Ali Kiba anadai kila mtu kazaliwa Muislamu na kwamba Wakristo wote ni watu waliobadili dini

Tuna kubaliana nae yuko sawa


[emoji81][emoji81]ila Christians wanafiki sana yani hawana mambo mengi wana kukubalia tu bila.kelele ila ingekua upande wa pili ingekua fujo apo
Mtu akikuita mjinga nawe una uhakika sii mjinga anahangaika nae wa nini.
 
Kijana inakuwaje huelewi ninacho kiandika kiasi hiki ? Wewe ndiyo ulisema kimetungwa mimi nimekuomba uthibitishe unaruka ruka. Mimi nimekwambia naamini hakijatungwa na kipo sahihi, sasa wewe unaekanusha ndiyo uthibitishe.

Hakuna aliyekwambia utumie, au umesahau ulichokiandika awali ?
 
Sasa nathibitisha vipi kitabu ambacho kimetungwa na watu wengine?
Yani mwarabu atunge kitabu mimi nithibitishe kama katunga au kakiokota?
Mimi nawezaje kuthibitisha kama quran ilitungwa au iliokotwa ?

Kwenye sayansi kuna mantiki na kuna kuthibitisha.
Quran kutungwa ni hitimisho lenye mantiki. Unaposema nithibitishe ni sawa na kuniambia nirudi na wewe kwenye mashine ya muda nikakuoneshe kipindi wanaitunga kuran.
 
Sasa nathibitisha vipi kitabu ambacho kimetungwa na watu wengine?
Yani mwarabu atunge kitabu mimi nithibitishe kama katunga au kakiokota?
Mimi nawezaje kuthibitisha kama quran ilitungwa au iliokotwa ?
Swali langu ni kuwa umejuaje kama kimetungwa ? Usikwepe swali, unaposema kitu fulani kipo hivi maana yake una kijua kiundani. Sasa umeshindwa unatakiwa ukiri au ukiri ya kuwa umesikia kwa watu na wewe huwezi kuthibitisha hilo.

Sasa kwanini umesema kimetungwa huku unajua fika huwezi kuthibitisha ?
Kwenye sayansi kuna mantiki na kuna kuthibitisha.
Usiwe mjinga kiasi hiki kijana, mfano Big Bang ina mantiki gani na ina uthibitisho gani au The Black Hole au Quantum Physics ina mantiki gani na ina uthibitisho gani au Infinity Series ina mantiki gani na ina uthibitisho gani au The Universal Gravitational Force ina mantiki gani na ina uthibitisho gani ?

Inaonekana huijui Sayansi bali unaishabikia Sayansi.
Quran kutungwa ni hitimisho lenye mantiki.
Ndiyo utuonyeshe hilo hitimisho limefikiwa vipi ? Na utaje hatua za kimantiki ulizo fata. Sababu mimi elimu ya Mantiki nimesoma na ninajua udhaifu wa elimu hii, hasa udhaifu wake upo katika hitimisho na si mantiki tu bali mpaka hiyo Sayansi nayo ina tatizo hilo hilo.
Unaposema nithibitishe ni sawa na kuniambia nirudi na wewe kwenye mashine ya muda nikakuoneshe kipindi wanaitunga kuran
Huu ujinga mwingine halafu unataka ujadili hii mada. Kwani wewe unazijuaje na unazihakiki vipi habari za miaka 200 au 300 iliyo pita ?

Au mfano mwepesi ni wewe umejuaje kama Newton aliwahi kuishi au Plato au Aristosto au Socrates au George Washington ? Ulipotaka kuwajua ulirudi nyuma au unaropoka ropoka tu ? Hili ndiyo tatizo la kujadiliana na wajinga na hawajui kama hawajui.
 
Kwa hiyo wewe mmatumbi babu yako alikuwa Mwarabu Ibrahim?
 
Kuran ni maandishi kwenye kitabu.
Maandishi kwenye vitabu huwa yanatokea wapi?
 
mimi sio muislam ila unaposema analingania din yake je mbona yeye alikiba anaimba music hivi hujui katika din yake ni haramu??!!🙄🙄🙄 na kuvaa suti nako vp??! Coz suti ni christians kabisaa na hata ijumaa yake haendi msikitin sasa nalingania nin??sisi wakristo ukiona mtu anakuhubiria ujue nayeye kaacha mambo mengi , na hata hivyo huyo munalove inasemekana alikuwa muislam sasa kilichomleta ukristo ni nini??? Kazi kwako
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aibu nimeona mie, km huna hoja uwe unakaa kmya tyuuh lol
 
Sasa mr. Kisai, umetupa baadhi ya aya toka kwenye kitabu kilichotungwa na binadamu toka nje ya nchi yetu wakidai mungu kasema nini.
Hicho kitabu ni madai ya binadamu kuwa mungu kasema nini.
Tofautisha madai na uthibitisho mr. Kisai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo kisai hana hoja anapovukwa tyuuh bureee.
 
[emoji848] Hii imekaaje sasa, Wakristo wengi hawajui chochote kuhusu Quran, ila waislamu wengi wapo vizuri kuhusu biblia, tena wanaijuwa biblia vizuri kuliko wakristo wenyewe.

N.B. Mimi nipo pande zote.
Hao waislamu kwanini quran wasiweke kwa lugha rahisi ili wote waisome na kuielewa? Wanaficha nn? Wakristo biblia yao iko wazi.
 
Huna hoja bora ukae kimya, unajidhalilisha tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…