Alexander Mnyeti amepata wapi utajiri wa kuinunua TCC CLUB ya Chang'ombe?

Ukisikia unafiki ndio huo mkuu tafuata na ww zako au muulize ametumia njia gani kufika hapo
 
Shukrani sana
 
Alipiga sana tanzanite huko Simanjiro,Manyara,akiwa RC. Tafuta clip akizozana na Ole Millya(mb,by then)... Akamwambia Millya kuwa hatakuwa tena mbunge,akaletwa Olesendeka,RC mwenzake
Alexander Mnyeti alikuwa mafia, zamu yake imefika sasa
 
Mimi siyo Msemaji wa Chadema , msemaji wao anaitwa Tumaini Makene , mimi ni mwana JF
Mkuu sijasema kwamba wewe ni CHADEMA nimebainisha uelekeo wa hoja za CHADEMA kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025
 
Fanya kazi na kua na nidhamu ya pesa hutoshangaa ya mnyeti.
Mnyeti mwizi bana, uksituambie kuwa yeye anajuwa kufanya kazi kuliko sisi. Ni suala la muda tu tutajuwa mbivu na mbichi
 
Alipiga sana tanzanite huko Simanjiro,Manyara,akiwa RC. Tafuta clip akizozana na Ole Millya(mb,by then)... Akamwambia Millya kuwa hatakuwa tena mbunge,akaletwa Olesendeka,RC mwenzake
Kwa hiyo ukizozana na millya tayari umekua mwizi? Huyo millya ni mungu? UPUUZI HUU
 
Mnyeti alipata hela alivyokuwa RC wa Manyara. Alikuwa anawaita matajiri wamiliki wa migodi anawaambia wamekwepa kulipa kodi, sijui nini..anatishia kuwabambikizia kesi, halaf anawaambia amount ya kulipa. Kuna mmoja namfahamu alimwambia ampe milioni 200. Ana malodge na mabar ya kutosha huko Katavi sehemu inaitwa Majimoto, ipo pembezoni mwa Katavi National Park yanaitwa GWAMBINA..
 
Majimoto pamoto sana huko

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Mwendazake alisema akiondoka ataacha mabilionea 100 huyo ni mmoja wao...

Sigara ni ya serikali ila alipewa muwekezaji binafsi so hana mamlaka ya kuuza eneo.. ''Maa''
 
Watanzania mmebobea kwa umbeya. Piga na wewe kama unaona zinapigika, siyo kulia lia kwenye mitandao tu
 
Fanya kazi na kua na nidhamu ya pesa hutoshangaa ya mnyeti.
Una uelewa wa mshahara wake kwa mwezi ulikuwa kiasi gani? Kwa taarifa yako haukuzidi milioni tatu kwa mwezi.
Fanya hesabu ya kudunduliza hiyo hadi upate bilioni hata moja tu itakuchukua miaka mingapi?
Kajenga uwanja wa michezo mzuri kuliko wa nyamagana, anamiliki timu na vitu vingine ambavyo mtaji pekee ni zaidi ya bilioni 50 tshs. Alizipataje kama mtumishi wa umma?
Au Kuna ubaguzi katika ngazi za utumishi wa umma ambapo Kuna nafasi ukiifikia lazima uwe tajiri kutokana na mshahara wa ngazi hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…