Alexander Mnyeti Maji ya Shingo, miradi yake yaanza kufa mmoja baada ya mwingine

Baada ya Magufuli kufa Lisu ana hali gani?

Bado ni mke halali wa Amsterdam
Ungeuliza baada ya Magufuli kutaka kumuua Lissu, sasa yuko kwenye hali gani? Mungu hadhihakiwi. Mshenzi alikuwa anajifanya mtu wa Mungu, kila siku analazimisha kupewa nafasi ya kuhubiria madhabahuni, kumbe ni muuaji!
 
Watanzania seems tunaombeana laana kila kona
 
Unafuraia kufilisika kwa mwenzako hujui kwamba Kuna familia zitateseka hapo
 
Kwani mtoa mada hujui kwanini watu wanapigania uongozi japokuwa ni matajiri? Wanaogopa kufilisika viongozi wengi wabongo huwa hawawezi kutenganisha nyadhifa zao na utajiri wao wakipoteza nyadhifa na utajiri unapotea
 
Kuwachukia waliofanikiwa kwa njia za wizi ni kiungo muhimu kwa maskni kufanikiwa. Trust me. Kila maskini anatakiwa kuwa na chuki ya hali ya juu kwa mafisadi ili nchi iendelee.


Ulimuona anaiba? Una ushahidi? Maisha yake unayajua?
 
Masikini hufurahia kufilisika kwa matajiri!
Hili neno lipo mahali pengi nadhani nasema (nadhani) hata kwenye maandiko.

Mimi nafahamu masikini kuingia peponi inabidi itumike nguvu kubwa sana!.

UMASIKINI NI DHAMBI KUBWA SANA!.
 
Kwanza umeshasema alikuwa ana share kwenye madini kwa hiyo ndipo alipokuwa anapata pesa ukichukulia huyu alikuwa mkuu wa mkoa wa manyara ambapo kuna machimbo ya tanzanite.
Lakini kuhusu uwanja labda utuambie ni uwanja upi alioujenga na uko wapi maana kama tcc club pale alipopanga kuendesha club uwanja upo tokea ye akiwa chuo cha ualimu kabla hajafika kote huko ulikosema.

Kuhusu uchaguzi hakuna jimbo ambalo nyie hamjasema mmehujumiwa, yaani kuanzia urais hadi ubunge hakuna pointi ambayo hamjahujumiwa.
 
Nyie misukule kwelikweli..chawa yoyote wa jiwe hata awe mchafu kiasi gani kwenu ni malaika
 
Uwanja wa soka ameujenga Misungwi na umetumika sana tu , kuwa na share za mchongo kwenye machimbo ni ufisadi , maana kwa kiongozi wa umma huo ni utovu wa maadili .

Kingine ni kwamba wao hawakuwa wanafuata sheria za kuuza madini kama walivyowafanyia wachimbaji wengine , walitorosha madini watakavyo huku wengine wakiwajengea ukuta ( Hii mada italetwa kwa uzi tofauti )
 
Masikini hufurahia kufilisika kwa matajiri!
Ni kama nyinyi mlivyokuwa mnafurahia kina lema walivosota jela kwa kesi za kisoro na kipuuz za kusingiziwa. Ni kama nyinyi mlivyofurahia mbowe kuporwa bilicanas na shamba lake kuharibiwa. Ni kama nyinyi mlivyofurahia braza lissu kumimiminiwa risasi. Sukuma gang go to hell
 
Unathibitisha vipi kama ni mchongo? Vipi kama ana nyaraka kamili za kumiliki?

Kama ni biashara kuna kiongozi gani chadema asiye na biashara pamoja na dili za michongo? na juzi Sugu akiwa iringa akamshabikia Samia kuzuia TRA kukusanya kodi na bado akakiri ni sheria hivyo Samia aifute hiyo sheria ya TRA kukusanya kodi walizozikwepa nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…