MarkHilary
JF-Expert Member
- Feb 8, 2015
- 1,813
- 2,188
Hilo bomu analotengeneza litamgharimu uzeeni. Aombe Mungu amchukue mapema tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
In gwajiboy....kiba anazaaa bwanaa yule n mwanaume unafikir n nyinyi hamzai yy anazaa bwanaa
hahahah!Gwajima anakwambia huku anacheka"Mwanaume kuzalisha bwana".
Masikini waoga mno kuzaa...Mbaya sana hii... Mbaya mnoo...
Kutawanya watoto hovyo. I hate this.
Anazalishakiba anazaaa bwanaa yule n mwanaume unafikir n nyinyi hamzai yy anazaa bwanaa
Kamtengenezea au kajitengenezea? Maana mwenzie amekuwa akiwafyatua kabla hata huo mradi wa karanga haujulikani utafikiriwa mwaka gani...Ndio mana yule Diamond amemtengenezea karanga zakuongeza mbegu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu nae kama Rashidi Matumla tu ,Kiba akifikisha miaka 40 watoto 15 , very primitive kama bushman aliyefanana nae
Wanawake wengi akilizao fupi ....utazaaje ovyo ovyo kisa umetongozwa na msanii na kaja kwenye shoo, unajiachiaaaa then unakuja kulalamika. Polen sana wanawake mnaozaa na wasanii au ukimuona anaela unaachia [HASHTAG]#uwazi[/HASHTAG] na [HASHTAG]#Kasheshe[/HASHTAG] linaingia then [HASHTAG]#Dimba[/HASHTAG] linafugwa miez9 unakuja kulalamaHuyu nae aache kuzini ... Anaozini nao lazima awamimbe kasoro jokate nae sijui alikuwa anavaa kondomu za kike ama vp