Ali kamwe najua ulikuja mafia alhamis umeondoka ijumaa ila safari hii mambo tofauti

Ali kamwe najua ulikuja mafia alhamis umeondoka ijumaa ila safari hii mambo tofauti

chongoe

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2019
Posts
1,183
Reaction score
2,871
Nafaham juani ulipokwenda hata watu wa serikali ndio hutumia huko mizimu ya kule ni mikali sana ila nachowashsuri simba ili tushinde hakikisha mpira wa kwanza aguse mchezaji mmoja na autoe goolkik tukenda kinyume na hapo tunafungwa
Karibuni mafai
 
Nafaham juani ulipokwenda hata watu wa serikali ndio hutumia huko mizimu ya kule ni mikali sana ila nachowashsuri simba ili tushinde hakikisha mpira wa kwanza aguse mchezaji mmoja na autoe goolkik tukenda kinyume na hapo tunafungwa
Karibuni mafai
Kama kaenda juani sisi twende Jibondo.
 
Bahati nzuri sahivi wanalogana wenyewe kwa wenyewe Ally analoga ili timu ifanye vizuri Manara analoga timu ifanye vibaya ili aonekane kuwa huwa anamchango kwenye ushindi
 
Nafaham juani ulipokwenda hata watu wa serikali ndio hutumia huko mizimu ya kule ni mikali sana ila nachowashsuri simba ili tushinde hakikisha mpira wa kwanza aguse mchezaji mmoja na autoe goolkik tukenda kinyume na hapo tunafungwa
Karibuni mafai
Ndio maana huwa mnapakatwa, no wonder wakina nyie ndio mlishauri gari lirudi kinyumenyume, mwisho wa siku kwa mwarabu japo ni lupaso mkachezea ukuni

Mpira unataka hamasa, motisha na support

Sasa kama nje na ndani kote hamna vigezo tajwa we unadhani morali ya kupambana itatoka wapi??
 
Wachokifanya Yanga ni kuzuia uchawi wa mpinzani usifanye kazi juu yao, kisha wanawaachia wachezaji waamue matokeo

YANGA HAWAROGI WASHINDE, WANAJILINDA WASIDHURIKE DHIDI YA UCHAWI WA MPINZANI
 
Back
Top Bottom