RIKEISH
Member
- Sep 10, 2018
- 48
- 29
Kiba ndio yupi hapo mbona sauti zinafanana
Wenye team yenu samahani nimeuliza tu
Dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiba ndio yupi hapo mbona sauti zinafanana
Wenye team yenu samahani nimeuliza tu
Hela haikuwa rasmi ni kwa ajili ya dancer wake aliekufaMimi ni shabiki wa kiba ila jamaa anazingua sikuhizi, Kiba ajipange aisee, Juzi yeye mwenyewe aliifuta "Hela" baada ya kuona dislikes kibao na comments zenye hasira kutoka kwa mashabiki kwasababu ya kazi mbovu, Tulitegemea ataleta jiwe ila sijaona cha ajabu mana kwenye hii kazi hata nuh mziwanda angefaa
HatersUkisha angalia hurudii
Mzee wa Zari the ball huku ndio kuna kufaa sasaHela haikuwa rasmi ni kwa ajili ya dancer wake aliekufa
Mkuu hapa Jf sina mtaa maalumuMzee wa Zari the ball huku ndio kuna kufaa sasa
HahahahahahahahahahahahahahahahaMkuu hapa Jf sina mtaa maalumu
Hata nyumbani kule makapuku forum wanalijua hilo
stori ya uongo hiiMkuu alikiba namuonea huruma sana naomba niwanufaishe na wengine kwa USHAURI HUU,kwenye level ya familia yangu ninachakumjuza huyu bwana ,tukiwa kwetu marangu tulizaliwa watoto 4 wa familia moja tukiwa wadogo tulianza biashara ndogo ndogo wenzangu walikuwa na hulka ya kushindana sana ,mimi nilijitenga na ushindani huo kabisa leo hii mimi namaisha ya kawaida mazuri nyumba mbili tatu vigari vya kutembelea na tulodge ,sasa wenzangu wako so active ,so competitive wote ni matajiri sana wana misemi kibao maghorofa uchafu ,lakini nimewazidi kitu kimoja na wanakili AMANI YA MOYO,wote kwanza hawaongei kabisa wao kwa wao na hata wake zao wamerithi wanaendeana hadi kwa waganga ,wote walevi wa kutupwa na wawili wanavisukari ,wote wananipenda sana na huwa hawamalizi mwezi huja kulala na wake zao kwangu ,ila wao kwa wao hawakaribishani na husemana vibaya sana ,imerithi hata watoto wao ni wa hivyo hivyo walevi na wakorofi ,mimi namaisha ya kushinda kanisani na kushukuru kwa kidogo kinachonitosha nina amani sana...SOMO maishani usikubali kuwekwa kwenye trap ya kushindana mbio ni kweli utaweza fika mbali ila utakuwa restless maisha yote maana daima wakukuzidi atakuwepo pangilia unataka ufike wapi kadiria spidi iendee ndoto yako .UTAKUWA NA AMANI ...Haka kawimbo hakafai hata kuimbwa na beka flavor ni kakawaida sana imagine presha anayoipata kiba akipita mitaa ya Dar kila mahali jibebebebe
Kiba bora angefocus kwenye mengine tu!mziki kwa sasa ushamtupa!!!Kiba ndio yupi hapo mbona sauti zinafanana
Wenye team yenu samahani nimeuliza tu
Kiba bora angefocus kwenye mengine tu!mziki kwa sasa ushamtupa!!!
Usaniii ndo umemtupa but mziki haujamtupa...tatizo la baadhi ya watu mnaleta u team sana kwenye kila kitu...any way wimbo ni wakawaida sana sio mzuri sana wala mbaya sanaKiba bora angefocus kwenye mengine tu!mziki kwa sasa ushamtupa!!!
Leta yako ya kweli. Vipi kuhusu Ontario, yupo. Huyu ndio kiboko yako, alikukomba vijisenti vya mawazo vyote, ukaamia kijani jumla.stori ya uongo hii
Mkuu alikiba namuonea huruma sana naomba niwanufaishe na wengine kwa USHAURI HUU,kwenye level ya familia yangu ninachakumjuza huyu bwana ,tukiwa kwetu marangu tulizaliwa watoto 4 wa familia moja tukiwa wadogo tulianza biashara ndogo ndogo wenzangu walikuwa na hulka ya kushindana sana ,mimi nilijitenga na ushindani huo kabisa leo hii mimi namaisha ya kawaida mazuri nyumba mbili tatu vigari vya kutembelea na tulodge ,sasa wenzangu wako so active ,so competitive wote ni matajiri sana wana misemi kibao maghorofa uchafu ,lakini nimewazidi kitu kimoja na wanakili AMANI YA MOYO,wote kwanza hawaongei kabisa wao kwa wao na hata wake zao wamerithi wanaendeana hadi kwa waganga ,wote walevi wa kutupwa na wawili wanavisukari ,wote wananipenda sana na huwa hawamalizi mwezi huja kulala na wake zao kwangu ,ila wao kwa wao hawakaribishani na husemana vibaya sana ,imerithi hata watoto wao ni wa hivyo hivyo walevi na wakorofi ,mimi namaisha ya kushinda kanisani na kushukuru kwa kidogo kinachonitosha nina amani sana...SOMO maishani usikubali kuwekwa kwenye trap ya kushindana mbio ni kweli utaweza fika mbali ila utakuwa restless maisha yote maana daima wakukuzidi atakuwepo pangilia unataka ufike wapi kadiria spidi iendee ndoto yako .UTAKUWA NA AMANI ...Haka kawimbo hakafai hata kuimbwa na beka flavor ni kakawaida sana imagine presha anayoipata kiba akipita mitaa ya Dar kila mahali jibebebebe