We nae ni mpumbavu .. Kuna ushamba zaidi ya kumlishwa kuomba msamaha wachezaji mliowatukana?.Kocha wenu alishawaambia muachane na hayo mambo ya kumkuza mchezaji mmoja, wakati uwanjani wako kumi na moja, naona Kamwe bado kichwa ngumu hamjamsikia.
Huu ushamba wenu hauwezi kamwe kuukuta Simba SC.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Msisahau kujipaka majivu usoni ili muwaogopeshe WaarabuTuache. [emoji41]
PovuuLabda mshinde njaa.
Kwani umelazimishwa?, Ushamba ni wako kuingilia majukum ya watu.Yanga tunaojitambuwa hatukubaliani na huu upumbavu, apake yeye blich hana adabu Huyu mtoto.
Hiyo ni mechi ya do or die yeye anatuletea uchoko.
Yanga ilipofikia kwa sasa inahitaji ushindi tu. Na wala siyo hiyo burudani, au Pacome day.
Kwahiyo mechi kuchagizwa na jina mchezaji kunafanya yanga ifungwe?. Acheni watu wafanye kazi zao.Yanga ilipofikia kwa sasa inahitaji ushindi tu. Na wala siyo hiyo burudani, au Pacome day.
Hahaha mi mapema saana takuwa pale.Hahahaaa. Jirani jumamosi unistue twende zetu kwa Mkapa.
Hamna kitu ka iko.
Sikujua kama hadi wenye vipara wakipaka bleach inaonekanaKabisa kaka nimepaka kichwani hapa 😂 jumamosi tunawatupia waarabu majini ya subiani wanakufa 3
Hapa umeandikaLa pili ni kuingilia majukumu ya kocha, pengine kocha ana approach yake ya kutoanza na mchezaji fulani lakini kutokana na uswahili huo unamfanya kocha lazima ampange huyo mtu ili shughuli yake ifane au hata upande wa kufanyiwa sub.
Dogo papa kasema nikuoeHahahahaha
Vipi na wewe utapaka bleach?Yanga kitengo cha media njema
Team inaongelewa hapa
Team. Inafuatiliwa
Saiv hatujui makolo wako wap team yao imepoa
Mbumbumbu wameingia kwenye mtego wapi wanaifuatilia Yanga
Wanaongelea pacome day wanasahau tea lao
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio lazima huo ni ubunifu wa media yetuVipi na wewe utapaka bleach?
Sasa mbona huo ubunifu unasema sio lazima.Paka bleach na vaa kope za bandia.Sio lazima huo ni ubunifu wa media yetu
Ndo maana mbumbumbu wamejaa hapa wanajadili pacome day
Wamesahau team lao huko Bunju
Yanga ina trend
Pacome day ndo habari ya mjini
Sent using Jamii Forums mobile app