Alexander Mnyeti amepata wapi utajiri wa kuinunua TCC CLUB ya Chang'ombe?

Alexander Mnyeti amepata wapi utajiri wa kuinunua TCC CLUB ya Chang'ombe?

Kuna wakati Riz1 alisingiziwa kila aina ya uzushi na kila dili tuliaminishwa ndio mhusika mkuu, kila jengo tuliambiwa ni mali ya Riz1 ,kila kituo cha mafuta,kila lori na kila aina ya uchafu tuliambiwa ni Riz1,yote hayo kwa sababu baba yake alikuwa raisi, na hata hawa wa sasa wanasingiziwa na kwa maneno mengi kisa tunaambiwa walikuwa karibu na mwendazake, sasa na nyie mlio karibu na mwenyekiti wa SACCOSS tuanze kuwachunguza na kuwasema kuwa matapeli,wakwepa kodi sio?
Mkuu si tuambieni tu Mnyeti alikotoa hela , kigugumizi cha nini
 
Akiwezekeza mswahili kaiba ,ila akiwekeza mhindi na mzungu kimya hata kama huyo mhindi au mzungu ni tapeli, waswahuili bana, kama ameiba amekwibia wewe? yaani kila kiongozi aliyekuwa mwiba kwa wahuni wa SACCOSS mnataka ashitakiwe, hata mwenyekiti wenu achunguzwe kwa kuifanya ruzuku mali yake.
Tatizo WASHAHILI wengi ni wezi hasa hawa watumishi wa umma. Hata hivyo mtumishi wa umma una pata wapi pesa za kuwekeza ?? Si uache utumishi ufanye mambo yako!!??
 
Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania , lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa , anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina , tunampongeza kwa uwekezaji huo , bali swali letu ni hili , AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA ?
Huyo ni mwanaume mwenzako kasoro yeye mpambanaji ila wewe mrandukaji[emoji51][emoji51][emoji51]
 
Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania , lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa , anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina , tunampongeza kwa uwekezaji huo , bali swali letu ni hili , AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA ?
Kupata pesa sio laana kwani mabilionea wengi hupata pesa ktk umri wa miaka 22

lakini huku kwetu Africa ndo tunajiuliza amewezaji huyu jamaa miaka 37 tu ni tajiri ,halafu mfanyakazi wa umma.

ni kweli MA-RC wengi kipindi cha Awamu ya 5 wamepiga pesa ningekutajia hata RC anayependwa ndugu yangu mmoja ungeshangaa huyo nae ni mpigaji.
Makonda,Mnyeti ,Gambo wanazopesa za kupora wafanyabiashara ,kumbuka Mnyeti alitokea Manyara kwenye TANZANITE na Hifadhi ,hao ndo walikuwa wanaongoza kikosi cha TF.
hivo kupora Mali za wafanyabiashara ni kawaida, Mnyeti pia alikuwa rfk wa Magu kindakindaki inasema kuna mgodi kule burigi yeye na Dotto wana share.
 
Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania , lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa , anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina , tunampongeza kwa uwekezaji huo , bali swali letu ni hili , AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA ?
Alexander Mnyeti ni mpwa/ binamu wa Mwendazake. Na katika uhai wa Magufuli yeye ndiye pekee alikuwa anaweza kufanya chochote na Magufuli asimchukulie hatua.

Alexander Mnyeti ni mshiriki mkubwa wa uwizi wa Tanzanite pale Mererani kuanzia akiwa DC Arumeru na hatimaye RC Manyara.

Wakati Mwendazake akiwa kwenye kipindi cha sintofahamu yeye na Waziri Dotto Biteko ndiyo walikuwa wanataka kugawana kitalu "C" cha Tanzanite.
 
Alexander Mnyeti ni mpwa/ binamu wa Mwendazake. Na katika uhai wa Magufuli yeye ndiye pekee alikuwa anaweza kufanya chochote na Magufuli asimchukulie hatua.

Alexander Mnyeti ni mshiriki mkubwa wa uwizi wa Tanzanite pale Mererani kuanzia akiwa DC Arumeru na hatimaye RC Manyara.

Wakati Mwendazake akiwa kwenye kipindi cha sintofahamu yeye na Waziri Dotto Biteko ndiyo walikuwa wanataka kugawana kitalu "C" cha Tanzanite.
aisee, halafu jitu Kama GENTAMYCINE linakuambia Magufuli alikuwa muadilifu kuliko Samia, kenge Hawa!!
 
Back
Top Bottom