Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga mmoja haulalishi ujinga mwingine.Unajitoa fahamu na kujifanya umesahau Kibu Day na mkala mkono wa Nyani ile tarehe Tatu Malogo SC/11/2023.
Yanga tunaojitambuwa hatukubaliani na huu upumbavu, apake yeye blich hana adabu Huyu mtoto.Unajitoa fahamu na kujifanya umesahau Kibu Day na mkala mkono wa Nyani ile tarehe Tatu Malogo SC/11/2023.
Exactly.Ujinga mmoja haulalishi ujinga mwwingine.
Ukiingia utakuwa unataka mwenyeweAnataka kutulazimisha kuingi kwenye mamb ya upinde
Tumia akili zako kama Yanga wenzio, wamekataa huo ujingaUnajitoa fahamu na kujifanya umesahau Kibu Day na mkala mkono wa Nyani ile tarehe Tatu Malogo SC/11/2023.
Huyu Ali Kamwe naye aache tabia yake ya kufikiri na sisi mashabiki wa Yanga ni Mbumbumbu. Watu wanataka matokeo bhana.Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga Ali Kamwe, amewataka mashabiki wa Klabu ya Yanga kujipaka Bleach kwenye mechi ya Jumamosi.
Ali Kamwe amesema,
"Mtoko wa Jumamosi ni PACOME DAY 𝐊𝐢𝐭𝐚𝐚𝐥𝐚𝐦𝐮 𝐙𝐚𝐢𝐝𝐢 .. Mwanayanga piga Breach kichwani. Piga Breach kwenye ndevu.. chora rangi shavuni, usoni .. Wadada wa Yanga Rangi za kucha Jumamosi ni Njano na Kijani"
"Bilionea GSM ameandaa zawadi Maalum kwa Mwananchi atakayetokeleza 𝐊𝐢𝐭𝐚𝐚𝐥𝐚𝐦𝐮 𝐙𝐚𝐢𝐝𝐢 kwenye PACOME DAY.. Utapigwa picha na Wananchi watapiga Kura kuchagua mshindi"-Ali Kamwe
Nini maoni yako?
✍️ Mjanja M1
Kapake bleach wacha ubishi wakoUnajitoa fahamu na kujifanya umesahau Kibu Day na mkala mkono wa Nyani ile tarehe Tatu Malogo SC/11/2023.
Kabisa kaka nimepaka kichwani hapa 😂 jumamosi tunawatupia waarabu majini ya subiani wanakufa 3
Hahahaaa. Jirani jumamosi unistue twende zetu kwa Mkapa.
Tuache. 😎Uto kama Uto[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mpira ni burudani,Huyu Ali Kamwe naye aache tabia yake ya kufikiri na sisi mashabiki wa Yanga ni Mbumbumbu. Watu wanataka matokeo bhana.
Haya masuala ya Pacome day, Nzengeli day, Aziz Kii day, Tate Mkuu day, nk. Yana utoto ndani yake.