Exy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,146
- 5,520
We nae ni mpumbavu .. Kuna ushamba zaidi ya kumlishwa kuomba msamaha wachezaji mliowatukana?.Kocha wenu alishawaambia muachane na hayo mambo ya kumkuza mchezaji mmoja, wakati uwanjani wako kumi na moja, naona Kamwe bado kichwa ngumu hamjamsikia.
Huu ushamba wenu hauwezi kamwe kuukuta Simba SC.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kocha afanye yake uwanjani ya nje ya uwanja awaachie wahusika.