama Access bank au vikoba unapata
 
Kuna baadhi ya watanzania wachache walifaidika mno na utawala wa mwendazake!! Walifanya watakavyo huku mzee huyo akiwachekea na kuwapandisha vyeo na kuwakingia kifua
 
huyu ana visa binafsi, hii mada ifungwe...anachukia mwenzake kuwekeza tanzania bila sababu...alafu anadanganya kanunua na sio kweli, kuwekeza kukodisha bar hata milioni 20 nyingi....ukizama Access bank au vikoba unapata
Alipata wapi mihela ya kuwekeza ?
 
Back
Top Bottom