Ali Kiba anadai kila mtu kazaliwa Muislamu na kwamba Wakristo wote ni watu waliobadili dini

Ali Kiba anadai kila mtu kazaliwa Muislamu na kwamba Wakristo wote ni watu waliobadili dini

Kwenye post ya Muna love Instagram ambayo Muna love alikua anauliza kama akibadili dini na kuwa muislamu atapokelewa, msanii Alikiba alimjibu kwenye comments kwa kusema, "uislam ni dini uliyozaliwa nayo ila unapofanyiwa ubatizo Ndio unakua converted into Christian"

Hii inaonesha wazi jinsi gani watanzia ni wajinga, tumekariri dini tulizoingiziwa na mataifa mengine kutoka nje ya nchi na kujikuta tunakuwa wajinga.

Sikutegemea Alikiba ni mjinga kiasi hiki kisa dini[emoji2365]

=====

Muna Love
"Hivi Nikiamua kubadili Dini kua Muislamu. Waislam watanipokea au nao wanaweza kunichamba kama hawa walokole ? Nikafa"

Alikiba
"Mimi nitaakikisha unastirika I hope unakumbuka mameno yangu na iwe kheri ALLAH akufanyie wepesi dada yangu"

"Uislam ni dini uliyozaliwa nayo ila unapofanyiwa ubatizo Ndio unakua Converted into Christian"


Kiba yupo sawa kweli ndio.kwani maana ya ubatizo si ndio unakuwa mkiristo kamili au hujui ???? Muulize mchungaji wako basi atakuambia. Kwani ww hujui hadi leo kama ukiristo sio dini???
 
Analingania dini yake jambo ambalo ni jema, naona wengine wanaona kuwa anakosea sijui public figure sijui brand aah hapana maana naye bado ni muumini ana wajibu wa kuutimiza kwa anayemuabudu wa kueneza ukweli kwa wasioujua ili waufahamu hana woga na ni jambo zuri

Ila kwa aliyosema ndiyo siyo sahihi uislamu japo unanasibishwa sijui na Ibrahimu kupitia Ishmael lakini ni dini iliyoibuka miaka ya 610 hivi wakati huo tayari ukristo ulishakuwepo zamani sana uislamu ni dini ya juzi tu kupitia kwa Muhammad ndiyo maana hata katika hoja mbalimbali zinapowatatiza allah kupitia wahyi wake kwa Muhammad aliwaambia wawaulize watu waliokuwa na kitabu kabla yao ambao ni wakristo


( فَإِن كُنتَ فِي شَكٍّ مِّمَّا أَنزَلْنَا إِلَيْكَ فَاسْأَلِ الَّذِينَ يَقْرَءُونَ الْكِتَابَ مِن قَبْلِكَ ۚ لَقَدْ جَاءَكَ الْحَقُّ مِن رَّبِّكَ فَلَا تَكُونَنَّ مِنَ الْمُمْتَرِينَ )

يونس (94) Yunus

Na ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako. Kwa yakini imekwisha kujia Haki kutoka kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wenye shaka.

Kwa hiyo quran yake inawtambua watu waumini walikuwepo kabla ya uislamu tena wenye kitabu ambao wanapaswa wawafundishe waislamu wakipata utata juu ya hoja. Kwa hiyo nadharia ni uongo
Jifunze tena .eti uislamu ulikuja baada ya mtume muhammad swalahullahu alaih wasalam.uislamu upo tangia kwa nabii adamu .mtume wa kwanza wa ulimwengu.au unadhani nabii adamu alikuwa msabato au mkatoliki?????
 
Ukristu na Uislamu upi ulitangulia?

Hizi mbili ni dini za kurithi
Kila mtu huzaliwa bila dini ( Ali Kiba acha uzushi)

Ninyi wawili oops mko watatu ni wa dini sana

Kwa Mungu hakuna dini msipotoshe na kuwapotezea watu muda

Maisha yako na matendo yako ndio dini yako

Ufuska umalaya ujambazi uchawi nazo ni dini za watu kwani ni Imani ujue....

Huyu anayetangatanga mara mksristo mara kasababisha kifo cha nani yake mara msaidia yatima nk ndio wakumjadili kweli???
Moja ya kauli za kijinga ambazo nasikia kutapika nikimsikia mtu anasema hivi alafu anajiona kaongea point kali sana.
 
Jifunze tena .eti uislamu ulikuja baada ya mtume muhammad swalahullahu alaih wasalam.uislamu upo tangia kwa nabii adamu .mtume wa kwanza wa ulimwengu.au unadhani nabii adamu alikuwa msabato au mkatoliki?????
( لَا شَرِيكَ لَهُ ۖ وَبِذَٰلِكَ أُمِرْتُ وَأَنَا أَوَّلُ الْمُسْلِمِينَ )

الأنعام (163) Al-An'aam

Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu

Muhammad ndiyo wa kwanza kwa mujibu wa quran
 
Moja ya kauli za kijinga ambazo nasikia kutapika nikimsikia mtu anasema hivi alafu anajiona kaongea point kali sana.
Vipi na mimi nikiutangazia uma kwamba kwasababu tumeumbwa na Zahanary, basi kila mtu kazaliwa amfuate Zahanary. Kwamba yeyote ambaye anamkana Zahanary ni kafiri na anafata dini zisizo sahihi hivyo ataenda motoni. Unahisi ntakua sahihi pia?
 
( لَا شَرِيكَ لَهُ ۖ وَبِذَٰلِكَ أُمِرْتُ وَأَنَا أَوَّلُ الْمُسْلِمِينَ )

الأنعام (163) Al-An'aam

Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu

Muhammad ndiyo wa kwanza kwa mujibu wa quran
Ww kijana akili yako ni ndogo sana hata ukiambiwa kitu wala hutakuwa huamini utaona kama ni porojo!! Unajua kwamba mtume muhammad swalahulllahu alaih wasalam jina lake ndio la kwanza kuandikwa mlango wa peponi kabla hata hajaumbwa na Allah.??? Sasa hapo hiyo aya ina tatizo gani ????????????

Tatizo lako unasoma tafsiri alafu unakuja kuleta hoja bila kujua hiyo aya ilikuwaje ikateremshwa.hizo aya za quran zilikuwa zinashuka kutokana na visa

Sasa nyie mnasoma aya moja mnakuja kusema quran ina contradiction.ndio nyie mnatusumbua kwa kukifanya wajuaji
 
Ukristu na Uislamu upi ulitangulia?

Hizi mbili ni dini za kurithi
Kila mtu huzaliwa bila dini ( Ali Kiba acha uzushi)

Ninyi wawili oops mko watatu ni wa dini sana

Kwa Mungu hakuna dini msipotoshe na kuwapotezea watu muda

Maisha yako na matendo yako ndio dini yako

Ufuska umalaya ujambazi uchawi nazo ni dini za watu kwani ni Imani ujue....

Huyu anayetangatanga mara mksristo mara kasababisha kifo cha nani yake mara msaidia yatima nk ndio wakumjadili kweli???
Umezungumza upumbavu wa kiwango cha flyover
 
Ww kijana akili yako ni ndogo sana hata ukiambiwa kitu wala hutakuwa huamini utaona kama ni porojo!! Unajua kwamba mtume muhammad swalahulllahu alaih wasalam jina lake ndio la kwanza kuandikwa mlango wa peponi kabla hata hajaumbwa na Allah.??? Sasa hapo hiyo aya ina tatizo gani ????????????

Tatizo lako unasoma tafsiri alafu unakuja kuleta hoja bila kujua hiyo aya ilikuwaje ikateremshwa.hizo aya za quran zilikuwa zinashuka kutokana na visa

Sasa nyie mnasoma aya moja mnakuja kusema quran ina contradiction.ndio nyie mnatusumbua kwa kukifanya wajuaji
Umezungumza point kubwa sana mkuu.
Agizia Pepsi baridi nakuja kulipa.
Hawa watu ambao hawataki kusoma ndio shida yao hiyo. Mtu anakuja na aya yake moja tu halafu anakuja kuanzisha mada na hata hajui chanzo cha hiyo aya
 
Ww kijana akili yako ni ndogo sana hata ukiambiwa kitu wala hutakuwa huamini utaona kama ni porojo!! Unajua kwamba mtume muhammad swalahulllahu alaih wasalam jina lake ndio la kwanza kuandikwa mlango wa peponi kabla hata hajaumbwa na Allah.??? Sasa hapo hiyo aya ina tatizo gani ????????????

Tatizo lako unasoma tafsiri alafu unakuja kuleta hoja bila kujua hiyo aya ilikuwaje ikateremshwa.hizo aya za quran zilikuwa zinashuka kutokana na visa

Sasa nyie mnasoma aya moja mnakuja kusema quran ina contradiction.ndio nyie mnatusumbua kwa kukifanya wajuaji
Leta aya kuthibitisha maana mimi nimetoa Muhammad anasema ktk uislamu yeye ndiyo wa kwanza sasa wewe mpinge halafu utupe aya kuwa yeye ndiyo wa kwanza peponi halafu mimi nitakupa anakanusha kuwa hajui hatma yake wala ya wale wafuasi wake
 
Leta aya kuthibitisha maana mimi nimetoa Muhammad anasema ktk uislamu yeye ndiyo wa kwanza sasa wewe mpinge halafu utupe aya kuwa yeye ndiyo wa kwanza peponi halafu mimi nitakupa anakanusha kuwa hajui hatma yake wala ya wale wafuasi wake
Kama ni kweli umeielewa ile aya tunakuomba uifafanue kwa undani.
Yeye Muhammad S.A.W ni wa kwanza ktk uislam kwa jambo lipi?
Hapa hatuwezi kuleta ushahidi mpaka ufafanue.
Kwa sababu ni kweli yapo mambo ktk uislamu ambayo Muhammad S.A.W ni wa kwanza kuyafanya na ni mengi tu
 
V
Vipi na mimi nikiutangazia uma kwamba kwasababu tumeumbwa na Zahanary, basi kila mtu kazaliwa amfuate Zahanary. Kwamba yeyote ambaye anamkana Zahanary ni kafiri na anafata dini zisizo sahihi hivyo ataenda motoni. Unahisi ntakua sahihi pia?
Ukija na ushahidi sahihi na ukaweza kujibu maswali yetu kwa usahihi japo kwa 50% basi mimi binafsi nitakubali
 
Kama ni kweli umeielewa ile aya tunakuomba uifafanue kwa undani.
Yeye Muhammad S.A.W ni wa kwanza ktk uislam kwa jambo lipi?
Hapa hatuwezi kuleta ushahidi mpaka ufafanue.
Kwa sababu ni kweli yapo mambo ktk uislamu ambayo Muhammad S.A.W ni wa kwanza kuyafanya na ni mengi tu
Quran haipo kimya


( قُلْ أَغَيْرَ اللَّهِ أَتَّخِذُ وَلِيًّا فَاطِرِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَهُوَ يُطْعِمُ وَلَا يُطْعَمُ ۗ قُلْ إِنِّي أُمِرْتُ أَنْ أَكُونَ أَوَّلَ مَنْ أَسْلَمَ ۖ وَلَا تَكُونَنَّ مِنَ الْمُشْرِكِينَ )

الأنعام (14) Al-An'aam

Sema: Je, nimchukue rafiki mlinzi asiye kuwa Mwenyezi Mungu, ambaye ndiye Muumba mbingu na ardhi, naye ndiye anaye lisha wala halishwi? Sema: Mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wenye kusilimu. Na wala kabisa usiwe miongoni wa washirikina.

Kwa kuwa ndiye wa kwanza kusilimu kuonyesha hapo awali hakuwa muislamu na ndiye sasa anasema yeye ndiyo muislamu wa kwanza na mwanzilishi wa uislamu ambao haijawahi kuwepo kabla yake
 
Ukija na ushahidi sahihi na ukaweza kujibu maswali yetu kwa usahihi japo kwa 50% basi mimi binafsi nitakubali
Hakuna mwenye ushahidi kwenye imani. Si mimi, si wewe na si Alikiba.
Hivyo, si sahihi kuongea chochote tu kwenye imani yako ili hali huwezi kuthibitisha.
 
Kukujibu swali lako, SINA UWEZO WA KUTHIBITISHA MAANDISHI YALIYOTUNGWA NA BINADAMU YALITUNGWA NA NANI NA LINI. NI KITU AMBACHO HUWEZI IINGIA MAABARA UKAPATA MAJIBU.
HAKUNA JARIBIO LA MAABARA LA KUTHIBITISHA NANI ALIFANYA NINI KWENYE HISTORIA YA BINADAMU.
Hujajibu swali langu, swali langu ni kuwa uthibitishe ya kuwa Qur'aan imetungwa, yaani umejuaje kama imetungwa.

Kutokujibu kwako swali hili, kunathibitisha ya kuwa uliropoka au ulisikia kwa watu na kwa ujinga wako hukufanya utafiti.

Kingine si kila kitu kinathibitshwa Maabara. Kijana inaonekana huu mjadala umeudandia na hujui unachokijadili.
 
Hujajibu swali langu, swali langu ni kuwa uthibitishe ya kuwa Qur'aan imetungwa, yaani umejuaje kama imetungwa.

Kutokujibu kwako swali hili, kunathibitisha ya kuwa uliropoka au ulisikia kwa watu na kwa ujinga wako hukufanya utafiti.

Kingine si kila kitu kinathibitshwa Maabara. Kijana inaonekana huu mjadala umeudandia na hujui unachokijadili.
Siwezi kuthibitisha quran imetungwa,imetoholewa au imeokotwa. Hakuna njia ya kuthibitisha hili. Si maabara na si popote pale.
.
Nimejuaje kama imetungwa?
Ni kitabu kile, kwani vitabu hua vinapatikana vipi kwa ufahamu wako.
 
Siwezi kuthibitisha quran imetungwa,imetoholewa au imeokotwa. Hakuna njia ya kuthibitisha hili. Si maabara na si popote pale.
Sasa kwanini ulisema imetungwa na huwezi kuthibitisha ? Huoni kama wewe ni mjinga wa kutupwa ?
 
Huh!
Usiulize swali la kitoto, si kila kinachoandikwa kimetungwa kijana.

Inaonekana huijui Qur'aan.
Kwamba ni maagizo ya mungu na hivyo hakijatungwa.
We huoni hii ni imani yako.
Mimi ambaye sina imani kama yako huwezi niambia hayo ni maagizo ya mungu.
Lazima nikione kitabu kilichotungwa kwasababu sina imani ya kiislamu.
 
Back
Top Bottom