Right Way In Light
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,322
- 3,461
Chief kigamboni ishanyesha tayar, leo yanga kaz ipoYaani wachawi sana simba. Ndiyo nimeviona nami. Naenda uwanjani nina Imani na Yanga. Wanaroga hata haya hawana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chief kigamboni ishanyesha tayar, leo yanga kaz ipoYaani wachawi sana simba. Ndiyo nimeviona nami. Naenda uwanjani nina Imani na Yanga. Wanaroga hata haya hawana.
Niko kigambon time hii inanyesha nyesha tayarLeo naona imegoma kunyeshaa kazi wanayo.😂
Mdomo huumba mmefungwa tayari. Aguse mchezaji mmoja autoe iwe goal Kiki ngumu kutimia.Nafaham juani ulipokwenda hata watu wa serikali ndio hutumia huko mizimu ya kule ni mikali sana ila nachowashsuri simba ili tushinde hakikisha mpira wa kwanza aguse mchezaji mmoja na autoe goolkik tukenda kinyume na hapo tunafungwa
Karibuni mafai
Baada ya mechi uweke hapa kile ki clip chako tena...Mganga arudishe kuku? Au abaki nae tu?
Baridi imewaingia hahahaYaani wachawi sana simba. Ndiyo nimeviona nami. Naenda uwanjani nina Imani na Yanga. Wanaroga hata haya hawana.
Clip gani broBaada ya mechi uweke hapa kile ki clip chako tena...
Yule dem anaye tunanga kwamba tumefungwa...Clip gani bro
Yaani sijui wanashida gani hawa ndugu zetu..muda wote wanawaza mambo ya nguvu za gizaMakolo sijui kwanini mnapenda sana kuabudu ushirikina.
No wonder mlichoma uwanja kule Afrika kusini.
Huo ndio ukweli mkuu leo hawa mbumbumbu naona kabisa wanatufungaMimi nishapata was was leo tunaweza umia yanga
Kabisaa hisi hisia zinanisumbua toka kunakuchaHuo ndio ukweli mkuu leo hawa mbumbumbu naona kabisa wanatufunga
Mvua imenyesha leo analia mtu.Mganga wenu wa mvua nasikia alishakufa. Huyu wa sasa anabahatisha tu. Kaishia kutengeneza wingu tu 😅😅😅😅😅😅😅
Mvua imenyesha leo analia mtu.Mganga wenu wa mvua nasikia alishakufa. Huyu wa sasa anabahatisha tu. Kaishia kutengeneza wingu tu 😅😅😅😅😅😅😅
Ndiyo maana wanaitwa madunduka.Makolo sijui kwanini mnapenda sana kuabudu ushirikina.
No wonder mlichoma uwanja kule Afrika kusini.