Haji yupo yupo sana Yanga kwani amewekwa hapo na GSM hakuna mwenye ubavu wa kuhoji uwepo wa takadini hapo Yanga. Mvumilieni tu ni mwanenu wa hiari huyo.
Haji yupo yupo sana Yanga kwani amewekwa hapo na GSM hakuna mwenye ubavu wa kuhoji uwepo wa takadini hapo Yanga. Mvumilieni tu ni mwanenu wa hiari huyo.