Askari wa miguu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 344
- 124
Hatuombei kwa jina la Yesu, ila tumswalie Mtume SAW au sio maalim[emoji23]!?Watu waelewe kitu kimoja,,,,,Uislamu umesimamia katika kumwabudu Mungu Mmoja WA haki,ambaye Hana mwana wala Baba wala roho mtakatifu,mambo hayo katika Uislamu shirki kubwa Sana na ni dhambi ya Kwanza Kwa Mwenyezi Mungu.
Kwahiyo hakuna Muislamu ambaye analijua hili na kwenda kuombewa Kwa Jina la Yesu...kwani kufanya hivyo ni kumfanya kiumbe cha Mungu kuwa Mungu kitu ambacho si kweli,ni ngumu kusikia lakni ndio ukweli wenyewe.
Bado mnasubiria mwanzilishi wenu pale england afufuke, wendawazimu wakubwa!! 😂😂😂😂Kaimbeni ila kashakufaAliye kufa na kufufuka ni mmoja tu..tofauti na hapo wengine ni misukule..karibu ukanyage ma futa na ule keki ya upako.
#MaendeleoHayanaChama
Huwezi ukajibu hoja zangu..mana wewe uwezo wako wa kufikiri ni mdogo..na umefungwa na tamaduni za kiarabu kupia uislam.Mwenyezi Mungu alikuwepo
Jibu ni hivi Qur'an yote ilishuka kipindi cha Muhammad,,,,,ilikuja kuandikwa ili ihifadhiwe Kwa maandishi.
Mwenyezi Mungu alikuwepo kabla ya Ulimwengu,,,,,na kupitia Qur'an kakumbusha tena kuwa "Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu"
Kwahiyo huo ushahidi unatosha ingawa unataka kunitoa kwenye reli,,,, kwangu Mimi maadam Mola wangu kasema hivyo basi inatosha kabisa.
Maswali yangu mbona hujibu mkuu?
Najua huna jibu kwasababu ukristo huwa hauna majibu siku zote,,,,ndio maana wanao jielewa husoma Uislamu na kusilimu.
Nimefurahi kujadiliana na wewe,nakiri Kwa dhati kabisa wewe hii mijadala ya kidini unaiweza kwakuwa hauna jazba na unatumia mantiki zaidi.
Kuna watu humu wamenikoti sitawajibu kama jiwe angavu kwakuwa nawajua huwa ni wapuuzi na hukurupuka Tu Kwa jazba,,,,watu kama hao sitapoteza Mda wangu kudili nao.
Much respect kwako Amanitwin
Ukitaka nchi iende..piga vita hizi imani za kidini zote...mana zinaua uwezo wa kufikiri.Zinatakiwa taasisi nyingi za binafsi na serikali za kuwahudumia hao watoto kina mama
Watu wanafikiri nchi zingine zina ahuena kwa uchumi wao la hasha
Bali wananchi wanajisaidia sana kwa kuchanga na kuwa na miradi mingi ya kuwasaidia
Kwa mfano Charities zingeanzishwa nyingi
Kwa hiyo kuwepo kwa magari mengi ya uhakika maana yake ndiyo inaonyesha kuna kanisa/Mchungaji wa ukweli?Anajua wito wake ndio maana hahangiiki
Kuna wengine hawajui wito wao ndio maana .Yesu aliwatuma wakamhubiri Yesu wao kusimama madhabahuni kuhubiri Mwamposya!!!! Utafikiri Mungu aliwatuma kuwa nendeni mkamhubiri Mwampsya!!
Huyo Mwamposya ndio kiongozi wangu nasali kwake mimi
Ukiona watu wanajaa vile pana kitu wanapokea .Wasomi wamejaa pale wenye hela zao na mali zao Hakuna kanisa inajaa watu wenye magari mengi ya uhakika kama kwa Mwamposya kuonyesha wazi wao sio wajinga
Vilinge vya mashehe vipo Kibao lakini huko hawapati ufumbuzi ndio maana huenda kwa Mwamposya.Kungekuwa na ufumbuzi huko wasingeenda
Hata kwa baadhi ya Wakristo kuna shida mtu anakuwa na Tatizo lake kwenye dini yake alipo hapati ufumbuzi akienda kwa Mwamposya anapata ufumbuzi sio tu anawaambia wengine lakini wanaomjua mtaani kwake wanaona kweli mwenzetu shida yake imeisha.Ndio maana unakuta makundi makubwa anainuka kwenda hayajali cha dini yao wala nini
Tatizo huwa na nguvu kuliko dini lisipopata ufumbuzi
Mwamposya ana ufumbuzi wa matatizo kitiu ambacho baadhi ya viongozi wa dini hawana wanachujua wao kutwa ni kugeuza misikiti au makanisa madarasa tu ya kufundisha Biblia au Kurani na kukusanya sadaka
Nimesoma comments za wanaomsujudia mwamposa .ntakuja na comment yangu baadae.Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza.
Itoshe tu kusema haya yote yanathibitisha kazi njema anayofanya Nabii na Mtume Mwamposa.
Yesu ndiye mponyaji!
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza.
Itoshe tu kusema haya yote yanathibitisha kazi njema anayofanya Nabii na Mtume Mwamposa.
Yesu ndiye mponyaji!
Uislamu ni pamoja na kujitoa muhanga na kuchinja watu kama wanavyofanya Alshabab, Alqaida,Boko Haram,ISISHuenda unatatizo la uelewa mkuu.....Uislamu sio Muhammad na haujaketwa na Muhammad
Uislamu ni kunyenyekea Kwa Mwenyezi Mungu Mmoja Tu,,,,huo ndio Uislamu,,,,,je Ibrahim alikuwa anamwabudu Nani? Nuhu alikuwa anamwabudu Nani?
Je kwa siku Kam jnn watu hujaa Kama ilivyo jumaa pili kuuJumanne,Ijumaa na Jumapili jumla huwa ibada nne.jumanne .Jumapili ziko mbili
Ila hufurika kupindukia unatakiwa kuwahi kwelikweli ukitaka kupata nafasi ndani
Leo hii yenyewe nimemcheki anajiandaa kuingia mosquitoMwislamu jina huyo
Hao ni wahuni ambao wanatumia Uislamu kufanikisha ajenda zao,,,,,hao hawana tofauti na Panya RoadUislamu ni pamoja na kujitoa muhanga na kuchinja watu kama wanavyofanya Alshabab, Alqaida,Boko Haram,ISIS
Umesahau Roma Cathoric Au Inakuhusu Nini Umeona Uipotezee KiainaMwamposa anaupiga mwingi SANA.
Walianza hawa
Kakobe
Lusekelo
Mwingira
Sasa ni zama za
Mwamposa
Kuhani Mussa sijui
Mwisho wa siku ni KUMUOMBA MUNGU VIFO VITUFIKIE MAHALA SAHIHI
Kikubwa wanawake wanaamini sana katika ushirikina na ndomana wanaenda kwa mwamposaMimi Sina tatizo na uislamu ila waislamu wengi wana unafiki Sana naishi nao muda mwingi sana..
Kuna mtu mmoja akanijibu eti pale kwa mwamposa hakuna muislamu anayeenda hata mmoja wale ni mamluki tu Wala siyo waislamu.Muislamu halali hathubutu kukanyaga kanisani maana ni haram,nikaamua kumpotezea badala ya kubishana
Huyu shehe ndy ameona mbali na ameukubali ukweli kwamba Kuna wamama wengi Sana wa kiislamu wanaenda kwa mwamposa so tyr Kuna tatzo na wao Kama viongozi wa kiislamu na waislamu wote wanapaswa kulitatua..Hizi Mambo za kila linapotokea Jambo wasilolipenda wanasingizia hao siyo' waislamu halitawasaidia hata kidogo'
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sawa kabisa nakuamini,maana kajuaje Kama wamama wa kiislamu wanaponywa kwa Mwamposa.Anaogopa tu kwenda mbele pale..ila kila siku yupo kwenye tv na redio anasikiliza mafundisho ya arise and shine.
Mafuta ya upako na keki naletewe na waumini wake anao waagiza wamchukulie.
Hakika kila goti litapigwa mbele ya Kristo.
#MaendeleoHayanaChama
Amina kubwa.Nyumba nilikuwa napanga Happ kimar kibo Ni nyumba ya muislamu kulitokea changamoto wa bint ake kurukwa na akili wakt bint anajianda kwenda ujerumani bas wakapamban San mpk kwa shehe wakambiwa wapeleke mbuz mweus na Kia's Cha laki na 140 wakafanya hvyo ila bint hakupa hata nafuu yoyote bas wakaenda kwa mwamposa yey alitoa sadka ya elf moja tu bint akwa mzima kbsa mpka leo yule mam na wanae hawajaacha kwenda kwa mwamposa na mzee wake yey ndio kwanza anahimiza wawai wasikoze siti uwaambi kitu juu ya mwamposa,mzee yey Bado anaenda msikiti ila watot na mam yako wote kwa mwamposa Tena kwa kupewa nauli na sadka na mzee aise mwamposa Ni balal lingine
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ila Daudi!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimemiss drama zakeWafia dini naona mnatoleana povu,mbona haya mambo ya kawaida sana jamani labda hamjapatwa na matatizo,unapopatwa na matatizo huwezi kuchagua chaka popote pale unaingia hili mradi upate amani ya moyo..sasa nyie mnatoleana povu humu wakati wenzenu wanaojua siri za maisha kama huyu bwana Daudi hapa chini hawajali wala nini na ndio maana wanatoboa maisha,maskini mnaendelea kuwa nyie wafia diniView attachment 2358407
Dini imegeuzwa miradi na hakuna faida wanayopata wa chini bali wanazidi kuwa masikini wa kutupwa kwa Imani dhaifuUkitaka nchi iende..piga vita hizi imani za kidini zote...mana zinaua uwezo wa kufikiri.
Tuwe kama china au free world kama usa.
#MaendeleoHayanaChama