Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Hapo wanaweza wakatulia, baada ya Manara kutokua na kauli za kisasa kwenye mpira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilianza azam fc kumchukua zaka zakazi kutoka azam media ikafata simba kwa ahmed ally sasa unavyosema haijawah kutokea ina naana hua hufatilii habar za timu nyingne au n kujifyatua tuItabidi clubs nyingine waige,haijawahi kutokea team kuwa na afisa habari toka media
Pia kuwa na digital manager na app ya club
Yanga ni mfano wa kuigwa
Mkuu hao wanaendeshwa na ushabiki wa oya oya na ugeni kwenye michezo unawasumbua, hivyo ni shida kuwa katikati ya Wapunguani.Ila ushabiki huu unatutoa akili sana, hivi kati ya simba na yanga nani aliyeanza kuajiri msemaji kutoka katika media
Yaani ulivyoiweka ni as if simba haina msemaji na yanga ndio wa kwanza kuajiri msemaji kutoka katika media
Ina maana hujui Ally Kamwe ni pendekezo la Jemedari?Makolo ikiwauma nendeni na nyie mkambebe Jemedari sura mbaya bila shaka atawafaa!
Mkuu kuwa mchambuzi wakati ni mfuasi ni kitu cha kawaida, sioni shida.Sheria ya yanga uwezi kugombea nafasi yyte ile kama sio mwana chama hai kwa kua na kadi active.
Ndio maana wakiwa wanaambiwa kuwa n wachambuzi wa mchongo wawe wanaelewa kua watu hawakulupuki tu kusema ivyo.
Kazi njema
Ahueni timu yetu imeondokana na kile kirusi kinachoitwa Hajji Sunday Manara. Kiukweli sikufurahiwa kabisa na uwepo wake pale Jangwani.Klabu ya Yanga imemteua Mchambuzi Ally Kamwe kuwa Afisa Habari mpya wa klabu hiyo huku Privaldinho Abiud akiteuliwa kuwa msimamizi Mkuu wa Digital (Digital Manager) kwa lengo la kusimamia platforms zote za habari za klabu hiyo.
View attachment 2369989
View attachment 2369986
Mkurugenzi, tofautisha kati ya cheo cha kugombea, na kile cha kuteuliwa! Cheo cha Afisa Habari ni cha kuteuliwa, na siyo cha kugombea. Hivyo katika vyeo vya aina hii, ubora wa mtu hupewa kipaumbele! Na siyo kadi au uanachama wake ndani ya Klabu.Sheria ya yanga uwezi kugombea nafasi yyte ile kama sio mwana chama hai kwa kua na kadi active.
Ndio maana wakiwa wanaambiwa kuwa n wachambuzi wa mchongo wawe wanaelewa kua watu hawakulupuki tu kusema ivyo.
Kazi njema
Kashike ukuta hukoItabidi clubs nyingine waige,haijawahi kutokea team kuwa na afisa habari toka media
Pia kuwa na digital manager na app ya club
Yanga ni mfano wa kuigwa
Umejizima DataItabidi clubs nyingine waige,haijawahi kutokea team kuwa na afisa habari toka media
Pia kuwa na digital manager na app ya club
Yanga ni mfano wa kuigwa
Kwenye Majungu, Upuuzi na Uswahili.Karibu sana
Ila wewe jamaa sijui kama Yanga huwa wanakuelewa post zako [emoji3][emoji3]Itabidi clubs nyingine waige,haijawahi kutokea team kuwa na afisa habari toka media
Pia kuwa na digital manager na app ya club
Yanga ni mfano wa kuigwa
Ukimwelewewa njaakalihatari hutopata shida na post zake.Huwa anafanya sarcasm kwa mashabiki wa YangaIlianza azam fc kumchukua zaka zakazi kutoka azam media ikafata simba kwa ahmed ally sasa unavyosema haijawah kutokea ina naana hua hufatilii habar za timu nyingne au n kujifyatua tu
Haji kisha waharibu mpaka kwenye nanihii!Mkuu kuwa mchambuzi wakati ni mfuasi ni kitu cha kawaida, sioni shida.
Mbona Wallace Karia ni Simba damu na ana kadi kabisa lakini ni boss wa vilabu vyote nchini??
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Katika mashabiki wa Yanga ambao mlisimamia hoja zenu za kutomkubali Manara ni kweli wewe ni mmojawapo.Hata pale wengine walielekea kujaribu kuyafukia yale aliyowafanyieni akiwa Simba wewe hukuyumbishwa.Ahueni timu yetu imeondokana na kile kirusi kinachoitwa Hajji Sunday Manara. Kiukweli sikufurahiwa kabisa na uwepo wake pale Jangwani.
Maana alitukejeli na kututukana kila aina ya matusi, wakati akiwa ni msemaji wa timu yake ya mbumbumbu fc.
Nyie sura mzuri na matako legelege ajenda yenu tunaijuaMakolo ikiwauma nendeni na nyie mkambebe Jemedari sura mbaya bila shaka atawafaa!