Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ushabiki huu unatutoa akili sana, hivi kati ya simba na yanga nani aliyeanza kuajiri msemaji kutoka katika mediaMakolo ikiwauma nendeni na nyie mkambebe Jemedari sura mbaya bila shaka atawafaa!
Yanga wamepata mtu sahihi.. tunaenda kuona mfumo mpya wa usemaji wa klabu kubwa Tz.. by the way Azam Medea hongereni kwa kutoa mazao bora kwenye kada tofauti tofauti tz
Kolo mwenzangu tuwaachie yanga timu yaoItabidi clubs nyingine waige,haijawahi kutokea team kuwa na afisa habari toka media
Pia kuwa na digital manager na app ya club
Yanga ni mfano wa kuigwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa Kati ya Yanga na Simba Nani kamuiga Mwenzake??Itabidi clubs nyingine waige,haijawahi kutokea team kuwa na afisa habari toka media
Pia kuwa na digital manager na app ya club
Yanga ni mfano wa kuigwa