Alexander Mnyeti amepata wapi utajiri wa kuinunua TCC CLUB ya Chang'ombe?

Alexander Mnyeti amepata wapi utajiri wa kuinunua TCC CLUB ya Chang'ombe?

Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
Halafu ukishajua?
 
Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
Sikiliza tukwambie huvi sasa kwenye ukoo wao kuna ugomvi mkubwa kugombanua mali,na huo uwanha wa gqambina na hoteli ziko dodoma zinauzwa ili wagawane mali,kwani hujui kuwa ni shemeji ya mwendazake?
 
Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
Aliwahi kudai yeye ni mfanya biashara wa siku nyingi huo si uwekezaji pekee ninaosikia huyo bwana anao hapa sehemu mbalimbali nchini nasikia huko katavi ana mall mfano wa mliman city cha kufanya wafuatilie kama kuna shaka kwenye mali zake lakini hatakuwa sahihi kwa vile ni msukuma basi hastahili kuwa na hizo mali
 
Mnyeti ana undugu na JIWE, nilikuwa naongea na ndugu yake mmoja anasema jamaa ni bilionea huyo, ana mpunga wa kutisha!! Nadhani Fedha nyingi walizipata kwa uhalifu kwa kivuli cha Udc au URC!! Hata Ally happy naye ni fisadi wa kutisha ana nyumba karibia 10 za maana!! Ndio maana tulikuwa tunasema kipindi cha mwendazake hao wateule wake walikuwa wapigaji hatari.
Yaan nyumba 10 ndio utajiri wa kutisha?.wabongo mnamambo kweli.watu wanamiliki nyumba 100 wewe unasema 10 ndio utajiri wa kutisha.
 
Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
Kwenye maisha kuna ujasiri tu. Kuwa na team yenyewe ni biashara inayoleta pesa kaa kwa utulivu.
 
Aliwahi kudai yeye ni mfanya biashara wa siku nyingi huo si uwekezaji pekee ninaosikia huyo bwana anao hapa sehemu mbalimbali nchini nasikia huko katavi ana mall mfano wa mliman city cha kufanya wafuatilie kama kuna shaka kwenye mali zake lakini hatakuwa sahihi kwa vile ni msukuma basi hastahili kuwa na hizo mali
Alexander Mnyeti hayuko mbali na milango ya TAKUKURU au Polisi au Mahakama.

Naomba hayo maneno myapigie mstari, iko siku nitawakumbusha
 
Alexander Mnyeti na Dotto Biteko ni washirika kwenye wizi wa Tanzanite. Soma hapa;
 
kosa kubwa la hawa jamaa hawakuiba kimfumo. CCM wanatabia ya kuiba wanagawana mpaka watu karibu 40 kwa mtiririko. na unakuta humo kuna watu wazito. cku likibumburuka unashindwa pa kuanzia kuwakamata kama lile sakata la Lugumi tu. sasa hawa vijana waliiba wakapora na wakajisahau wakawatukana mpaka wazee wenye nchi. usisahau kuna wananch na wenyenchi. so kwa upande wangu nadhan hili ndio tatizo kubwa. coz ucfikir watakaotawala hawataiba lazima kutakuwepo kun'gata na kupuliza. thats how things work.
 
Back
Top Bottom