Alexander Mnyeti amepata wapi utajiri wa kuinunua TCC CLUB ya Chang'ombe?

Alexander Mnyeti amepata wapi utajiri wa kuinunua TCC CLUB ya Chang'ombe?

Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
Ukisikia unafiki ndio huo mkuu tafuata na ww zako au muulize ametumia njia gani kufika hapo
 
Sikupenda nichangie chochote ila kwa comment hii goja nichangie!

Si kweli kwamba Mh Mnyeti na Hayati dkt Magufuli ni Ndugu hapana! Ukaribu wao ni wa undugu tena wa damu kati ya Mnyeti na Mawe Matatu/ Kitwanga , ndg Kitwanga ndiye aliyemtambuliisha Mnyeti kwa Ndg Magufuli ndipo akapewa hadi UDC,


Rejeeni hata kauli ya Hayati Magufuli alipokuwa ziarani Mwanza eneo la Missungwi alipokuwa anamnadi Ndg Mnyeti alimuita ndg Kitwanga ambaye walikuwa marafiki wa karibu sana na nadhani wameoa sehemu moja ndipo alipomuomba Ndg Kitwanga amuachie Mnyeti jimbo na pia Mnyeti ajishushe kwa Kitwanga kwani hadi harusi/ndoa ya Mnyeti ni Kitwanga ndiye aliyegharamia.


Inshort uhusiano wa hayati na Mnyeti uko hivyo, Mzee wa watu/ Kitwanga alijisikia vibaya mno na nadhani ndio chanzo cha afya yake kudhoofika,

Kuhusu utajiri wake sina cha kuandika lkn nadhani URC umechangia, pia amejenga shule kubwa sana hapo Missungwi though nasikia haijawa stable hata kulipa mishahara but all in all Mnyeti ni Mbunge, ana access ya kukopa fedha kwenye ma bank.!!
Shukrani sana
 
Alipiga sana tanzanite huko Simanjiro,Manyara,akiwa RC. Tafuta clip akizozana na Ole Millya(mb,by then)... Akamwambia Millya kuwa hatakuwa tena mbunge,akaletwa Olesendeka,RC mwenzake
Alexander Mnyeti alikuwa mafia, zamu yake imefika sasa
 
Mimi siyo Msemaji wa Chadema , msemaji wao anaitwa Tumaini Makene , mimi ni mwana JF
Mkuu sijasema kwamba wewe ni CHADEMA nimebainisha uelekeo wa hoja za CHADEMA kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025
 
Fanya kazi na kua na nidhamu ya pesa hutoshangaa ya mnyeti.
Mnyeti mwizi bana, uksituambie kuwa yeye anajuwa kufanya kazi kuliko sisi. Ni suala la muda tu tutajuwa mbivu na mbichi
 
Alipiga sana tanzanite huko Simanjiro,Manyara,akiwa RC. Tafuta clip akizozana na Ole Millya(mb,by then)... Akamwambia Millya kuwa hatakuwa tena mbunge,akaletwa Olesendeka,RC mwenzake
Kwa hiyo ukizozana na millya tayari umekua mwizi? Huyo millya ni mungu? UPUUZI HUU
 
Mnyeti alipata hela alivyokuwa RC wa Manyara. Alikuwa anawaita matajiri wamiliki wa migodi anawaambia wamekwepa kulipa kodi, sijui nini..anatishia kuwabambikizia kesi, halaf anawaambia amount ya kulipa. Kuna mmoja namfahamu alimwambia ampe milioni 200. Ana malodge na mabar ya kutosha huko Katavi sehemu inaitwa Majimoto, ipo pembezoni mwa Katavi National Park yanaitwa GWAMBINA..
 
Mnyeti alipata hela alivyokuwa RC wa Manyara. Alikuwa anawaita matajiri wamiliki wa migodi anawaambia wamekwepa kulipa kodi, sijui nini..anatishia kuwabambikizia kesi, halaf anawaambia amount ya kulipa. Kuna mmoja namfahamu alimwambia ampe milioni 200. Ana malodge na mabar ya kutosha huko Katavi sehemu inaitwa Majimoto, ipo pembezoni mwa Katavi National Park yanaitwa GWAMBINA..
Majimoto pamoto sana huko

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Mwendazake alisema akiondoka ataacha mabilionea 100 huyo ni mmoja wao...

Sigara ni ya serikali ila alipewa muwekezaji binafsi so hana mamlaka ya kuuza eneo.. ''Maa''
 
Mnyeti ana undugu na JIWE, nilikuwa naongea na ndugu yake mmoja anasema jamaa ni bilionea huyo, ana mpunga wa kutisha!! Nadhani Fedha nyingi walizipata kwa uhalifu kwa kivuli cha Udc au URC!! Hata Ally happy naye ni fisadi wa kutisha ana nyumba karibia 10 za maana!! Ndio maana tulikuwa tunasema kipindi cha mwendazake hao wateule wake walikuwa wapigaji hatari.
Watanzania mmebobea kwa umbeya. Piga na wewe kama unaona zinapigika, siyo kulia lia kwenye mitandao tu
 
Fanya kazi na kua na nidhamu ya pesa hutoshangaa ya mnyeti.
Una uelewa wa mshahara wake kwa mwezi ulikuwa kiasi gani? Kwa taarifa yako haukuzidi milioni tatu kwa mwezi.
Fanya hesabu ya kudunduliza hiyo hadi upate bilioni hata moja tu itakuchukua miaka mingapi?
Kajenga uwanja wa michezo mzuri kuliko wa nyamagana, anamiliki timu na vitu vingine ambavyo mtaji pekee ni zaidi ya bilioni 50 tshs. Alizipataje kama mtumishi wa umma?
Au Kuna ubaguzi katika ngazi za utumishi wa umma ambapo Kuna nafasi ukiifikia lazima uwe tajiri kutokana na mshahara wa ngazi hiyo?
 
Back
Top Bottom