Alexander Mnyeti amepata wapi utajiri wa kuinunua TCC CLUB ya Chang'ombe?

"Wewe mtoto wa masikini hamna biashara yoyote unayofanya ghafla tunakuona unamiliki mali nyingi tusikuhoji? utajiri ilikuwa ni disqualification katika utawala wetu "mwalimu nyerere.
 
Yaan nyumba 10 ndio utajiri wa kutisha?.wabongo mnamambo kweli.watu wanamiliki nyumba 100 wewe unasema 10 ndio utajiri wa kutisha.

Kwa umri wake na mali anazomiliki ni utajiri wa kutisha ,hizo nyumba tu bado viwanja empty,accounts zake!! sio nyumba kama za kibongo bongo paa moja la hasha paa lake tu zaidi ya milioni 25 gharama....decor nabaki vigae.
 
Kuna kesi alifunguliwa mahakamani wakati akiwa DC Hai, baada ya kuharibu mali za Mbowe.
 
ameinunua hiyo club ili kutakatisha mabilioni ya fedha ambayo mwendazake aliyakwapua.

kumbukuka huyu ana undugu wa damu na mama janeth magufuli.

ukichanganya na zako utaelewa namanisha nini.
 
Nani amkopeshe pesa hiyo,tunajua alivyokua anachukua pesa kwa wamiliki wa migodi mererani pamoja na kutoroshwa madini
 
Alikuwa mkuu wa mkoa wenye madini na mmoja wa watendaji waliopewa madaraka kwa ukabila. Alipokuwa Arumeru alikuwa ananunua wale madiwani waliokuwa wanaunga juhudi
 
Very simple answer: It is through the the five-years darkness - pure heavy looting.
 
Kama Mnyeti ndie Gwambina basi huyo ni mkulima mkubwa kwelikweli wa Ufuta,Mahindi nk uliza bonde lote la maji moto(Rukwa) wanamfahamu huyo mtu kwa kilimo
 
Mleta uzi naye anauliza, wachangiaji nasi tunauliza vilevile
 
Sikupenda nichangie chochote ila kwa comment hii goja nichangie!

Si kweli kwamba Mh Mnyeti na Hayati dkt Magufuli ni Ndugu hapana! Ukaribu wao ni wa undugu tena wa damu kati ya Mnyeti na Mawe Matatu/ Kitwanga , ndg Kitwanga ndiye aliyemtambuliisha Mnyeti kwa Ndg Magufuli ndipo akapewa hadi UDC,


Rejeeni hata kauli ya Hayati Magufuli alipokuwa ziarani Mwanza eneo la Missungwi alipokuwa anamnadi Ndg Mnyeti alimuita ndg Kitwanga ambaye walikuwa marafiki wa karibu sana na nadhani wameoa sehemu moja ndipo alipomuomba Ndg Kitwanga amuachie Mnyeti jimbo na pia Mnyeti ajishushe kwa Kitwanga kwani hadi harusi/ndoa ya Mnyeti ni Kitwanga ndiye aliyegharamia.


Inshort uhusiano wa hayati na Mnyeti uko hivyo, Mzee wa watu/ Kitwanga alijisikia vibaya mno na nadhani ndio chanzo cha afya yake kudhoofika,

Kuhusu utajiri wake sina cha kuandika lkn nadhani URC umechangia, pia amejenga shule kubwa sana hapo Missungwi though nasikia haijawa stable hata kulipa mishahara but all in all Mnyeti ni Mbunge, ana access ya kukopa fedha kwenye ma bank.!!
 
Ndiyo maana walikuwa wakali sana. Ukiwagusa tu umeyeyushwa. Jiwe & Company walikuwa hatari.
 
Tuache uzushi kila mtu ana haki ya kujiendeleza, mbona tunatabia za kwa nini yule, kwa nini huyu, tuangalie yetu tusonge mbele, aliiba kwenu? Tuache tabia hasi juu ya wengine. Kama una Jambo ripoti sehemu husika. Kwanza hapo hapajauzwa. Na aliyekodi sio yeye. Acheni uchafuzi. Mnapenda kuona vitu vikikwama ili mchekecheke na ndevu zenu Kama sharubu za ngisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…