SAMXXX
Member
- Mar 7, 2022
- 59
- 5
wewe huna hoja kwa maana hiyo. Kwsababu umeshaeleza wapo wanaoamini mungu (kundi la kwanza) ambao hoja tunazo nyingi, kundi la pili (theorism) hawana hoja na kundi la mwisho ni wewe ambao hamjielewiIngawa hujui hata maada ni nini, ntakujibu swali lako hivyo hivyo ingawa hujui.
Chanzo cha maada kuna wanao ona ni mantiki kwamba ziliumbwa ni miungu ( theory of creation).
Kuna wanaoona hazikuumbwa bali ulitokea mlipuko mkubwa toka kwenye utupu, point yenye ujazo nene mkubwa na kani mvuto ( theory ya big bang).
Watu asilimia kubwa wamejigawa katika hayo makundi mawili na tupo ambao hatuna kundi kwenye hayo makundi mawili kwasababu yote hayana uthibitisho.