Alexander Mnyeti amepata wapi utajiri wa kuinunua TCC CLUB ya Chang'ombe?

Alexander Mnyeti amepata wapi utajiri wa kuinunua TCC CLUB ya Chang'ombe?

Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
Hizi zile 1.5T za aliyekuwa CAG Pro. Assad zimeshatolewa maelezo?
 
Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
Ukumbuke alikuwa mkuu wa mkoa wa Manyara wenye utajir mkubwa wa Tanzanite na ndo alikuwa Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na Usalama ya mkoa.
 
Yaani sisi wabongo ni nuksi, yaani tunaamini kuwa tunastahili kubaki kuwa masikini, tukiona mwenzetu kajikwamua kidogo tunaanza Vita.

Anamiliki club ya Mpira inayoajiri vijana wetu, kwanini tuwe na vinyongo?

Kwanini tuamini kuwa kwetu sisi kutoboa haiwezekani? Akili za kimasikini mbaya Sana.

Hongera Alexander Mnyeti
 
Alexander Mnyeti ni mpwa/ binamu wa Mwendazake. Na katika uhai wa Magufuli yeye ndiye pekee alikuwa anaweza kufanya chochote na Magufuli asimchukulie hatua.

Alexander Mnyeti ni mshiriki mkubwa wa uwizi wa Tanzanite pale Mererani kuanzia akiwa DC Arumeru na hatimaye RC Manyara.

Wakati Mwendazake akiwa kwenye kipindi cha sintofahamu yeye na Waziri Dotto Biteko ndiyo walikuwa wanataka kugawana kitalu "C" cha Tanzanite.
PIA, kama walivyotumwa majambazi wengine, aliwahi kuwa DC Hai.
 
Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
Amepata kwa mganga
 
Wanapata fedha kwenye mazao, uwakata wakulima @kg Tshs 20 hadi 30 eti kwa ajili ya michezo/ timu ya wilaya, wanaweka kwenye account ambazo anacontrol DC, na hamna wa kumuhoji, kipindi cha jiwe ndio stahili yao, sijui wataendelea, sisi wakulima inatuuma kweli, ila haya!
 
Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
Fanya kazi na kua na nidhamu ya pesa hutoshangaa ya mnyeti.
 
Alipiga sana tanzanite huko Simanjiro,Manyara,akiwa RC. Tafuta clip akizozana na Ole Millya(mb,by then)... Akamwambia Millya kuwa hatakuwa tena mbunge,akaletwa Olesendeka,RC mwenzake
 
Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
1.5 Trilion alizosema CAG unafikiri JIWE alikula mwenyewe? Mgao upo kwa wengi, hivi unajua ghorofa la MAKONDA pale kigamboni ni zaidi ya 1 bilion? Waha la Mwanza mjini anapoishi na kule KOROMIJE.
M
 
Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
hoja kuu ya CHADEMA kuelekea uchaguzi wa 2025
 
Akiwezekeza mswahili kaiba ,ila akiwekeza mhindi na mzungu kimya hata kama huyo mhindi au mzungu ni tapeli, waswahuili bana, kama ameiba amekwibia wewe? yaani kila kiongozi aliyekuwa mwiba kwa wahuni wa SACCOSS mnataka ashitakiwe, hata mwenyekiti wenu achunguzwe kwa kuifanya ruzuku mali yake.
hapo kwenye bold ndo umezingua. hujui kama kodi ni pesa ya kunihudumia mimi?
 
Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
Wale wote waliotumika kumfanyia mwendazake kazi chafu ni mabilionea wakubwa.
 
Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.

Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
Mkumbuke yafuatayo:-
1. Alexander Mnyeti ni mtoto wa dada yake na Janeth Joseph Magufuli ,
2. Alexander Mnyeti anamiliki mgodi wa tanzanite mererani akiwa mkuu wa mkoa wa manyara
3. Alexander Mnyeti baada ya kupata ubunge ,anamiliki mgodi wa dhahabu wilaya ya misungwi mkoa wa mwanza.

 
Back
Top Bottom