Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Hoja yako kuhusu kuthibitisha Mungu kwa kutumia vitabu nataka niijibu lakini nafikiria itakuwa ni content ndefu kuiweka kama comment na itatia uvivu wengi kuweza kuisomaNikajua una hona ya kuonyesha wapi sijathibitisha. Ndiyo maana huwa nasema hivi nyie akili hamna.
Onyesha wapi sijathibitisha, ndiyo maana nakuuliza kila siku uthibitishiwe mara ngapi ?
Ushahidi huo uzuri uko wazi na haukwepeki kwa namna yoyote ile, ukikaa kimya umeshindwa kukanusha na ukijibu hutoki nje ya maswali hayo.
Siku nyingine uwe mkweli, usiseme kwamba tumeshindwa kuthibitisha sema umekataa ithibati.
Sasa mimi nakupa kazi uthibitishe ya kuwa Allah hayupo.
Nataka nianzishe thread ya mada hiyo ambapo humo itawarahisishia watu wengi kuweza kui access kirahisi