Ali Kiba atambulisha rasmi label yake(Kingmusic) aachia nyimbo mpya "SINA".

Ali Kiba atambulisha rasmi label yake(Kingmusic) aachia nyimbo mpya "SINA".

Maudhui ya hiyo video ni kwamba hao wavulana warusha vidole na wabana pua wenye nguo za rangi rangi za ki-gay ndiyo wanatongozwa na demu kwa jinsi walivyo warembo.
 
Audio kama kawaida hajawahi kuniangusha jamaa
Good music
Video imeakisi alichoimba
Good video
 
Mimi ni shabiki wa kiba ila jamaa anazingua sikuhizi, Kiba ajipange aisee, Juzi yeye mwenyewe aliifuta "Hela" baada ya kuona dislikes kibao na comments zenye hasira kutoka kwa mashabiki kwasababu ya kazi mbovu, Tulitegemea ataleta jiwe ila sijaona cha ajabu mana kwenye hii kazi hata nuh mziwanda angefaa
Hela haikuwa rasmi ni kwa ajili ya dancer wake aliekufa
 
Hebu mleteni nimwandie nyimbo Huyu kiba maana sasa anazidi kutudhalilisha mashabiki zake
 
Mkuu alikiba namuonea huruma sana naomba niwanufaishe na wengine kwa USHAURI HUU,kwenye level ya familia yangu ninachakumjuza huyu bwana ,tukiwa kwetu marangu tulizaliwa watoto 4 wa familia moja tukiwa wadogo tulianza biashara ndogo ndogo wenzangu walikuwa na hulka ya kushindana sana ,mimi nilijitenga na ushindani huo kabisa leo hii mimi namaisha ya kawaida mazuri nyumba mbili tatu vigari vya kutembelea na tulodge ,sasa wenzangu wako so active ,so competitive wote ni matajiri sana wana misemi kibao maghorofa uchafu ,lakini nimewazidi kitu kimoja na wanakili AMANI YA MOYO,wote kwanza hawaongei kabisa wao kwa wao na hata wake zao wamerithi wanaendeana hadi kwa waganga ,wote walevi wa kutupwa na wawili wanavisukari ,wote wananipenda sana na huwa hawamalizi mwezi huja kulala na wake zao kwangu ,ila wao kwa wao hawakaribishani na husemana vibaya sana ,imerithi hata watoto wao ni wa hivyo hivyo walevi na wakorofi ,mimi namaisha ya kushinda kanisani na kushukuru kwa kidogo kinachonitosha nina amani sana...SOMO maishani usikubali kuwekwa kwenye trap ya kushindana mbio ni kweli utaweza fika mbali ila utakuwa restless maisha yote maana daima wakukuzidi atakuwepo pangilia unataka ufike wapi kadiria spidi iendee ndoto yako .UTAKUWA NA AMANI ...Haka kawimbo hakafai hata kuimbwa na beka flavor ni kakawaida sana imagine presha anayoipata kiba akipita mitaa ya Dar kila mahali jibebebebe
stori ya uongo hii
 
Kiba bora angefocus kwenye mengine tu!mziki kwa sasa ushamtupa!!!
Usaniii ndo umemtupa but mziki haujamtupa...tatizo la baadhi ya watu mnaleta u team sana kwenye kila kitu...any way wimbo ni wakawaida sana sio mzuri sana wala mbaya sana
 
hicho ndicho mashabiki wake walikuwa wanasubiri kwa muda mrefu ?
 
Wimbo wa kawaida sana. Kwanza mbayaaaa
Mkuu alikiba namuonea huruma sana naomba niwanufaishe na wengine kwa USHAURI HUU,kwenye level ya familia yangu ninachakumjuza huyu bwana ,tukiwa kwetu marangu tulizaliwa watoto 4 wa familia moja tukiwa wadogo tulianza biashara ndogo ndogo wenzangu walikuwa na hulka ya kushindana sana ,mimi nilijitenga na ushindani huo kabisa leo hii mimi namaisha ya kawaida mazuri nyumba mbili tatu vigari vya kutembelea na tulodge ,sasa wenzangu wako so active ,so competitive wote ni matajiri sana wana misemi kibao maghorofa uchafu ,lakini nimewazidi kitu kimoja na wanakili AMANI YA MOYO,wote kwanza hawaongei kabisa wao kwa wao na hata wake zao wamerithi wanaendeana hadi kwa waganga ,wote walevi wa kutupwa na wawili wanavisukari ,wote wananipenda sana na huwa hawamalizi mwezi huja kulala na wake zao kwangu ,ila wao kwa wao hawakaribishani na husemana vibaya sana ,imerithi hata watoto wao ni wa hivyo hivyo walevi na wakorofi ,mimi namaisha ya kushinda kanisani na kushukuru kwa kidogo kinachonitosha nina amani sana...SOMO maishani usikubali kuwekwa kwenye trap ya kushindana mbio ni kweli utaweza fika mbali ila utakuwa restless maisha yote maana daima wakukuzidi atakuwepo pangilia unataka ufike wapi kadiria spidi iendee ndoto yako .UTAKUWA NA AMANI ...Haka kawimbo hakafai hata kuimbwa na beka flavor ni kakawaida sana imagine presha anayoipata kiba akipita mitaa ya Dar kila mahali jibebebebe
 
Binadamu hatukosi chuki, mbaya unapo mchukia mtu hata hakujui , kila mtu afanye akipendacho , ili mradi havunji katiba ya nchi
 
Back
Top Bottom