Akilihuru
JF-Expert Member
- May 20, 2022
- 1,512
- 2,980
- Thread starter
- #61
Ulipouliza wote si tulimsikiliza Banza huyu huyu, ina maana wewe ulikuwa unajua kuna Banza wengine?Wapi haujaelewa Chief?
Halafu na hii ya kauli ya kipenda roho. Ni kama vile unashangaa mtu kupenda kitu ambacho kinaweza kuwa hakina sifa, so ulimaanisha nini hapa?