Ali Kamwe: Shabiki wa Yanga paka Bleach kichwani na kwenye Ndevu "PACOME DAY"

Ali Kamwe: Shabiki wa Yanga paka Bleach kichwani na kwenye Ndevu "PACOME DAY"

Huu ni utumwa, watanzania sijui yukoje! Tunashobokea wageni mpaka inakera, ni kweli wanasaidia timu zetu lakini tusamia kwanza wa kwetu, halafu hao wageni walishaamua udhaifu wetu wanakuwa na haki kuliko wazawa,mulimsifia Morison akanyea kambi zote 2 Yanga na Simba mpaka akataka kuvuka mipaka kwa kuonesha utovu wa nidhamu mbele ya Rais wetu mpendwa walipoitwa Ikuru, Mayele mlimuimbia mapambio mpaka akavimba kichwa baada ya kuondoka ameinyea Yanga, Chama hivo hivo kwa Simba akaanza kiburi. Kweli Ally Kamwe ameshindwa kudubiri happy birthday za akina Baka, Mamnyeto, Mnzize, Mudathiri day?
Bacca day ulikuwa wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga Ali Kamwe, amewataka mashabiki wa Klabu ya Yanga kujipaka Bleach kwenye mechi ya Jumamosi.

Ali Kamwe amesema,

"Mtoko wa Jumamosi ni PACOME DAY 𝐊𝐢𝐭𝐚𝐚𝐥𝐚𝐦𝐮 𝐙𝐚𝐢𝐝𝐢 .. Mwanayanga piga Breach kichwani. Piga Breach kwenye ndevu.. chora rangi shavuni, usoni .. Wadada wa Yanga Rangi za kucha Jumamosi ni Njano na Kijani"

"Bilionea GSM ameandaa zawadi Maalum kwa Mwananchi atakayetokeleza 𝐊𝐢𝐭𝐚𝐚𝐥𝐚𝐦𝐮 𝐙𝐚𝐢𝐝𝐢 kwenye PACOME DAY.. Utapigwa picha na Wananchi watapiga Kura kuchagua mshindi"-Ali Kamwe

Nini maoni yako?

[emoji3578] Mjanja M1
hii siku itakuwa hatari
 
Hivi Manara akipaka bleach atakuwa na muonekano gani?Blondy au?
 
Hivi Manara akipaka bleach atakuwa na muonekano gani?Blondy au?
Albino automatically wanakuwa na nywele nyeupe

Sema yeye muda wote ana kipara
 
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga Ali Kamwe, amewataka mashabiki wa Klabu ya Yanga kujipaka Bleach kwenye mechi ya Jumamosi.

Ali Kamwe amesema,

"Mtoko wa Jumamosi ni PACOME DAY 𝐊𝐢𝐭𝐚𝐚𝐥𝐚𝐦𝐮 𝐙𝐚𝐢𝐝𝐢 .. Mwanayanga piga Breach kichwani. Piga Breach kwenye ndevu.. chora rangi shavuni, usoni .. Wadada wa Yanga Rangi za kucha Jumamosi ni Njano na Kijani"

"Bilionea GSM ameandaa zawadi Maalum kwa Mwananchi atakayetokeleza 𝐊𝐢𝐭𝐚𝐚𝐥𝐚𝐦𝐮 𝐙𝐚𝐢𝐝𝐢 kwenye PACOME DAY.. Utapigwa picha na Wananchi watapiga Kura kuchagua mshindi"-Ali Kamwe

Nini maoni yako?

✍️ Mjanja M1
Mi ni Yanga wa damu lakini siwezi kupaka bleach kichwani kwani tayari mvi zangu za asili ni zaid ya bleach.
 
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga Ali Kamwe, amewataka mashabiki wa Klabu ya Yanga kujipaka Bleach kwenye mechi ya Jumamosi.

Ali Kamwe amesema,

"Mtoko wa Jumamosi ni PACOME DAY 𝐊𝐢𝐭𝐚𝐚𝐥𝐚𝐦𝐮 𝐙𝐚𝐢𝐝𝐢 .. Mwanayanga piga Breach kichwani. Piga Breach kwenye ndevu.. chora rangi shavuni, usoni .. Wadada wa Yanga Rangi za kucha Jumamosi ni Njano na Kijani"

"Bilionea GSM ameandaa zawadi Maalum kwa Mwananchi atakayetokeleza 𝐊𝐢𝐭𝐚𝐚𝐥𝐚𝐦𝐮 𝐙𝐚𝐢𝐝𝐢 kwenye PACOME DAY.. Utapigwa picha na Wananchi watapiga Kura kuchagua mshindi"-Ali Kamwe

Nini maoni yako?

✍️ Mjanja M1
pakeni breach mtembezewe mkongo

tulikubaliana akiwa na breach au tatoo vaa ndom tatu
 
Huu ni utumwa, watanzania sijui yukoje! Tunashobokea wageni mpaka inakera, ni kweli wanasaidia timu zetu lakini tusamia kwanza wa kwetu, halafu hao wageni walishaamua udhaifu wetu wanakuwa na haki kuliko wazawa,mulimsifia Morison akanyea kambi zote 2 Yanga na Simba mpaka akataka kuvuka mipaka kwa kuonesha utovu wa nidhamu mbele ya Rais wetu mpendwa walipoitwa Ikuru, Mayele mlimuimbia mapambio mpaka akavimba kichwa baada ya kuondoka ameinyea Yanga, Chama hivo hivo kwa Simba akaanza kiburi. Kweli Ally Kamwe ameshindwa kudubiri happy birthday za akina Baka, Mamnyeto, Mnzize, Mudathiri day?
Hauna hoja, umejaa chini dhidi ya wageni kama Mzulu.

Mohammed Baka mechi na Am Ahaly alikuwa Baka day watu wavae misuli.

Mimi sipo kupinga wageni au kuleta ubaguzi, Bali Kapinga huu utoto wa Ally Kamwe, kocha alishaukataa ni wapi Ally Kamwe anapata kiburi hiki? Je Eng Hersi anashabikia pia upuuzi huu? Kuna shida gani kwenye haya majina ya Ally?

Ona Ally Kamwe, Ahmed Ally wote wametoka Azam media na ni wapuuzi watupu.
 
Back
Top Bottom