Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Sasa mmeamua kuweka dhana nzito mie itabidi nikae pembeni siwezi kutia langu nawaachia walimu wapate daawa
Kwanini mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mmeamua kuweka dhana nzito mie itabidi nikae pembeni siwezi kutia langu nawaachia walimu wapate daawa
Hao ambao Tanzania imepata kujua dini kupitia wao.watu gani basi nambie wewe
hujajibu naniHao ambao Tanzania imepata kujua dini kupitia wao.
Hao walioleta dini nchini kwetu.
Jina lake!bado h
hujajibu nani
Una haki ya kuona yupo sawa, niachie haki yangu ya kumpuuzaSawa umempuuza,,,lakini yuko sahihi💯
no evidenceJina lake!
Dah, mimi kweli nikalili majina ya watu walioleta dini yako, sina kipaumbele na hicho kitu.
Ni watu nje ya Tanzania yetu ndio wakwanza kuwa waislamu.
Tumepata dini toka kwao.
Majina ya waislamu nje ya nchi yetu yakariri wewe ukipenda.
Huh!no evidence
sijui wewe usiniulize mie, mie najua na ushahidi mingi nimekupa, wewe hukunipa hata hoja moja ila inawezekana tu ndio jibu lako. mie nadhani tusibishane sana, hebu fanya tafiti ya dini zote pamoja na theorism ili ujiridhishe. Mungu akuoneshe ukweli ulivyoHuh!
Sasa unataka kusema watanzania uislamu tumeutoa wapi sasa.
Au unataka evidence ipi 😃
Still Nonsense. Hao waropokaji tu hata mimi naweza kuongea. Hakuna anaezaliwa na dini mtu pekee anaeweza kuniambia kuhusu dini gani bora nikamsikiliza ni mtu aliehama dini moja kwenda nyinginee tena kwa utashi wake sio sababu ya mapenzi. Ila wewe umekuta baba yako muislamu au mkristo na wewe ukafuata hiyo dini bila kuelewa chochote leo ukiongea dini yako bora kuliko nyingine nakuona mwehu.
Wachungaji ni mbwa kwa mujibu wa biblia
Asilimisha wakristo zaidi ya 30 katika mhadhara mmoja nchini burundi
Kati ya paulo na yesu ni nani mwanzilishi wa ukristo?
Christmas hakuna ndani ya biblia
Yesu si Mungu
Sikiliza zote hizo, na nyingi zipo endelea kuzifuatilia upate ukweli
Sawa!sijui wewe usiniulize mie, mie najua na ushahidi mingi nimekupa, wewe hukunipa hata hoja moja ila inawezekana tu ndio jibu lako. mie nadhani tusibishane sana, hebu fanya tafiti ya dini zote pamoja na theorism ili ujiridhishe. Mungu akuoneshe ukweli ulivyo
Labda waislamu wanazaliwa bila dhambi, hivyo hawahitaji kubatizwa.Nafikiri yuko sahihi!!
Wakristo wanabatiza watoto kuondoa dhambi ya asili.
Kwa maana hiyo uislam ni dhambi ya asili...?!!!
Ingawa hayupo sahihi.Nafikiri yuko sahihi!!
Wakristo wanabatiza watoto kuondoa dhambi ya asili.
Kwa maana hiyo uislam ni dhambi ya asili...?!!!
Still Nonsense. Hao waropokaji tu hata mimi naweza kuongea. Hakuna anaezaliwa na dini mtu pekee anaeweza kuniambia kuhusu dini gani bora nikamsikiliza ni mtu aliehama dini moja kwenda nyinginee tena kwa utashi wake sio sababu ya mapenzi. Ila wewe umekuta baba yako muislamu au mkristo na wewe ukafuata hiyo dini bila kuelewa chochote leo ukiongea dini yako bora kuliko nyingine nakuona mwehu.