macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Ungeuliza baada ya Magufuli kutaka kumuua Lissu, sasa yuko kwenye hali gani? Mungu hadhihakiwi. Mshenzi alikuwa anajifanya mtu wa Mungu, kila siku analazimisha kupewa nafasi ya kuhubiria madhabahuni, kumbe ni muuaji!Baada ya Magufuli kufa Lisu ana hali gani?
Bado ni mke halali wa Amsterdam
Watanzania seems tunaombeana laana kila konaHuyu ni miongoni mwa wale waliokuwa wanafaidi matunda ya nchi kwenye utawala wa Awamu ya 5, ni mmoja wa wale viongozi wa ngazi ya chini waliokuwa na Kiburi kilichopitiliza , inadaiwa alikuwa na uhusiano wa Kindugu na John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania .
Mnyeti aliokotwa kutoka kwenye ualimu na kupewa Ukuu wa Wilaya , ghafla akaanza kuwa Tajiri wa kutupwa na dharau na kejeli vikamwingia ( ulevi wa madaraka ) , akapandishwa cheo na kuwa RC , akaanza kumiliki miradi kadhaa ikiwemo timu ya soka inayoitwa Gwambina , akapewa na TCC CLUB na kuiita Gwambina , ili ajenge hostel kwa ajili ya timu yake , akajenga na uwanja wa soka , yaani RC anajenga uwanja wa soka ambao Taasisi nyingi za nchi hii hazina , alikopata hela anajua mwenyewe , japo inadaiwa alikuwa na kolabo na mkubwa kwenye mashimo ya madini (tetesi) , kukawa na mpango wa kupewa Uwaziri , ikabidi kwanza aanzie kwenye ubunge wa Misungwi , wapinzani wakahujumiwa , akapita bila kupingwa .
Waswahili wanasema ukiona ngedere mjini basi ufahamu kwamba kafugwa , mfugaji akifa huyo ngedere atarudi mwituni au atakufa njaa , Sasa kwa kufupisha ni kwamba , Timu ya soka ya Gwambina inayomiliki uwanja wake , ambayo ni Mali ya Mnyeti ,
sasa IMEJIONDOA KWENYE CHAMPIONSHIP kwa kile kinachodaiwa ni kuelemewa na gharama za uendeshaji , Yaani baada ya Magufuli kufa Mnyeti anashindwa kuendesha Timu ! Hivi mnanielewa lakini jamani ?
Neno la leo linatoka kwenye kitabu cha YEREMIA 17 : 5-8
View attachment 2457682
Itaendelea ........
Asante sanaNdiyo maana nilikupigia kura kuwa member bora kwenye jukwaa hili.
Kama ni utajiri wa dhulma, acha tufurahie tu. Kama ni utajiri wa haki (jasho) ndio tutaumia.Masikini hufurahia kufilisika kwa matajiri!
Kabla ya kutulaumu fuatilia waliyokuwa wanayatendaWatanzania seems tunaombeana laana kila kona
Exactly!Utajiri wa Halali hatuna shida nao , hoja ni ile ile kwanini wafilisike baada ya waliokuwa viongozi kufa ?
Sisi kazi yetu ni kutoa taarifa tu za yanayoendelea , hatuna furaha yoyote , unawezaje kufurahi kwenye nchi yenye matatizo lukuki kama hii ?Unafuraia kufilisika kwa mwenzako hujui kwamba Kuna familia zitateseka hapo
Kuwachukia waliofanikiwa kwa njia za wizi ni kiungo muhimu kwa maskni kufanikiwa. Trust me. Kila maskini anatakiwa kuwa na chuki ya hali ya juu kwa mafisadi ili nchi iendelee.
Tunadeal na matokeo kila siku.Kabla ya kutulaumu fuatilia waliyokuwa wanayatenda
Nothing lasts longerTunadeal na matokeo kila siku.
Tuondoe shina kitasomeka.
Nimeona kuwa akina Mnyeti ni matokeo ya utamaduni wa CCM na hakuna wa kurekebisha
Hili neno lipo mahali pengi nadhani nasema (nadhani) hata kwenye maandiko.Masikini hufurahia kufilisika kwa matajiri!
Magufuli hakua tajiriKama Magufuli
Ndio wanyonge mnavyoamini? 😂😂Magufuli hakua tajiri
Nyie misukule kwelikweli..chawa yoyote wa jiwe hata awe mchafu kiasi gani kwenu ni malaikaKwanza umeshasema alikuwa ana share kwenye madini kwa hiyo ndipo alipokuwa anapata pesa ukichukulia huyu alikuwa mkuu wa mkoa wa manyara ambapo kuna machimbo ya tanzanite.
Lakini kuhusu uwanja labda utuambie ni uwanja upi alioujenga maana kama tcc club pale alipopanga kuendesha club uwanja upo tokea ye akiwa chuo cha ualimu kabla hajafika kote huko ulikosema.
Uwanja wa soka ameujenga Misungwi na umetumika sana tu , kuwa na share za mchongo kwenye machimbo ni ufisadi , maana kwa kiongozi wa umma huo ni utovu wa maadili .Kwanza umeshasema alikuwa ana share kwenye madini kwa hiyo ndipo alipokuwa anapata pesa ukichukulia huyu alikuwa mkuu wa mkoa wa manyara ambapo kuna machimbo ya tanzanite.
Lakini kuhusu uwanja labda utuambie ni uwanja upi alioujenga na uko wapi maana kama tcc club pale alipopanga kuendesha club uwanja upo tokea ye akiwa chuo cha ualimu kabla hajafika kote huko ulikosema.
Kuhusu uchaguzi hakuna jimbo ambalo nyie hamjasema mmehujumiwa, yaani kuanzia urais hadi ubunge hakuna pointi ambayo hamjahujumiwa.
Ni kama nyinyi mlivyokuwa mnafurahia kina lema walivosota jela kwa kesi za kisoro na kipuuz za kusingiziwa. Ni kama nyinyi mlivyofurahia mbowe kuporwa bilicanas na shamba lake kuharibiwa. Ni kama nyinyi mlivyofurahia braza lissu kumimiminiwa risasi. Sukuma gang go to hellMasikini hufurahia kufilisika kwa matajiri!
Unathibitisha vipi kama ni mchongo? Vipi kama ana nyaraka kamili za kumiliki?Uwanja wa soka ameujenga Misungwi na umetumika sana tu , kuwa na share za mchongo kwenye machimbo ni ufisadi , maana kwa kiongozi wa umma huo ni utovu wa maadili .
Kingine ni kwamba wao hawakuwa wanafuata sheeia za kuuza madini kama walivyowafanyia wachimbaji wengine , walitorosha madini watakavyo huku wengine wakiwajengea ukuta ( Hii mada italetwa kwa uzi tofauti )